Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

Gaucho ndie mbarikiwa pekee aliepewa tuzo ya Man of the Match ile hali akiwa tu jukwaani kavaa uchepe kichwani, kala belo la maana, middle ana bati na down ana ndop la ukweli huku anatazama soka...
fozafozafoza chomba upo mkuu?
 
Belo ndugu yangu ongea tu bila mifano...wengine tukikumbuka machozi huwa yanatutoka

Hii ni moja ya classic game za Champions League,Ronaldinho alikuwa analeta burudani uwanjani tangu ameondoka siku hizi hakuna tena zile burudani
 
Dinho ndo habari..unapomlinganixha na Iniesta unakosea...labda umlinganixhe na kina messi...
 
weka ww ya iniesta

Yani wewe umenifanya mimi babu yako eti? Mleta uzi kishaweka kipande kidogo tu cha video hapo juu, sasa unataka na mimi nikuwekee! are u siriouZ?? kila kitu tumerahisishiwa youtube zipo open 24hrs wewe na MB zako tu... sasa unashindwa nini kuingia na kuwafuatilia ujionee mwenyewe?
 
[emoji41] yan gaucho umfananishe na iniesta? Iniesta ni level ya kina schwansteger, xavi, nk. na gaucho ni level ya kina messi, pele, maradona, nk.
 
Gaucho hafananishwi na mchezaji wowote sayari hii
 
messi anapga 4 wakat huo arsenal wachezaj 7 first 11 ni majeruhi,beki silvester anacheza nae 1,2,
[emoji122] [emoji122] [emoji122] umenena, messi akiifunga arsenal ujue kuna majeruhi, japo messi mkali ila kwa gaucho mh
 
Swali jepesi tu

INIESTA ameshatwaa makombe mangap

Ronaldinho ameshatwaa jumla ya makombe mangap

HAPO NDIO UTAJUA INIESTA WEKA MBAL NA WATOTO
Kwa logic hiyo hata sagio buscuet ni bora kuliko gaucho
 
Hivi Mkuu ni sahihi kuangalia Mechi mbili tatu mtu ambazo hajaperform vizuri kuliko kuangalia perfomance yake ya muda mwingi?

Unazungumzaje alivyomueka chini Boateng na kwenda kumning'iniza Neur, vipi kuhusu Arsenal haohao na Wenger wao ambao Messi aliwapiga 4 pale Camp Nou?
Vipi wajerumani kule brazil walishindwa kumzuia messi? Vipi kina sanchez na chile yake mara 2 walishindwa kumzuia? Hahahaha
 
Kizuri hakidum, gaucho alikuwa km a ball dancer uwanjani pia alikuwa playmaker, na alikuwa goal gater tena Yale magoli adhim, mi ni arsenal na madrid lkn gaucho alikuwa sayar nyingine
 
Back
Top Bottom