Infosys IPS (T) LTD wakanusha kuhusika na LUGUMI katika kashfa ya ubadhirifu


Fact kwamba Infosys imetajwa katika hilo deal na ni kweli wamekili kushiriki ni wazi kwamba yapo mengi tunayoweza kuyapata kuhusiana na ufedhuli huo. Ingekuwa hawajui chochote juu ya hilo deal, tungesema kuna haja ya kupunguza vidole na sauti kwa Infosys. Kitwanga hachomoki.

Ushauri: Acheni kufanya usanii kwani hamjui kuwa kila kitu kipo mikononi mwa vyombo vya uchunguzi kwa hatua Zaidi. Upuuzi wa kutuletea clip za kujaribu kupoteza ukweli haziwasaidii kwa sasa.
 
Kitaeleweka tu, mmefanya chini ya wamarekani ambao nao walikua wakifanya kazi chini ya lugumi, bado kidogo tutapata ukweli
Kazi ilishaisha na wamelipwa dola 74,420 sasa najaribu linganisha na 37bilioni sipati logic.
Anyway naanza ona link kati ya mapambano dhidi ya dawa za kulevya vs waziri husika.
 
Lazima ifike hatua Media zetu zubadilike, Media ni nguzi mhimu sana katika ku change jamii kutegemea na kile wanachokiandika, bahati kwa mbaya sana kwa Tz Media zetu zinafata upepo wakisiki tu frani kasema basi wanaandika tu bila hata ya kufanya tafiti, ni aibu sana. pili watanzania tunapaswa kubadilika nabtujifunze njia nzuri ya kutumia Media hasa social media tusiandike tu ili mradi tunaandika bali tunapaswa kufanya uchuguzi wa kina juu ya kile tunachokiandika.
 
Ukiangalia kwa jicho la kiraia utaamini mengi lakini kama unajua "investigation techniques" kuna jambo utagundua hapo...
 
2010 mkuu kamwaga manyanga Infosys.... 2011mkwe wa IGP mtoto wa mfalme lugumi kapewa tenda na jeshi la polisi...biometrica wanawafuata Infosys kupitia website yao na kuwapa deal....Ok..
ni wachache watakuelewa hapa
 
Huyu

Huyu mtu kafanya utafiti au kahoji mtu mmoja? Huu upuuzi
 
Haya sasa ukweli umewekwa wazi kumbe ni juhudi za kumpiga vita Waziri Kitwanga na kutaka kuichafua serikali ya Magufuli.

Wapiga dili tafuteni kiki nyingine ukweli ndio huu.
umedhibitisha vipi kuwa ni ukweli??
 
ni vizuri sasa tuambiwe wakurugenzi wa hii kampuni kwa ss na wakati anajitoa alimuuzia nani hisa na aliziuza sh ngapi
Acheni ushankupe. Ushaambiwa kila kitu lakini bado unajifanya huelewi. By the way, Kitwanga kapewa uwaziri wa mambo ya ndani mwezi wa kwanza mwaka huu. Kwa nini kesi hii kama unavyishadidia usimpelekee Waziri wa mambo ya ndani aliepita? Deal ni ya mwaka 2011 wewe unamkaba koo alieingia hapo mwezi juzi. Someni muelewe vyema ndiyo mcomment mnatuaibisha jamani.
 
Wenzio wamelipwa hapo. Utahangaika sana. Kina ZK, DAU, na hata EL na genge la wachuuzi wa siasa wako behind ili kuua soo zao. Lakini nahisi wamegonga mwamba
 
Haha utokaji wa hii taarifa na contribution za mwanzo umeniacha nikicheka.
Anyway mimi pia naona chuki tu binafsi na wivu wa baadhi ya watu. Kitwanga ni mtu safi kabisa.

Hahaha mkuu wee acha tu. .jamaa si safii hata kidogo.
 
kinachozungumziwa hapa ni infosys na sio waziri wa mambo ya ndani mbona iko wazi au ww ndio unajitoa ufahamu au unataka kusema waziri wa mwaka 2011 ndio mmiliki wa infosys mm naona ww nshakupe na una mahaba mpaka huwezi kujenga hoja
 
nilikuwa siamini kama kuna watu wanalipwa hela kuja kutetea watu wengine ndio nimeamini watu wanajitoa ufahamu kweli na kutengeneza mazingira ya kuonewa huruma
 
Kitwanga katembeza Rushwa pia kamati za Ufundi za Januaty Makamba zipo kazini kuhakikisha kuwa kitwanga hatumbuliwi JIPU na Magufuli Hii ndiyo Tanzania hakuna lisilowezekana kabsa.
 
Haya sasa ukweli umewekwa wazi kumbe ni juhudi za kumpiga vita Waziri Kitwanga na kutaka kuichafua serikali ya Magufuli.

Wapiga dili tafuteni kiki nyingine ukweli ndio huu.

Yaani hii tu kwako ishakuwa ukweli ??
Hivi mambo ya EPA, Meremeta na Escrow yalianzaje na nini kikafuata ??
 
Wewe ndiyo hauelewi kinachoendelea , tambua kuwa Hilo Dili la Lugumi lilianza siku hizo na kitwanga na yeye alikuwemo tokea Kipindi hicho kala pesa nyingi sana na hizo alizowapatia mje kumtetea ni sehemu ya hizo pesa hivyo hata wewe naona Sasa umekula pesa za umma zilizoibiwa na Lugumi na kitwanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…