Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Quran ni takataka inayoongoza kudurufu na kujimilikisha Kazi za watafiti nguli bila aknowlegement
 
Umemsahau Yuda Eskariote.Ksmq wamgekuwa na akili,wasingemsulubu Yesu,aliyekuja kuwakomboa,na kumuua.
 
Mansa Musa je?!!!
 
Mkuu huna pdf ya hicho kitabu utupiemo humu na sisi tufaidike?
Hakima faida yoyote,dunia nzima,inategemea Algebra(jina la muislam).Kila ujachokiona kinatokana na IT(information technology)na IT inategemea algebra,bila algebra,dunia ingekuwa gizani.Hao wayahud wangekuwa na akili,wasingemuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa.Lakini walimkata,wakampiga,wakamchoma mkuki,wakamtesa,wakamvalisha nepi,wakamsulubu,wakamuua,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Wakati Yesu,alikuha kuwakomboa.
 
Thibitisha kuwa Neils Bohr alikuwa ni myahudi...Acha uongo ndugu.
Bila Algebra(muislam huyu),dunia ingekuwa gizani,algebra ndio inatumika katika IT(information technology),na bila IT,dunia ingekuwa gizani.Kila unachokiona kimetengenezwa na binadamu ni kupitia kwa IT,na IT ibatokana na Algebra.
 
Mtoa mada katoa na mifano nawe tupe mifano ya watu wenye akili kwenye jamii yako
 
Japan kuna Wayahudi?
Wajapan hawajawa na mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya dunia au kufanya vitu vingi muhimu vya kuwagusa watu wengi wa dunia kama Wayahudi, Vitu muhimu vilivyofanywa na watu wenye akili kubwa Japan vimekuwa limited kuwanufaisha kwao Japan zaidi.
 
Wajapan hawajawa na mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya dunia au kufanya vitu vingi muhimu vya kuwagusa watu wengi wa dunia kama Wayahudi, Vitu muhimu vilivyofanywa na watu wenye akili kubwa Japan vimekuwa limited kuwanufaisha kwao Japan zaidi.
Bidhaa zote za makampuni ya Kijapani zinazotumiwa dunia nzima haziwanufaishi watu?

Kila siku nawaona viongozi wa Tanzania wakiendeshwa kwenye magari ya Kijapani.

Vivyo hivyo Kenya, Uganda, na kwingineko duniani.

Tanzania magari mengi ni magari ya Kijapani. Hayo siyo manufaa?

Vyombo vya umeme vingi vyenye ubora ni vya Kijapani.

Vyuo vya Kijapani vimewapa na vinawapq taaluma watu wengi wa kutoka kila pembe ya dunia.

Kuna walimu wengi tu wa UDSM ambao wamesoma kwenye vyuo vya Kijapani.

Hayo siyo manufaa?
 
I am sorry To say This But Hii Umeongea Uongo kwa 90%
 
WaAfrika sijui ametuloga Nani aisee wazungu kwa propaganda wapo poa Sana aisee
 
This is mine alienation
 
Utalinganisha vumbuzi(INVENTIONS) za jeans, chanjo, cherehani, drip irrigation, WiFi, silaha, nadharia za ujamaa na hizo biashara za magari ya Wajapan waliyoendeleza hapo juzi kati tu ? Hapo bado sijaongelea arts (walivyoikamata Hollywood), music, media na literature. Bado finance, economics, psychology majina makubwa ya Wayahudi yanatamba. Kazi za Wayahudi ni consequential, tuache utani.
 
I am sorry To say This But Hii Umeongea Uongo kwa 90%
sibishani nawe maana ulichoandika ni matokeo ya fikra duni kupindukia ulizo nazo na ipo wazi sana shetani amepofusha fikra za wengi nawe ukiwa mmojawapo ili nuru ya injili isikuzukie.
Na kama hicho kidogo tu nilichoandika unasema ni uwongo basi u duni mnoooo kwenye uelewa kuhusu Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…