Iramba: Serikali kupitia TARURA yatoa TZS 7bl kufungua barabara

Binafsi naamini its better kusema serikai imetoa pesa kuliko kusema rwis ametoa pesa

Hizi sentiments kuna siku zitatucost (na zimeshawahi kutucost pale ambapo mtu alifikia hatua ya kufanya pesa zote kuwa zake)

Turudi kwenye ustaarabu wetu wa jadi
 
Binafsi naamini its better kusema serikai imetoa pesa kuliko kusema rwis ametoa pesa

Hizi sentiments kuna siku zitatucost (na zimeshawahi kutucost pale ambapo mtu alifikia hatua ya kufanya pesa zote kuwa zake)

Turudi kwenye ustaarabu wetu wa jadi
Mkuu hebu soma aya ya kwanza ya habari hii,
 
Ikumbukwe kuwa hizo pesa zinatolewa na wananchi hususani maskini wanaokamuliwa kila siku kupitia tozo mbalimbali za miamala na malipo.

Ikumbukwe vilevile kuwa bidhaa zinapanda bei kila siku inayoitwa leo ili hali vipato havijaongezeka. Kwa busara ilikuwa ni vema kuwapongeza wananchi wanaovumilia tozo ambazo ndizo zinajenga hiyo miundombinu badala ya kumpongeza Rais anayepanga matumizi.

Krismasi Njema!
 
Rais anafanya kazi kwa niaba yetu mkuu, Asante X-mass njema na kwako pia,
 
Mkuu hebu soma aya ya kwanza ya habari hii,
Na wewe soma title ya habari… hakuna waandishi wa habari wa hovyo kama wa kwetu… samia stoa pesa kumfungulia mwigulu barabara… what about the government? What about the people?

Wameacha principles za uandishi kabisa

Rais Samia atoa TZS 7.3BL kumfungulia barabara Dkt Mwigulu Nchemba Iramba,​

 
Rais ni taasisi mjomba, Rais ndio mshauri mkuu wa Gvnt budget
 
Hata kama macho hayaoni ata majirani huwasikii wakisemasema huko mtaani kwenu kazi za mama?
 
Rais ni taasisi mjomba, Rais ndio mshauri mkuu wa Gvnt budget
Rais ni taasisi… very true

Lakini serikali ila muundo wake na mfumo wake wa ufanyaji kazi…. Don’t deresponsibilitize people ili badae mdilute roles za key people in the system who offer quality technical services

This was not our culture before president Magufuli

Msilete perepete zenu
 
Unachukia vile Rais Samia anapiga kazi?
 
CHADEMA inawauma sana hii performance ya Rais wetu aise
 
State ndio nini, Hata wewe mbona hujui zaidi yake?
duuh

nimezungumzia kitu very professional aisee wewe umegeuza namuonea wivu mtu asiejua lolote kama samia?

Samia kwenye account personal ana hata shilingi mia to her name?

Nothing

Truth ni kwamba ,ni state imetoa not these matarishi ndugu!
 
Aise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,

Huyu mama atawala mpaka achoke aise
Hii sio miradi ya samia, ni miradi ya serikali, serikali ndio inatoa hela kupitia kodi yako pamoja na misaada na mikopo kutoka ndani/nje. samia hatoi chochote na hata kodi halipi.
 
Hahahaa

Hujui maana ya State mkuu?

Shule ulisomeshwa na wazazi wako kwa hasara

Si ajabu maana hata jina lako hujui jinsi la kuliandika sawasawa,umeandika Bitcoine badala ya Bitcoin,kuna ujinga mwingi unao ndio maana!
Hahaha,

Sasa maswala ya jina langu unataka unifundishe tena namna ya kuliandika?

Wewe hujui ata nini maana ya "State "

Elewa Rais ni taasisi mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…