Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 1,059
- 3,504
Huyu atakuwa mtangazaji wa ITV aliyechoshwa na utamaduni wa kaleIPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu
Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kipata mikopo mikubwa?
Mnachotakiwa kufanya ni ubora wa Video za vipindi vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji
Waafrika kuendeleza kampuni idumu miaka 200 plus ni kazi sie twaweza kula mbususu na dawa za kuongeza nguvu za kiume tunasahau nguvu za kichwaniMwenye nayo alishafariki, wanaila na hawaendelezi mpaka ife
Absolutely. Alipaswa kuwaachia pesa cash tu, ili wao ndio waanzishe vya kwao vipya..Kama ndo hivyo bora angeuza mali zote kuliko kuwaachia
Mzee masawe au 😃😀😀
Regina??Mishahara wanalipa kwa wakati mkuu naona labda wameona upande ule hauna faida kwa ITV ila upande wa eatv kule yule mwanae wa kike anasimamia vizuri sana
Rainfred Masakokuna mzee mmoja alikua anavaa shati suruali na ile mikanda inapita mabegani sjamuona miaka ya hivi karibuni
Ukabila katika kampuni binafsi ni tatizo kubwa sana kwa hapa Tanzania..Hapana nilikimbia kwa sababu walinifanyia unafiki wazee wale
What if he is "Kilaza"?? Kwa hiyo mimi nisizungumze Russian nzuri mbele ya Delegation kutoka Ubalozi wa Russia hapa Tanzania kisa nitamu outshine my Master anayeyua Russian kwa kiwango cha chini??Never outshine your Master
Wapumb@vu wa namna hiyo nimekutana nao saana katika misele yangu ya kutafuta tonge..Kuna baadhi ya watu wenye umri mkubwa ukifanya nao kazi unapojituma wanaanza kukuona unataka kuwafukuzisha kazi, mapema sana wanakuanzishia figisu. Mwishowe unatupa taulo na kuwaacha!
rainfred masako "kipima joto wiki hii"
Upo sahihi mkuu.Tatizo sio camera, tatizo ni wanarusha matangazo kwenye Standard Definition SD 480i.
Imagine, hafu mtu unaangalia kwenye TV ya 4K
Hapo wabadili kila kitu mpaka watu wnyw wabadilikehapo inabid kubadilisha na mitambo include transmitter sio rahisi
Gari la kufanyia production ya mpira ina zaidi ya camera 20 sasa jiulize hapo imetumika sh ngapi na hapo kuna lens + camera ni zaidi ya 500mKuna Siku niliiona mtandaoni Azam media, wanasema wamenunua kamera mpya idadi Fulani. Ila Bei ya hizo Camera Moja ni Tsh 300Mil
Siku jaribu kwenda azam tv, 90% ni vijana.Nimefanya kazi ITV Miezi 9 nikaacha kumejaa wazee wabishi sana kuanzia upande wa sound hadi IT na graphics wamejaa wazee wa kichaga tu miyeyusho sana hao