Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Ndioo
Kwann unampenda mchepuko kuliko mkeoHujawahi kuchepuka kabisa maisha yako yote? Kabisaaaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann unampenda mchepuko kuliko mkeoHujawahi kuchepuka kabisa maisha yako yote? Kabisaaaa?
Sina mchepuko na niko single 🤣Ndioo
Kwann unampenda mchepuko kuliko mkeo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hongera kwa kuwa thingo na kujichukulia sheriaSina mchepuko na niko single 🤣
Sio sifa, mbwa we!Kwa mfano we ukiwa mke wangu kwanini nisimpende mchepuko kuliko wewe
Sheria ? Mimi sio donedrake ,siwezi kutesa hii kitu ya chini kuivuta vuta itakuwa ni mental health .....!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hongera kwa kuwa thingo na kujichukulia sheria
Pole Dada Nuru inaonekana mumeo anachepuka sanaSio sifa, mbwa we!
Swali lako ni sawa na kuuliza iwapo walaji kindakindani wa chipsi kuku wanakipenda chakula hicho kuliko wali maharagwe.
NB: Kataa michepuko, okoa maadili na ndoa.
Kwakifupi tu muda huu nipo hospital kufanya xray(wife) baada ya kuvumilia miaka mingi ya kunikosea adabu. Juzi nimemtandika haswaaaaaaaaaa.
Wanawake ukiwa mwanaume mpole hasa sisi wakristo, huwa wanatusumbua sana.
nipo kwa fundi baiskelSheria ? Mimi sio donedrake ,siwezi kutesa hii kitu ya chini kuivuta vuta itakuwa ni mental health .....!!!!
Uko wapi nifike kukusalimia binti yangu?😉
Miguu ya kunyonga unayo? Au kazi kuvalia slingback,ankle strap,open toe and thigh high tu.nipo kwa fundi baiskel
Miguu ya kunyonga unayo? Au kazi kuvalia slingback,ankle strap,open toe and thigh high tu.
Mkuu, ndio nataka nione kama ata improve maana kwasasa namuuguza, ila nilimuadhibu sana kama mwanaume mwenzangu.Hongera ,
Hapo umeanza kutibu ugonjwa wa ukosefu wa adabu alokuwa akikufanyia.
Bada ya happ tarajia improvement kubwa kama ni mtu wa kusikia.
Na usilegeze kamba.
Kaza 💪
Mnawaendekezaga sana hao na a ndio maana huwa wanawapanda vichwani.
Kwenye kuchepuka hakuna commitments, hakuna expectations wala disappointments..Haya nimeulizwa hilo swalo naomba jibu
Nyie mnaopenda michepuko sana kuliko wake za ndoa mje mjibu nini mbaya?
Na sahivi imekuwa kama tabia na inaenda kuwa legalised
Sijui mtaishia vipi watoto wa sahivi?
Soma tena sio kunyimwa tu, na uchafu, kujisashau haswa akipata watoto... alafu manzi ukiuliza mnataka mara ngap kwa wiki apo tu ushafeli kwann kuwe na idadi? Mbona mwanzo mnatoa hadi nyongeza? Na sio kila sku niombe mimi tuu kwamba ww hupatagi nyege au unazimalzia wapi.Nimesoma comments hapaa...kosa kubwaa ni kunyimwaa mbususu...kwani huwaa mnataka mara ngapi Kwa wiki?
Anapewa kisoda mke hatoiHaya nimeulizwa hilo swalo naomba jibu
Nyie mnaopenda michepuko sana kuliko wake za ndoa mje mjibu nini mbaya?
Na sahivi imekuwa kama tabia na inaenda kuwa legalised
Sijui mtaishia vipi watoto wa sahivi?
Haya nimeulizwa hilo swalo naomba jibu
Nyie mnaopenda michepuko sana kuliko wake za ndoa mje mjibu nini mbaya?
Na sahivi imekuwa kama tabia na inaenda kuwa legalised
Sijui mtaishia vipi watoto wa sahivi?