Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi


1. Wapi CV yako ndugu wewe ujidhaniaye kuwa bora kuliko kina Mandela, Gaddafi, Museveni au Kagame?

2. Kumbe Mandela aliongoza muda mrefu? Kwani unakukuruka hivi kutokea kijiwe kipi ndugu?

3. Kwani wananchi wa Libya, Rwanda au Uganda unadhani wana admiration yoyote kwako na hisia zako kwa viongozi wao?

4. Uliwahi kusikia wasauzi wangapi wamezamia Tanzania? Vipi watanzania na mataifa mengine kama sisi huko mnakoita bondeni?

5. Kumbe Tanzania ina kipi bora au hata cha maana kuliko huko sauzi ndugu mwana CCM mkereketwa?
 
Labda alikuwa alivyokuwa jela alikuwa rais pia hahaha jamaa anasema Mandela alikuwa mbinafsi hawa walokole wa JF mtihani sana wakodanganywa na wachungaji wao basi na wao wanakuja kuropoka JF.
 
I wonder ni Jinsi gani hilo shambulizi limefanyika katika ardhi ya Iran?
 
Wataendelea kupigwa kila siku na mbwembwe zao za mdomoni.
 
hii mbanga wazayuni wanapiga kurjuani ata putin angeshirik kutenda uovu uzayunini angekutana na uzi wa msimbazi aka sanda
Tunaongea facts sio mahaba ya kishabiki kaka hapa.
In the world history inafahamika Russia kapigana vita kubwa ambazo Wazayuni kamwe hawajawahi kupigana na hawaziwezi hata wakipigana.
Russia ndiye aliyempiga Adolft Hitler kwenye world war.
Uje umfananishe na huyu Israel ambaye jeshi lake limevunjwa na Hamas!?
Usifananishe Russia na vitu vya kipumbavu.
 
Wajaribu waone
 
Wajaribu waone
Wewe mlokole wa Makete hauna unachojua zaidi ya ushabiki mandazi.

⚡️ BREAKING:

Iran’s supreme leader has issued an order for Iran to strike Israel directly following the assassination of Ismael Haniyeh in Tehran

Khamenei gave the order at an emergency meeting of Iran’s Supreme National Security Council on Wednesday morning, according to three Iranian officials briefed on the order.

—New York Times
 
Ok; Jiandalieni msiba mwingine kwa hiko kitendo mnachokusudia kufanya.
 
ndugu usishabikie bita, muda si mrefu utakuja hapa kulialia kwamba wayahudi ni wakatili. waulize wahuthi kama wamerusha tena drone au wameufyata.
 
Naona mtu mzito ataanguka kama nae hatajiangalia
 
kwa hiyo iran inaamini itapigana na israel halafu marekani ambaye amesogeza meli za kivita 12 middle east anyamaze tu? hajui kuwa wenzie wanamchokoza yeye arushe makombora ili wajue uwezo wake umeishia wapi na wampigeje?
 
Mbona unaongea pumba kwani Bush, Trump, Biden uwa wanaenda vitani.
Sio pumba. Hao uliowataja hutokaa uwasikie wakibwabaja, kujitutumua au kutoa kauli-jeuri za kivita. Wapo thabiti na wakitoa kauli huwa ni kauli yenye malengo na inayotekelezeka. Hao kobaaz hutoa kauli za vitisho, kauli zenye mwelekeo wa vurugu, hazina mpangilio na matokeo ya utekelezaji ndo hayo vilio, simanzi na misiba. Bure kabisa kobaaz type.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…