Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Sasa itakubali vipi bila ya kuwasha data [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]data ni tofauti na bando ...washa data bila ya bando kisha washa vpn ..ngoma inakonecti
Umeelewa nilipoquote lkn au umekuja tu kujibu yangu?
 
Mkuu, jaribu kuwauliza google kuwa infinix hot 10i zina uwezo upi kwenye battery, ukikuta ni 6000 mAh rudi hapa uweke like, kisha upita kimyakimya wanaozijua simu wasije kukucheka!
We ni mgonjwa kumbe sasa infinix ni simu? Brand zote kali nazijua ndo mana nikamalizia mwishoni kwa kuandika bila shaka ni wanzuu nikimaanisha tecno, itel, infinix..ndo watumiaji wake wanapenda mserereko sababu sio rahisi ukute mtu ana macho matatu anahangaika na Free internet
 
Kuna mtu anatumia vpn na inaspidi maana naona ni Kama mwendo wa kobe
 
Ni usumbufu sana, vyabure vinagarama zake
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…