Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Yeye ndiye alikuwa mjinga namba moja, huku niliko kila ukijitambulisha unatokea tz wanauliza kwa yule rais mjinga aliyeikana corona lakini ikamwondoa mwenyewe? Wanashangaa tulimchaguaje zwazwa atuongozeShida ni kwamba maono ya Magufuli alikuwa anataka kuyatekeleza kwa watu wapumbavu.
Yani kosa la Magufuli ni kujaribu kuwazindua watu wajinga wajitambue
Ushauri huu asiufanyie kazi amseme vibaya JPM kwa wananchi kwenye mwendo Kasi atapigwa auwawe.Mkuu una hoja ya msingi, sasa unaonaje ukitoka nyuma ya keyboard ukaingia mtaani hata hapo ulipo mtaani kwenu ukawakusanya watu halafu uwaambie ujumbe huu huu uliotuletea hapa, halafu utuletee mrejesho na kavideo pia katapendeza. Maana binafsi nauona huo moyo wako wa kuhamasisha watu wengi wenye hisia kama yako washiriki jambo hili, basi ingia field sasa mzee. Au ukishindwa kuwakusanya watu mtaani basi chagua basi lolote au kwenye mwendokasi uwafikishie watanzania wenzetu ujumbe huu ili nao ambao washiriki hilo suala.
Alikugusa mpiga dili huwezi kumpendaKmmk wallah! Alikuta sukari sh ngapi?
Mafuta ya kula sh ngapi kwa ltr?
Unajua ni kampuni ngapi zilishindwa kujiendesha na watanzania wangapi wanaumia na familia zao mpaka sasa?
Yule jamaa alikua shetani. Amewatia watu kwenye umasikini wa hali ya juu mpaka najiuliza hawa watu nini hatma zao na familia zao.
Watu wanaompenda ni zile mbwembwe na kubweka hovyo hovyo
Mnafiki wewe unayelalamika eti umasikini wako umesababishwa na JPM kumbe mchawi Ni nwenyewe kuendekeza chuki za kijinga dhidi ya watu.Wewe una mapenzi mema na taifa? Mnafiki mkubwa
Mimi siyo maskini jinga wewe, kama wewe ni maskini usidhani kila mtu ni maskini mfMnafiki wewe unayelalamika eti umasikini wako umesababishwa na JPM kumbe mchawi Ni nwenyewe kuendekeza chuki za kijinga dhidi ya watu.
Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Mkuu hata ukimuombea msamaha Kuna watu hawatoweza kumsamehe kwa sababu aliwabana Sana na wao Ni wakwepa Kodi,vyeti feki ,wapiga dili wakaishi maisha ambayo hawakuwahi kuwaza wataishi wanahasira sana.wengi wanaomtukana yule mzee Ni wabinafsi tu hawana mapenzi mema na taifa hili.
Daah jamaa kasaulika mapema sana. Hata nusu mwaka bado!Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Wajinga hao... Wafuatilie vizuriKweli kabisa, huku kitaa watu wengi bado wanammiss!
Ila aliwakomesha na kuwaweza kweli kweli. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wale wale ID zile zile mnaama tu threads, mkimaliza mnajifariji JPM alikuwa hapendwi. Njoo kitaa utayapata majibu mazuri kuhusu JPM.
Kwa waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba, ndugu zao bado wanaimani jamaa zao wamekimbia familia!! Duh walioshiriki kuuwa Mungu anawaona!!!Mkuu naunga mkono hoja ila tu ungeishia na kichwa cha habari na aya ya kwanza tu.
Ukianza kuweka sababu tu, hoja yako ya msingi inasambaratika kama gunia tupu lisilioweza kusimama likiwa tupu.
Uhalalishe vipi:
1. Ben, Azory na wa namna hiyo kupotea.
2. Mawazo kuuwawa
3. Kina Lissu kupangiwa kuuwawa
4. Nk nk.
Katika awamu ile kulipita uovu mwingi usiokuwa kifani.
Kwa waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba, ndugu zao bado wanaimani jamaa zao wamekimbia familia!! Duh walioshiriki kuuwa Mungu anawaona!!!
Wale wale ID zile zile mnaama tu threads, mkimaliza mnajifariji JPM alikuwa hapendwi. Njoo kitaa utayapata majibu mazuri kuhusu JPM.
Wapumba.vu wanahisi "watanzania" ni jf na hao makahaba wa tweeter.Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Yule alikuwa kichaa kabisa, sijui kwanini vyombo vya usalama havikiligundua hilo!Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Kweli kabisa, huku kitaa watu wengi bado wanammiss!