hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Naitumikia nchi inayoongozwa na Rais Samia ambaye amejitoa na kujitolea kuijenga nchi yetu
I hope na ww umeenda China now haha au ww level yako ni kupiga makelele huku tu
Tafuta kazi ya maana ufanye au Jenga hoja ambazo kila mtu zitampa faida na sio kulia kulia mapambio Tu hapa
Yy mwenyewe rais anajua Kwa Aina hiyo mnapamba tu