International School, watoto hutafuta vitu vitatu tu

International School, watoto hutafuta vitu vitatu tu

Duh aise siyo unasoma shule ada ni mchango wa elfu 50 ya uji mwaka mzima alafu Unajisifu una koneksheni ya kazi kumbe unamtegemea mjomba wako ambae ni mwenyekiti wa kijiwe Cha bodaboda akutafute pikipik
Unahatia ya kuvunja mbavu za watu
 
Nchi hii tulikosa bahati Rais wa kwanza alitakiwa awe mchaga,tayari walikuwa tayari wana exposure ya kutosha wakati huo mbona tungetusua maisha tu,ona wenzetu kenya walivyobahatika ,nawatania tu mwayego msinitoboe macho.
 
Huitaji kusoma International School tu ili kupata exposure, network n confidence. Angalia connection za wafanyabiashara wakubwa nchini na wanasiasa halafu tafuta wangapi walisoma unazoziita International Schools.
NB: Awamu ya 5 iliwainua watoto wa maskini mpaka ngazi za juu Sana. Both kisiasa na corporate eg. CEO wa benki kubwa nchini hata telcos. Wengi wamesoma Kayumba.
CEO wa makampuni ya Serikali au Private companies? Kwa private companies ni wachache sana.
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Uko SAHIHI 100%, ila lingine ni kuwa na mentality mpya. Huku kwetu mtoto anataka afaulu vizuri ili apate ajira nzuri. Yaani apate division I point 7 form IV, halafu division I ya point 3 form six na bado anaota kuajiriwa - huo ni upuuzi. Halafu huku kwetu tunaogopa hata kuvuka mpaka.
 
Huitaji kusoma International School tu ili kupata exposure, network n confidence. Angalia connection za wafanyabiashara wakubwa nchini na wanasiasa halafu tafuta wangapi walisoma unazoziita International Schools.
NB: Awamu ya 5 iliwainua watoto wa maskini mpaka ngazi za juu Sana. Both kisiasa na corporate eg. CEO wa benki kubwa nchini hata telcos. Wengi wamesoma Kayumba.


Hao walipata bahati za Kua CEOs enzi za JPM alikua Hatoi work permit kwa foreigner kwa taarifa yako banks na Telecom uwa wanaangalia cv yako wale waliosoma Hizo shule za kimataifa na kufanya kazi nje ya Nchi ndio wanagombaniwa kwenye soko la ajira mishahara Yao ni mikubwa sana sio chini ya million 40 net bado bonus na mikopo mikubwa nyumba na kusomeshewa watoto

CEO waliosoma kayumba wamshukuru Maghufuli , Serikali yetu inatumia locals walio na ufaulu wa juu kutoka Vyuo mbali Mbali na ndio maana nchi ipo ipo , unakuta mtu kalelewa kijijini Hana exposure yoyote zaidi ya kujua Dar Es salaam akimaliza chuo akafaulu vizuri anapelekwa TISS au BOT or kwingineko Mara mbunge then waziri mtu kama huyo hawezi Kua faida kwa Nchi Hana jipya
Ilikuja mjadala JF JPM enzi zake Aliteua wakuu wa Wilaya na wakurugenzi kutoka hizo company na walimkatalia
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Hakuna kitu hapo. Confidence ya wapi watoto wanaandaliwa kurithi na juendeleza mali za wazazi vizuri.
 
Back
Top Bottom