Iramba: Serikali kupitia TARURA yatoa TZS 7bl kufungua barabara

Iramba kwa mara ya kwanza katika historia inapokea mzigo wa TZS 7.3BL za barabara,

#IRAMBA TUMUUNGE MKONO RAIS WETU ANAFANYA MAMBO MAKUBWA,
Na mlikua na mbunge tena anapenda mipasho kumbe barabara hakuna jimboni kwake
 
Khaaaa, Kwakweli huyu Mama anajitahidi sana, Iramba haikuwa na Barabara kabisa, Kazi nzuri sana Rais wetu
Nilitegemea mumuwajibishe mbunge wenu inakuaje miaka nenda rudi hamna barabara? Huduma nyeti kama hiyo, wakulima wananufaika vipi na kufikisha mazao yao sokoni
 
kazi nzuri sana hii
 
Binafsi naamini its better kusema serikai imetoa pesa kuliko kusema rwis ametoa pesa

Hizi sentiments kuna siku zitatucost (na zimeshawahi kutucost pale ambapo mtu alifikia hatua ya kufanya pesa zote kuwa zake)

Turudi kwenye ustaarabu wetu wa jadi
Fact sana mkuu ,kwa maana hajatoa mfukoni mwake
 
Aise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,

Huyu mama atawala mpaka achoke aise
Huo unaoongea ni unafiki. Samia anaweza kutoka, wakaja wazuri zaidi yake?

Kuna msemo usemao, always the best are not yet born. Nyuma yetu wanakuja wazuri zaidi.
 
Ila umma ndio wenye mamlaka,
Hakuna upuuzi kama huo. Samia atamaliza muda wake wa miaka 5 au 10, ataonfoka. Watakuja wengine, ndiyo itaratibu. Watu wenye hekima na akili hufiata itaratibu.

Diku zote watu wenye akili na hekima hupenda kufuata utaratibu. Rais Samia kama ana akili na hekima, hawezi kukubali ujinga wa eti kuongezewa muda. Maana hayo ni maneno ya wanafiki wajinga.
 
Ndio, Kumi inatosha, Katiba lazima iheshimiwe japo tunamuhitaji zaidi ya miaka 20
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Kuna comments za kinafiki humu, huu uzi upewe tuzo haa haahaa haa, daah!

Everyday is Saturday................................😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…