Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Akili ya mtu inapimwa kwa kipimo gani?

Ujinga wa mtu waupima kwa kipimo gani?
 
Kila siku tunafanya uchaguzi huru na wa haki kwa viwango vyetu vya African Democracy.

Haijawahi na haitawahi, ndio maana sio mara moja, sio mara mbili nawaeleza watu humu kuhusu CCM kutawala milele!.

Kama kumkataa mwanamke kwako ni akili, subiria 2025 tuwaonyeshe.

Duh...!

Duh...!, hivyo anamaanisha sisi Watanzania wote zaidi ya milioni 60 ni ....!.
P
Kwa katiba hii CCM itatawala milele,ila mambo yatabadilika, mbaya ya CCM ni shule za kata! Vijana wamesoma na wanajielewa,ikikaa vibaya watalia bila kupenda na watakimbiana .
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Kaka paschal naona umeanza kufilisika MTU HACHAGULIWI KWA SABABU YA JINSIA YAKE ANACHAGULIWA KWA KUJENGA HOJA /UWEZO WAKE WA KIUTENDAJI.

wajinga pekee ndio hupiga kura za kumchagua eti kwa sababu ya uanamke wa madame Samia.

Akishinda Samia iwe SABABU YA UWEZO KIUTENDAJI na sio uanamke wake.

Wasalaam

Kwa Sasa kijijini MPUMBWI.
 
Hapo sijajua kama umetumia elimu Yako,au uchawa.
Ifikie hatua ukue mkuu.

Tunakuheshimu sana,great thinker.
Ila kwa Sasa karibu kufatilia jamaa flani anaitwa sijui Mwafambwa sijui Mwashamba.
Ambapo mnaweza mkawa mnafanana kwa Kila kitu.
Mda mwingine msipelekeshwe na unazi,bali uhalisia wa mambo.

Hao unaowaita wajinga,ndo kioo chenu ulimwengu.
 
Tuendelee kukataa wanawake sababu wanaume wametupa maendeleo makubwa sasa TZ ni kama mbinguni 😂
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Unasema umepigwa na bumbuwazi, basi jiandae kupigwa na pumbuwazi, yahani unatushauri tuchague ujinga kisa mwanamke, si ndio hawa bwana Balthazar Engong Engonga kawapelekea Moto, ndio unatushauri tuwapeleke ikulu

Mwambieni bibi yenu bahati haiji mara mbili hiyo nafasi ilikua tu ni zari sasa akajiandae kurea wajukuu
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?

Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.

Duh...!.

Paskali
Mkuu great thinker iweje unaanza kampeni za mapema, ni kwa faida ya nani labda?

Je wasio na imani na tawala za kike hawaruhusiwi kutofautiana na wewe?

Wamarekani siyo wajinga, ni watu walioadvance sana kielimu.

Utendaji mbovu na udhaifu wa kiuongozi wa wanawake around the world umemnyima ulaji Kamala.

Raia wa Usa washaona na kujifunza madhaifu ya tawala za kike na kuona kwamba hazifai, ref to Bangladesh, Tz nk nk kote wanakotawala wanawake.

Imani za wananchi kuhusu uongozi wa kinamama imeshuka sana kwa kutumia 'shamba darasa' la kuwatazama wale waliojaliwa kuongoza namna wanavyoboronga wawapo madarakani
.
Labda kuna afueni kidogo kwa nchi zenye strong constitution, kuwabana wafuate sera za nchi na si vinginevyo.
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Sarcasm
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Wamarekani wengi wàna akili sana, watanzania wengi ni wajinga sana. Ndio tofauti kubwa
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Vituko vyako unavyo hadi uzeeni?Vimebadilika na kuwa vibweka.
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Mkuu P nafikiri wenzetu walishatoka kwenye kura za huruma. Wanachagua mwenye mikakati wanayoitaka.
 
Back
Top Bottom