Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Chunga usitekwe.Bila kupepesa macho, Mwanamke yeyote yule duniani hafai kuongoza nchi hasa sekta nyeti.
Mambo ya gender, sijui haki sawa, sijui uchaguzi haujali jinsia ni propaganda uchwara.
Mwanamke hafai kuongoza nchi hasa sekta nyeti.
Angekuwa kitungo wa kijiji huyo msimbe.ulitaka achaguliwe msimbe akina batazari waanze kumpelekea vijinga ofisni
Siku hizi unatangaza channel gani. Mara ya mwisho nilikusikia ukitangaza pale East Africa Radio ukijitolea angalau mkono wako uende mdomoni tena ulikuwa mkali wa kukosoa watangazaji wanaokosea kutamka majina ya wachezaji wa ulaya.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Waliotangulia kuwepo kwenye hii dunia si wajinga kukataa mwanamke kuongoza sekta nyeti.Jinsia ya mtu haina kazi yoyote kwenye uongozi wa nchi. Kazi ya jinsia ya mtu Ina kazi ya binafsi zaidi.umma hauna kazi na jinsia ya mtu
Tukishawaonyesha tutapata faida gani au wao watapata faida gani?Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Wasiibe kura tuu!Kaka paschal naona umeanza kufilisika MTU HACHAGULIWI KWA SABABU YA JINSIA YAKE ANACHAGULIWA KWA KUJENGA HOJA /UWEZO WAKE WA KIUTENDAJI.
wajinga pekee ndio hupiga kura za kumchagua eti kwa sababu ya uanamke wa madame Samia.
Akishinda Samia iwe SABABU YA UWEZO KIUTENDAJI na sio uanamke wake.
Wasalaam
Kwa Sasa kijijini MPUMBWI.
Nimekuelewa Vizuri!😂😂😂Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Raisi wa Marekani ndio anaamua kula yako, usalama wako, miundombinu ya nchi yako, uchumi wa nchi yako n.kUkisikiliza kwenye vyombo vya habari mbalimbali na Jf wamarekani wamechagua rais wao lakini wanatesekaji wengi ni waafrika.
Na kwamba ikiwa akiwa mwanaume je nchi itasimama au kukoma? Kuna wakati Pascal anageuka kituko kweli, anakuwa kama pacha wa Lucas washambaMwanamke yupi? yupi pascal? mbona unakuwa kituko? yupi? wa wapi? Usukumani? Uhayani? kizimkazi? wa wapi?
nakwambia wa chambia guzi(washenzi) sahizi wanalia mana bibi cheko cheko angeivaAngekuwa kitungo wa kijiji huyo msimbe.
Akili za kuwaita wamarekani wajinga tumezitoa wapi? Umasikini uliotujaa licha ya rasilimali kibao tulizonazo tunawezaje kujiita wenye akili? Sisi wajinga wa kutupwa huenda tukamchagua mwanamke.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Njaa kiswahili mayala kisukuma .....Siku hizi unatangaza channel gani. Mara ya mwisho nilikusikia ukitangaza pale East Africa Radio ukijitolea angalau mkono wako uende mdomoni tena ulikuwa mkali wa kukosoa watangazaji wanaokosea kutamka majina ya wachezaji wa ulaya.
Ulipofukuzwa pale E.A Radio nikajua ulikufa kwa njaa maana wadau wa huku JF wanasema huna chanzo kingine cha mapato.
Usimaindi, ni matani tu.
Huna akili ,Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali
Paschal sijawai kukupinga ,kwa hili nakupinga kwa nguvu zotee ,HATA VITABU VYA DINI HAVIRUHUSU HICHI UNACHWASHAURI WATUU ,MIMI SIJAWI KUPIGA KURA ,MWAKA 2025 NITAPIGA KURA NA SITOMCHAGUA MWANAMKE HATA KAMA MWANAUME PEKEE AKAWA HASHIMU RUNGWE NITAMCHAGUA KABISA BILA HAYA SEMA NAJUA MFUMO SIO RAFIKIWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.
Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?
Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!
Duh...!.
Paskali