The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Akili ya mtu inapimwa kwa kipimo gani?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Zamani ulikuwaga na akili Sasa hivi huna tofauti na standara 3c Yani umekuwa na akili za kitochi, kinachoguliwa ni sera au ni maumbile ya Mtu? Wanaume mnaandikaga it mbo kama mlienda shule kuongeza ujinga na uzezeta vichwani...very shame
Kwa katiba hii CCM itatawala milele,ila mambo yatabadilika, mbaya ya CCM ni shule za kata! Vijana wamesoma na wanajielewa,ikikaa vibaya watalia bila kupenda na watakimbiana .Kila siku tunafanya uchaguzi huru na wa haki kwa viwango vyetu vya African Democracy.
Haijawahi na haitawahi, ndio maana sio mara moja, sio mara mbili nawaeleza watu humu kuhusu CCM kutawala milele!.
Kama kumkataa mwanamke kwako ni akili, subiria 2025 tuwaonyeshe.
Duh...!
Duh...!, hivyo anamaanisha sisi Watanzania wote zaidi ya milioni 60 ni ....!.
P
Kaka paschal naona umeanza kufilisika MTU HACHAGULIWI KWA SABABU YA JINSIA YAKE ANACHAGULIWA KWA KUJENGA HOJA /UWEZO WAKE WA KIUTENDAJI.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Mtuonyeshe wewe ukiwa kama nani?Kama kumkataa mwanamke kwako ni akili, subiria 2025 tuwaonyeshe.
Unasema umepigwa na bumbuwazi, basi jiandae kupigwa na pumbuwazi, yahani unatushauri tuchague ujinga kisa mwanamke, si ndio hawa bwana Balthazar Engong Engonga kawapelekea Moto, ndio unatushauri tuwapeleke ikuluWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Mkuu great thinker iweje unaanza kampeni za mapema, ni kwa faida ya nani labda?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
SarcasmWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Wamarekani wengi wàna akili sana, watanzania wengi ni wajinga sana. Ndio tofauti kubwaWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Hayo mazee na kizazi Chao cha kinafiki na uchawa hakika yaondoke tu.Kikazi chenu kitoweke tu mnaigharimu nchi yetu
Vituko vyako unavyo hadi uzeeni?Vimebadilika na kuwa vibweka.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Mkuu P nafikiri wenzetu walishatoka kwenye kura za huruma. Wanachagua mwenye mikakati wanayoitaka.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali