Unabisha Nini wakati karibu robo ya wamarekani ni wakatoliki?Mi zangu ni hizi hapa,70% ya nchi masikini ni Catholic affiliative......nawe weka zako zinazoonesha kwenye kila wa-U.S.A watano,mmoja ni mkatoliki,.......na pia sijasema walioleta ukatoliki ni masikini,bali nchi zinazotawaliwa na wakatoliki ndio masikini ......ushawahi ona mission ya kikatoliki,china,Japan,Australia,Dubai ama Saudi Arabia[emoji16][emoji16]
View attachment 1821678
Sasa robo means 25%[emoji38][emoji38][emoji38],ina imapact gani hio?.......ndio mana marekani si taifa masikini na la kipumbavu kama D.R.C ambapo 90% ni CatholicsUnabisha Nini wakati karibu robo ya wamarekani ni wakatoliki?View attachment 1821697
Hebu tuseme ulicho andika ni kweli..Mhhh katoliki inafata masikini ili kuwasaidia?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38],toka liingie Kongo na Africa ya Kati,limeondoa umasikini kwa asilimia ngapi?
==============miaka 50,iliopita Arabsd,Indonesia,china,Taiwan walikua kama Africa tu......sema nini,walipigana kiume kua hawataki mambo ya mission Catholism.......
Nchi sita tajiri,mbili zipo middle east huko hakuna ukatoliki[emoji38][emoji38],.........nchi zilizobaki zingine napo hawaukumbatii ukatoliki kama latin America na AfricaCha kwanza jua Kanisa halifati matariji, Linafata masikini ili kuwasisidia..
Pili ungefanya comaparison ..yaani kama inchi sita masikini ndio kanisa lilipo pia ungeonyesa nchi sita tajiri duniani then sema ni dini gani ipo hapo,
All in all ni wale wale haters ...au huna point ya msingi...
Ukirudi tutajie inch zenye vita zaidi duniani then tupe na dini kuu iliopo katika hizo inchi.
Mtu mzima unataka mwanaume akutafunie data wakati unaziona?[emoji38][emoji38],huamini kua palipo Catholics umasikini unanukia kwa kasi ya ajabu......maaana wao wapo kuchuma maliHebu tuseme ulicho andika ni kweli..
Twambie sasa vice versa yake..
Niwapi palikua na umasiki wakutupwa then dini flan ikaingia mambo yakanyooka?
Then uje na data katika ulimwengu huu ni nchi gani wakatoliki hawapo?
Nchi zenye vita duniani ni kama Libya,Iraq,Syria,Palestine........lakini ndio nchi zinazoongoza kupigania rasilimali zao zisitoke nje kizembe kama nchi za kikatoliki zilizotapakaa Africa na Latin America.......uchumi wa Libya ni mara elfu ya uchumi wa nchi yeyote ya kikatoliki Africa kama D.R.C,Mozambique na Cental African Republic,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]Cha kwanza jua Kanisa halifati matariji, Linafata masikini ili kuwasisidia..
Pili ungefanya comaparison ..yaani kama inchi sita masikini ndio kanisa lilipo pia ungeonyesa nchi sita tajiri duniani then sema ni dini gani ipo hapo,
All in all ni wale wale haters ...au huna point ya msingi...
Ukirudi tutajie inch zenye vita zaidi duniani then tupe na dini kuu iliopo katika hizo inchi.
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, Bwana ndiye aliyezitandaza mbingu na ardhi.Kanisa Katoliki kwa miaka nenda rudi wamekuwa na utamaduni wa kujilimbikizia maeneo makubwa ya ardhi nchi mbalimbali, na ardhi hiyo huwa inasauiliwa Vatican kama milki yao halali.
Kanisa limekuwa likifundisha kwamba tusijiwekee akiba duniani, lakini lenyewe ndio kinara wa kujilimbikizia ardhi.
Mathayo 6:19-20
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba."
Haya mafundisho naona yanakinzana na kile ambacho kanisa linakifanya. Sasa ningependa kujua nini dhamira ya kanisa kumiliki haya maeneo makubwa? Kijijini ni mfano tu, kanisa linamiliki zaidi ya heka mia mbili, za nini zote hizi kama sio ulafi tu na ubinafsi?
Hebu tujulishane nyuma ya mpango huu kuna nini kilichojificha?
Kwanini ardhi isajiliwe kama ni mali ya Serikali ya Vatican?
Umeeleza vizuri sana lakini hujatenda haki katika maelezo yako ya mwisho,nakushauri uyaondoe,kumbuka kanisa Katoliki ndio chanzo cha makanisa mengine yote,tafadhali sana.Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
We jamaa ni mbishi Sana. Hiv hiz nchi zilizojaa wakatoliki Kama wote ni maskini?Nchi sita tajiri,mbili zipo middle east huko hakuna ukatoliki[emoji38][emoji38],.........nchi zilizobaki zingine napo hawaukumbatii ukatoliki kama latin America na AfricaView attachment 1821701
Kijana tazama hapo Kama Kuna maskiniMtu mzima unataka mwanaume akutafunie data wakati unaziona?[emoji38][emoji38],huamini kua palipo Catholics umasikini unanukia kwa kasi ya ajabu......maaana wao wapo kuchuma mali
Zipo lakini hawaishi kwa kujitangaza wanazingatia zaidi huduma kwa watu maskini ambako nyie matajiri hamuendi.Kuna uhusiano wa nchi tawaliwa na kanisa katoliki na umasikini uliotopea kwa raia wake..,.hutumia mwamvuli wa dini kuwakandamiza watu.....katoliki ipo sana Africa na latin America....huko ndio kwenye masikini wenyewe sasa.
Europe katoliki ipo Italy sana tena wengi ni non believer.......ushawahi ona mission ya katoliki ipo U.S.A,U.k,china,Japan ama nchi za kiarabu?[emoji16][emoji16]
Shida moja naiona ni kwamba kanisa limewekeza sana kwa watu maskini na nchi maskini limejenga huko huduma za jamii kama mashule,vyuo,hospital,na mambo mengine mengi,kanisa kanisa lisingeenda kufanya hayo maendeleo maeneo sijui hali yao ingekuwaje ,kwa uhakika hao watu lazima wakatoliki kwa ndio waliopo hapo(minus catholic investments=zero development in that specific area) baadaa ya wanasingiziwa wao sasa kwamba ndio wamepeleka umaskini,chukulia maeneo maarufu ya mission Tanzania hii wengi tunayajua,then assume unaondoa kila kitu walichofanya wao since then,pangekuwa na nini?kumbuka maeneo hayo kwa sasa ndio yanaongoza kwa kutoa wasomi wengi,je serikali ingewekeza sawa na ilivyo sasa katika maeneo hayo hayo?Burundi, Mozambique, DRC, Congo Brazaville, Afghanstan...hawa hawana waislamu eeh? Anyway, mimi ninavyojua kutafuta excuse ni kujifariji nafsi ila sio dawa ya tatizo.
Na Tanzania je? Kenya? Rwanda? Hii mada unavyoiweka inaonyesha tatizo lile lile linalotusumbua...ufinyu wetu wa fikra. Na kufikiri dawa ni kubadilisha wananchi wote tuwe dini moja ya kiislamu.
Hilo halitakaa kutokea. Maendeleo tuamue tuyatafute kwa nguvu kama raia. Tukianza kuendekeza inferiority complexes zetu, tutakuwa tunajidanganya nafsi.
By the way, hizi dini zipo toka karne na karne na wamepigana vita kama vyote na hakuwahi kutokea mshindi. Unafikiri ni kwanini? Fanya kazi ndio msingi wa maendeleo. Muabudu mwenyezi Mungu ndio chanzo cha hekima na maarifa. Nyingine hizi hadithi ambazo hazina mbele wala nyuma
Hakuna masikini ndio ......lakini hio haiondoi uhalisia,......kua 70%ya nchi masikini ni Catholics in origin......Kijana tazama hapo Kama Kuna maskiniView attachment 1821704
Kagera,Mtwara,Ruvuma mbona hujaziweka kiongozi?[emoji16][emoji16]spleen yupo anaangalia DRC ambayo ni failed state na Ina mfumo mbovu na kusingia ukatoliki.
Tazama Tanzania mikoa yenye ahueni Kama Kilimanjaro, njombe,morogoro,songwe ndo Ina idadi kubwa ya wakatoliki
Tazama Lindi iliyochikilia umwinyi na uislam ilivyo katika Lindi la umaskiniView attachment 1821720
Aisee wewe ni muongo sanaa sana sana. Sanaaaa. Tena hapo usa ndo usiseme. Na yanawasaidia wahitaji wengine bila ubaguzi mpk nyumba za kuishi. Aibu yakoKuna uhusiano wa nchi tawaliwa na kanisa katoliki na umasikini uliotopea kwa raia wake..,.hutumia mwamvuli wa dini kuwakandamiza watu.....katoliki ipo sana Africa na latin America....huko ndio kwenye masikini wenyewe sasa.
Europe katoliki ipo Italy sana tena wengi ni non believer.......ushawahi ona mission ya katoliki ipo U.S.A,U.k,china,Japan ama nchi za kiarabu?[emoji16][emoji16]
Kwahiyo kwenye mtihani ukiulizwa sababu ya hata mataifa kuwa masikini ni kwasababu walikua chini ya mandatory ya catholic?[emoji23][emoji23][emoji706]Hilo mbona linajulikana,na wala si mawazo yangu,hii ni fact kabisa............
Ona hapo nchi ya kwanza hadi ya sita Afrixa zinazoongoza kwa umasikini ni Catholic empire View attachment 1821563