Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Hilo nalo neno, mtoto ambae hana maadili ukimuonya anakufugia mbwa Tena wakizunguSerikali ituache tuwawajibishe wanetu na watoto wa ndugu zetu wanapokosea haya maswala ya haki za mtoto yanaharibu kizazi
Asaivi wazazi wanawaogopa watoto kwa kuhofia serikali