Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Chief-Mkwawa ninaomba kidogo uniambie kuhusu redmi note 10 nikiingia gsm naona upande wa redio wameandika unspecified.je inayo au haina pia kuhusu sim kuipa kioo cha corning golila 3 je hailet madhara makubwa kama vile ingepewa 5? Je bei nilionunua jana ya promotion380 je kuna sim yeyote inayoizid spec hiissimu yenye bajeti hio