Nakubaliana na wewe kwamba jiwe alikuwa shetani na nusu. Lkn huyu tulie naye, alipaswa kuwa anafanya kazi za jikoni tu. Kuna siku alikuwa mgeni rasmi KKKT siku ya jumapili, akasema "nakushukuru kwa mwaliko, vinginevyo siku ya leo ningekuwa napanga nguo kabatini".Jiwe alikua shetani mkubwa,na hao unaowasema pia ni mazuzu fulani hawana maajabu wala connection na mfumo mkuu wa nchi,
Kama samia kawa rais basi hao uliowataja wangekuwa better mara 100 ya samiaKwamba huyo ambaye angekua replacement ya Samia mfano Mwigulu au Nape ndio ingekua better? CCM haijawahi chagua Rais based on uzalendo au uchapakazi ila inaangalia urahisi wa kuiba. Ni ajabu watu kuwaza eti Samia asingekua Rais basi angepewa "kichaa" kama Kabudi au Bashiru!!
Yule lofa kama lile lofa lililojiozea chini ya ardhi,Watu walimuona Ndugai kichaa ila yule jamaa ana akili sana.
Nani kama sami dunia hii. Hata nyerere hajamfikia. Jpm hata robo yake hamfikiiKama samia kawa rais basi hao uliowataja wangekuwa better mara 100 ya samia
Jpm hakuwahi kumkubali Samia.Kwa kipi alichofanya Bashiru Ally kudhani angefaa kuwa Rais? Kama tu alikana msimamo wake wa katiba mpya ili apewe ubunge sidhani kama angetupeleka kokote. Angeturudisha kwenye sera za ujamaa, he would be worse than Samia.
Kingine kama JPM alimteua Samia kuwa makamu na hakua mtiifu kwake ni kosa la Samia au JPM? si mlisema JPM alikua genius kama!! Kama tu succession plan ya kuandaa Rais ajaye alishindwa huo ugenius wake uko wapi?
Jpm alikuwa nakubali wauaji kama yeye tuJpm hakuwahi kumkubali Samia.
Ni vile tu protocol za chama zilimbana
Sahivi kwenyewe katiba haifatwi, mambo ni yale yale tu. Angalau angekuwa mtanganyika mwenzetu tungesema sawa, ila huyu mzanzibari kutuibia inauma sanaHatuwezi kuwasifu hata siku moja watu waliotaka kwenda kinyume na Katiba yetu hata kama mambo ni mabaya kiasi gani.
Bora wauaji walikuwa wanaua mchwa wala nchi kuliko huyu hata bibiako kule kijijini kwenu atajifia tu kwa njaaJpm alikuwa nakubali wauaji kama yeye tu
[emoji23] [emoji23] Naona chawa umepanic povu linakutoka hatariYule lofa kama lile lofa lililojiozea chini ya ardhi,
Atakufa vipi wakati wajukuu wake sasa wana ajira. Mama kamwaga ajira kila kona sasa hivi zimejaaBora wauaji walikuwa wanaua mchwa wala nchi kuliko huyu hata bibiako kule kijijini kwenu atajifia tu kwa njaa
Huyu mwamba anafeli sana hoja zake;hivi kwa mtu msomi na akili timamu unaweza kutetea uongozi mbovu uliojaa ufisadi na uzembe chini ya Samia!!Hapa jukwaani wewe na Lumumba Malcom...
Ndio wasomi pekee mnaopingaga aina ya uongozi wa JPM na Nyerere bila hoja za msingi ...
mambo hayaendi kwako lakini kwa nchi yanaenda vizuri sanaKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Umesema vizuri sana.Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.
Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.
Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!
Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
mambo hayaendi kwako lakini kwa nchi yanaenda
Mke wa kukimbia changamoto naye ni shida piaTungekuw tunaongozwa na lile dubwana sasa hivi ningekuwa napembea najisemea mwenyewe kama chizi. Shukrani Samia sasa hivi maisha yangu mazuri nimepata ajira serikalini na mke wangu alienikimbia kwa ukata karudi.
Yule jamaa yeye alukuw nawaza barabara tu.