Hawa jamaa (kobaz) ni wazito sana kuelewa somo. Ni mpaka damu ziwatoke masikioni ndo watakuwa wamejifunza na kuelewa kwamba Myahudi ni habari ingine.ndugu usishabikie bita, muda si mrefu utakuja hapa kulialia kwamba wayahudi ni wakatili. waulize wahuthi kama wamerusha tena drone au wameufyata.
Dah! Mbona ni kama ameshachelewa sana. Time is counting down. Kitakachomla ni tayari ki nguoni mwake.Naona mtu mzito ataanguka kama nae hatajiangalia
sio kama mnasemaga mujahideen walimfurushs mrusi pale afghan ?Tunaongea facts sio mahaba ya kishabiki kaka hapa.
In the world history inafahamika Russia kapigana vita kubwa ambazo Wazayuni kamwe hawajawahi kupigana na hawaziwezi hata wakipigana.
Russia ndiye aliyempiga Adolft Hitler kwenye world war.
Uje umfananishe na huyu Israel ambaye jeshi lake limevunjwa na Hamas!?
Usifananishe Russia na vitu vya kipumbavu.
Hapo ujue sasa wameruka mkojo wanaenda kukanyaga mavi. Adui yako ameshakuonesha anauwezo wa kuingia nyumbani kwako hadi chumbani unapolala na maYeyoo wako lakini bado haukubali kutambua kwamba umeshafedheheka; utulie na utafute amani nayeye la sivyo utabutuliwa na kupigwa kama ngoma ya bughoboghobo.Kwa nini Iran asivue glovu azipige kavu kavu...au huoni akina Houthi, Hamas na wengineo ....Kila siku Great Satan....! Great Satan....Kumbe Shetani mkubwa ni yaeye Mwenyewe......! Anaweza kufunga wanawake wasiovaa vilemba......Kumbe yeye kama nchi hata nguo ya ndani hajavaa.....Mkuu Kwa Iran hili tukio is a serios shame! Mgeni wenu mashuhuri anauwa na adui yako nyumbani kwako.....In short amekupima akakuweka kwenye mizani akaoni hauna chochote and wako tayari kwa hiyo bendera nyekundu juu ya msikiti!
Hao jamaa ni very evasive katika majibu yao. Ni wepesi sana kuhamisha magoli.sio kama mnasemaga mujahideen walimfurushs mrusi pale afghan ?
Wewe punguani kweli Bush kafanya mauaji Iraq kuwa wana silaha za sumu imekuja kujulikana uongo wamemua Gadaf kuwa dikiteta wanaleta demokrasia Libya leo wamekuwa wakimbizi hizo kauli za hao viongozi wewe ndiyo unaziita kauli zenye marengo jinga kabisa.Sio pumba. Hao uliowataja hutokaa uwasikie wakibwabaja, kujitutumua au kutoa kauli-jeuri za kivita. Wapo thabiti na wakitoa kauli huwa ni kauli yenye malengo na inayotekelezeka. Hao kobaaz hutoa kauli za vitisho, kauli zenye mwelekeo wa vurugu, hazina mpangilio na matokeo ya utekelezaji ndo hayo vilio, simanzi na misiba. Bure kabisa kobaaz type.
Mujahiddin wa Chechen na Taleban ndio walimtoa USSR ule ukanda ila sio pekee yao bali kwa uwezo wa USA.sio kama mnasemaga mujahideen walimfurushs mrusi pale afghan ?
Kama Utaratibu uliotumika ulikuwa ni BATILI; basi kila kinachoendelea au kufanyika kwa mujibu wa utaratibu huo ni batili pia. Ukizingatia na kukumbuka kwamba Utaratibu huo Batili haukuwekwa kwa mapambano bali ni watu waliketi mezani na kuibua Utaratibu huo batili, sasa ww ukianzisha mapambano dhidi ya utaratibu huo, hayo mapambano yako nayo pia ni Batili. Cha msingi inatakiwa kurudi pale pale hatua ya mwanzo ya watu kuketi mezani na kuibua Utaratibu ambao utakuwa ni HALALI. Ni muhimu pia kukubali kusamehe au kuachana na mabaya yaliyopita na kufungua au kuanza ukurasa mpya..... Tofauti na hapo ni kila siku itakuwa mtifuano tu.Rest in Peace Ismail Haniyeh
Alizaliwa kwenye kambi ya wakimbizi baada ya wazazi wake kuvunjiwa na kufukuzwa kwenye maeneo yao mwaka 1948, ambapo sasa ni ndani ya Israel.
Kama una sympathize na Mmasai kuhamishiwa Tanga, na Mchaga kuondolewa maeneo ya Kilimanjaro International Airport kupisha mgeni Mwarabu, basi unaweza kuelewa kwa nini vizazi vya kina Haniyeh viliamua maisha yao yatakuwa ni kufa wakipambania haki yao.
Mkuu umejibu kimihemko.Hao jamaa ni very evasive katika majibu yao. Ni wepesi sana kuhamisha magoli.
Mahali pengine waliwahi kusema afghan walimfurusha marekani n.k. n.k.
⚡️Rest in Peace Ismail Haniyeh
Alizaliwa kwenye kambi ya wakimbizi baada ya wazazi wake kuvunjiwa na kufukuzwa kwenye maeneo yao mwaka 1948, ambapo sasa ni ndani ya Israel.
Kama una sympathize na Mmasai kuhamishiwa Tanga, na Mchaga kuondolewa maeneo ya Kilimanjaro International Airport kupisha mgeni Mwarabu, basi unaweza kuelewa kwa nini vizazi vya kina Haniyeh viliamua maisha yao yatakuwa ni kufa wakipambania haki yao.
Ok; Jiandalieni msiba mwingine kwa hiko kitendo mnachokusudia kufanya.
Ile vita ilipiganwa kwa support ya infidels wa CIA wakiongozwa na Laden ambaye mbeleni walikuja kuzinguanaMujahiddin wa Chechen na Taleban ndio walimtoa USSR ule ukanda ila sio pekee yao bali kwa uwezo wa USA.
Maana vikundi vyote hivyo viliundwa under American influence.
Yeah! Naweza kuwa kweli punguani na jinga kabisa lakini Bush yupo ila Gaddafi na Saddam Hussein wamepelekwa kule wanaenjoy mabikra 72 na mito ya pombe huko kwa allah. Je, hapo ni nani mwenye malengo na ni nani punguani na jinga kabisa?Wewe punguani kweli Bush kafanya mauaji Iraq kuwa wana silaha za sumu imekuja kujulikana uongo wamemua Gadaf kuwa dikiteta wanaleta demokrasia Libya leo wamekuwa wakimbizi hizo kauli za hao viongozi wewe ndiyo unaziita kauli zenye marengo jinga kabisa.
Do you even know the meaning of 'abating'?Up next on the list of jihadists to be liquidated will be Ayatollah Khamenei, the Supreme Leader of Iran for his role of sponsoring and abating the global terror.
Reducing the intensity of, making less severe, ....Do you even know the meaning of 'abating'?