MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Haina shida. CHADEMA waandike barua kwa katibu mkuu wa CCM kuomba msaada wa jukwaa. CCM imebeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo wanachademaKatika hili nakuunga mkono 100%
Kama vipi CCM ya Lucas Mwashambwa imchangie Lissu jukwaa ambalo litakuwa movable Kila aendako.
Siasa Si uadui. Cc : Erythrocyte