Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
TZS 7.3BL ni haba mjomba? Unataka tukae kimya?Barabara bado ni vumbi kabisa Hamna lami bado mnatoa sifa kem kem. Mnapaka mafuta Mama Semia hila habebeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TZS 7.3BL ni haba mjomba? Unataka tukae kimya?Barabara bado ni vumbi kabisa Hamna lami bado mnatoa sifa kem kem. Mnapaka mafuta Mama Semia hila habebeki.
Na mlikua na mbunge tena anapenda mipasho kumbe barabara hakuna jimboni kwakeIramba kwa mara ya kwanza katika historia inapokea mzigo wa TZS 7.3BL za barabara,
#IRAMBA TUMUUNGE MKONO RAIS WETU ANAFANYA MAMBO MAKUBWA,
Nilitegemea mumuwajibishe mbunge wenu inakuaje miaka nenda rudi hamna barabara? Huduma nyeti kama hiyo, wakulima wananufaika vipi na kufikisha mazao yao sokoniKhaaaa, Kwakweli huyu Mama anajitahidi sana, Iramba haikuwa na Barabara kabisa, Kazi nzuri sana Rais wetu
KaziiendeleeAise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,
Huyu mama atawala mpaka achoke aise
kazi nzuri sana hiiView attachment 2052042
SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga TZS 7.3BL kwa ajili ya kufungua barabara za Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida ikiwa ni utekelezaji wa kauli mbiu yake ijulikanayo kama ‘Tunakufungulia barabara kufika kusikofikika’.
Aidha kwa niaba ya Rais Samia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo,Waziri wa Nchi Ofisi ya Raia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema azma ya Serikali ni kufungua barabara za vijijini ili wananchi waweza kufanya kazi zao bila kikwazo cha usafiri.
Akikagua barabara ya Shelui - Tintigulu inayojengwa kwa urefu wa kilomita saba, Waziri ameelekeza barabara hiyo ijengwe kwa ubora unaotakiwa ili iweze kudumu na kuwasaidia wananchi wa Shelui katika shughuli zao za kila siku.
"Lengo la Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuwafungulia wananchi wa vijijini barabara ili isiwe kikwazo tena katika shughuli zao na hapa nimeona baada ya barabara hii kukamilika inakwenda kufungua na kurahisisha mawasiliano ya kata tatu na vijiji sita,"amesema.
Pia Waziri Ummy alimuelekeza Meneja wa TARURA Wilaya ya Shelui, Mhandisi Evance Kibona kuhakikisha kuwa wanafanya usanifu wa Daraja la Nshoka linalounganisha kata za Shelui - Tintigulu ili barabara hiyo inayojengwa iweze kuleta manufaa zaidi kwa wananchi wa maeneo hayo.
"Nimekagua ujenzi wa barabara, umeanza lakini nimeona kuna mto Nshoka ambao unatakiwa kujengewa daraja ili barabara hii inayojengwa iweze kuleta manufaa, vinginevyo bado watakuwa wanapata usumbufu wakati wa mvua nataka tumalize kabisa changamoto hii.
"Mto huu ni mkubwa na hakuna daraja sasa wakati wa mvua wananchi hawawezi kupita hapa hivyo ni vyema hapa pakajengwa daraja ili barabara hii iwe na tija stahiki, hivyo wahandisi anzeni kufanya usanifu na muingize kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2022|23 tuweke ujenzi wa daraja hili kwenye bajeti yetu.
Akizungumza wakati wa ukaguzo wa barabara hiyo ya Shelui-Tintigulu Meneja wa TARURA Wilaya ya Iramba, Mhandisi Evance Kibona amesema, ujenzi wa barabara hiyo umeanza Desemba 11 na utakamilika Juni,2022.
Wilaya ya Iramba ilikuwa na majimbo mawili ya Iramba mashariki|Mkalama na Iramba magharibi kabla ya Mkalama kuwa Wilaya, Jimbo la Iramba Magh linaloongozwa na Waziri wa fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba,Iramba Kaziiendelee
Ila wabongo 🤣🤣🤣kwa unafiki tuko next level!!!Aise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,
Huyu mama atawala mpaka achoke aise
Fact sana mkuu ,kwa maana hajatoa mfukoni mwakeBinafsi naamini its better kusema serikai imetoa pesa kuliko kusema rwis ametoa pesa
Hizi sentiments kuna siku zitatucost (na zimeshawahi kutucost pale ambapo mtu alifikia hatua ya kufanya pesa zote kuwa zake)
Turudi kwenye ustaarabu wetu wa jadi
Sahihi Mwigulu Iramba magharibi ,the so called Belgium Singida masharikiHili jimbo ni la Mwigulu Nchemba
Huyo anaumia moyoni kama sio mtanzania.TZS 7.3BL ni haba mjomba? Unataka tukae kimya?
Walikosea tu nadhaniSahihi Mwigulu Iramba magharibi ,the so called Belgium Singida mashariki
Hakuna kama Rais SamiaAise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,
Huyu mama atawala mpaka achoke aise
aaaaahhhhhaaaaahh, umesha edit!!! Unabisha?Soma vizuri, acha kukurupuka
Huo unaoongea ni unafiki. Samia anaweza kutoka, wakaja wazuri zaidi yake?Aise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,
Huyu mama atawala mpaka achoke aise
Hakuna upuuzi kama huo. Samia atamaliza muda wake wa miaka 5 au 10, ataonfoka. Watakuja wengine, ndiyo itaratibu. Watu wenye hekima na akili hufiata itaratibu.Ila umma ndio wenye mamlaka,
Ndio, Kumi inatosha, Katiba lazima iheshimiwe japo tunamuhitaji zaidi ya miaka 20Hakuna upuuzi kama huo. Samia atamaliza muda wake wa miaka 5 au 10, ataonfoka. Watakuja wengine, ndiyo itaratibu. Watu wenye hekima na akili hufiata itaratibu.
Diku zote watu wenye akili na hekima hupenda kufuata utaratibu. Rais Samia kama ana akili na hekima, hawezi kukubali ujinga wa eti kuongezewa muda. Maana hayo ni maneno ya wanafiki wajinga.
Hili ni kweli nauhakikaHuo unaoongea ni unafiki. Samia anaweza kutoka, wakaja wazuri zaidi yake?
Kuna msemo usemao, always the best are not yet born. Nyuma yetu wanakuja wazuri zaidi.