Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Hata Adobe ameanza kuelekea Huko na version zake za CC wanahama kidogo kidogoMkuu kama mambo yakiwa hivyo ina maana siyo game tu, kila heavy task itakuwa inafanyika kwenye cloud, ikiwemo kurun heavy apps ina maana simu hata zenye features ndogo zitawez kufanya process kubwa kama kuprocess picha, kuedit vitu, na mambo mengine ambayo yalihitaji high end phones.
Nimeona hii kwa mfano, kwasasa kuna platform kibao za kutengeneza mziki za clouds. Yani badala ya kuinstall program na plugins kwenye simu wewe unarun kila kitu kwenye cloud. Huhitaji kuwa na pc powerful sana bali unahitaji uwe na internet stable tu.
Ila mimi sijaipenda, labda kwavile sijaizoeaYes, nimeona wanasema Adobe imekuwa mfano wa kuigwa kwa jinsi inavyofanya transition kwa utaratibu mzurikuhamia kwenye cloud.
Mkuu ndiyo future ya softwares, haya masuala ya ununua software nahisi wameona yanawakosesha mapato ila zikiwa zina run kwenye cloud unalipia subscription.Ila mimi sijaipenda, labda kwavile sijaizoea
Mkuu kuna kitu kikubwa sana hujakielewa, yan bado unaongelea quantity kwamba iliweza kufanya hiki mara kile, issue ni kwamba baada ya iphone ya kwanza kutoka simu tech ikabadilika na kudhibitisha hili ndo tech tuliyonayo kwa sasa, hauhitaji imagination kuona , we angalia tu simu zilizopo kwa sasa zilinganishe na hizo nokia zako, na iphone ya kwanza ndo utajua kwamba tech ilibadirika kufuata upepo wa iphone. Hii ni fact si mambo ya kubishana.
Kila siku nawaambia the best tech siyo ile inaweza fanya kile au hiki, best ni inafanyaje hicho kitu . Mambo ya kukosa au kuwa na copy and paste siyo issue.
Kwa hiyo issue siyo how many task issue ni how do u do them. Iphone was revolutionary na hili jambo ukiweka ushabiki pembeni utakubaliana nalo.
View attachment 1618355
Hao ni investopedia ukipata muda pitia hiyo article .
Unaongea wewe lakin kwa hili amini nakwambia mtumiaji wa iphone atakuwa salama zaidi maana huwez kuibiwa simu hata na wezi pia usalama wa taarifa zako ni mkubwa
Hizo simu ndiyo maana hawatumii chokà mbayaa
Umeongelea wacheza games. Na sie tusiocheza games?
Kwanini Nokia asingetumia tech yake kutengeneza simu kama iphone 3gs au 4?Then kwanini Iphone ya kwanza ilivyotoka Nokia alimshtaki Apple kuhusu kumuiga Touchscreen na Apple akashindwa na Hadi leo kila iphone inayouzwa Nokia analipwa hela kwa sababu wameiga tech za watu?
Hawa ni wazee wa propaganda.
Mkuu mimi si mtoto mdogo, i need reasons nishaona propaganda nyingi za kusifia Apple ila unaongea na mtu ambaye ameanza kumiliki simu kabla ya iphone kutoka,
Nimekuuliza maswali hujajibu hata moja. Nafafanua zaidi.
1. Ni kweli sio quantity bali price pia, kampuni ambayo ilikuwa inasifika kuuza simu za bei rahisi za 30,000 ghafla wateja wake wamechukuliwa na kampuni inayouza simu mamilioni ya Hela ina make sense kwako? Hebu tumia hata 1% ya brain,
unachoongea hapa ni kama unasema soko la machinga limeuliwa na super market za masaki na Obey ghafla watanzania hawavai mitumba na nguo za kichina bali wanavaa jeans na tshirt branded.
2. Highend za Nokia zilitumia Open source kuanzia 2004 Maemo mpaka 2011 Meego, Simu kama N9, N900, N800, N810 etc zilitumika na Mahackers mbali mbali, Watu wanaorun distro mbalimbali za Linux, watu wanaocode na mambo mengi ya super users, so unataka kuniambia hawa watu ghafla wakaacha kuwa super user na wakaenda jela ya Ios?
3. Symbian pia ilikuwa ni maarufu kwa watu wanaopenda kutumia simu kwa matumizi makubwa, kudownload movies, miziki, magame mbalimbali, emulators, kucustomize simu, themes etc mambo haya hayakuwepo iphone na huwezi ukatoka kwenye hivi vitu ukaingia jela na kuwa sawa.
Hakuna hata mmoja anaeweza kuprove iphone imeiua Nokia ni Blah blah na Propaganda za kimarekani tu.
Lete reason hapa.
Kwanini Nokia asingetumia tech yake kutengeneza simu kama iphone 3gs au 4?
Ni sawa na mtu mwenye shamba kubwa ila asilitumie. Nokia pamoja na ukubwa wao walishindwa kuendana na wakati.
Na sababu nyingine kubwa zaidi, Nokia was too big, bureaucracy ilichangia kuwafanya wasiwe flexible kwenye kuendana na mabadiliko.
Unaweza kudhibitisha kwa data unachokiongea? Kwamba kuanzia 2007 Nokia mauzo yalianza kushuka? Unajua Golden Age ya Nokia ilikuwa ni 2010/11 miaka minne toka itoke iphone? Na mpaka leo Nokia 5250 imeuza zaidi ya unit 150m?Jamaa unachekesha sana , reason za nokia kufa ni kwamba walishindwa ku compete walijisahau kwenda na technology . Kwa hiyo ulitegemea hao hackers na hao superusers ndo waiweke nokia kwenye ramani ? Huoni ni vichekesho ? Watu wana target general public wewe unaongelea hackers ? Are u serious with business.
Pia kumbuka kampuni haifi kwa siku moja kwamba ina sales ya unit mil 500 then inakufa , Nokia ilianza kufa kuanzia 2007 baada ya ios then android , wao wakajisahau ikafika kipindi washapitwa mbali wakakimbilia microsoft naye akafa (nimetumia nokia zote hadi wondows phone najua nachokiongea. Kama unaitetea kishabiki itetee but nokia could not compete. Sasa wamekimbilia android nako ni too late game ishakuwa ngumu .
Mambo ya kusema ilikufa sababu ya internal issues ni kweli sababu they failed to catchup baada ya external factors kuwa zimeipiga .
Wao wana akili na wanaijua biashara yao kuliko wewe, wewe ni mteja tu, ndo maana walikimbilia kubadili badili na kuiuza . Nokia tuliipenda lakini ndo hivyo ukweli usemwe na ukweli ukweli utakufundisha jambo.
The same thing ilitokea kwa BB. Market forces ziliwazidi uwezo hayo mengine unayoleta ni propaganda , kwanza ni aibu kuanza kuilinganisha apple na nokia interms of mafanikio.
Mimi ninaongea propaganda nina data kila ninachokiongea naweza kukithibitisha kwa data.Huyu Mkwawa analeta ushabiki ambao hauna hata maana yaan kifupi ana nokia yake kichwani ambayo in reality haipo , hata mtoto mdogo anamcheka. sababu za nokia kufa ziko wazi kabisa , soko la simu walikuwa nalo wao waka relax , Apple waka run secret project ambayo its either ingelipa au ingefail lakini ikaja kulipa Nokia wakashtuka muda ushaenda, Android walishtuka mapema sana wakaendana na wakati . Haya mambo jamaa anasema ni propaganda. Daah
Ila wameuza sana mkuu, ila huyu Tim Cook hayuko vizuri kama alivyokuwa Jobs nadhani itafika muda wataanza ship simu bila betri
Mkuu mtu yoyote anaeongelea sababu ya Nokia kufa ni internal conflicts huwa simpingi sababu nafahamu kinachoendelea na Nokia ilikuwa kubwa sana kupelekea Elop kuia Kabisa.Kwanini Nokia asingetumia tech yake kutengeneza simu kama iphone 3gs au 4?
Ni sawa na mtu mwenye shamba kubwa ila asilitumie. Nokia pamoja na ukubwa wao walishindwa kuendana na wakati.
Na sababu nyingine kubwa zaidi, Nokia was too big, bureaucracy ilichangia kuwafanya wasiwe flexible kwenye kuendana na mabadiliko.
Unaongea wewe lakin kwa hili amini nakwambia mtumiaji wa iphone atakuwa salama zaidi maana huwez kuibiwa simu hata na wezi pia usalama wa taarifa zako ni mkubwa
Hizo simu ndiyo maana hawatumii chokà mbayaa
Jamaa unachekesha sana , reason za nokia kufa ni kwamba walishindwa ku compete walijisahau kwenda na technology . Kwa hiyo ulitegemea hao hackers na hao superusers ndo waiweke nokia kwenye ramani ? Huoni ni vichekesho ? Watu wana target general public wewe unaongelea hackers ? Are u serious with business.
Pia kumbuka kampuni haifi kwa siku moja kwamba ina sales ya unit mil 500 then inakufa , Nokia ilianza kufa kuanzia 2007 baada ya ios then android , wao wakajisahau ikafika kipindi washapitwa mbali wakakimbilia microsoft naye akafa (nimetumia nokia zote hadi wondows phone najua nachokiongea. Kama unaitetea kishabiki itetee but nokia could not compete. Sasa wamekimbilia android nako ni too late game ishakuwa ngumu .
Mambo ya kusema ilikufa sababu ya internal issues ni kweli sababu they failed to catchup baada ya external factors kuwa zimeipiga .
Wao wana akili na wanaijua biashara yao kuliko wewe, wewe ni mteja tu, ndo maana walikimbilia kubadili badili na kuiuza . Nokia tuliipenda lakini ndo hivyo ukweli usemwe na ukweli ukweli utakufundisha jambo.
The same thing ilitokea kwa BB. Market forces ziliwazidi uwezo hayo mengine unayoleta ni propaganda , kwanza ni aibu kuanza kuilinganisha apple na nokia interms of mafanikio.
Huyu Mkwawa analeta ushabiki ambao hauna hata maana yaan kifupi ana nokia yake kichwani ambayo in reality haipo , hata mtoto mdogo anamcheka. sababu za nokia kufa ziko wazi kabisa , soko la simu walikuwa nalo wao waka relax , Apple waka run secret project ambayo its either ingelipa au ingefail lakini ikaja kulipa Nokia wakashtuka muda ushaenda, Android walishtuka mapema sana wakaendana na wakati . Haya mambo jamaa anasema ni propaganda. Daah
Hapana mkuu huu ni utani tu