Hao wanajuana mishe zao na wanaheshimiana kimtindo.Russia uwepo wake Syria unagusa maslahi ya Israel.
Kwasababu wanajeshi wa Syria wanapata misaada wa mafunzo na silaha toka kwa Russia.
Ikiwemo wanajeshi wa Iran pia.
Na mara nyingi Syria imekua iko launch attacks wa silaha hizo hizo za Russia.
Mbona hatukuona Israel ikishambulia Russia millitary post ndani ya Syria??
The retaliatory strike on Israel seems to be more severe and strong.
The Iranian IRGC is deploying the S-300 Long-range surface-to-air and anti-ballistic missile system in the west of the country.
Iran also deploys short range anti air missile in Tehran.
Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Jeshi la Syria halina S400Kwa hiyo ndo mana ndege za Myahudi au makobora dhidi ya Syria hazidhuri kwa uwepo wa mifumo hiyo Syria au sio.
Ok; Jiandalieni msiba mwingine kwa hiko kitendo mnachokusudia kufanya.
Mzee mwinyi alisema "Mwendawazimu akikuvua nguo hadharani, chutama! Ukimkimbiza wewe ndio unaoneka huna akili! Iran inaonyesha uchi wake mbele ya hadhira ya ulimwengu! Trends kwenye news inaonyesha bomu liliwekwa ndani ya Guest ya Revolution Guards miezi miwili kabla! Just imagine, Guest wings ya Revolution Guards...Ni embarrassment kubwa! Yaani Israel in moles ndani IRGC..... Walikuwa wanajua Hannayeh atakuja na atalala wapi! Yaani ndani ya Revolution Guards kuna watu walikuwa wanajua kila kitu!
Sasa hiyo bendera nyekundu itasaidia nini! Inawezekana kabisa hao wanaopanga mashambulizi ndani kuna watu wa Mosad! Mwendawazimu akikuvua nguo hadharani usimkimbize! Chutama Iran.....huo ndio ushauri wa bure! Na hata wengekuwa wanapokea ushauri wasingefanya mashambulizi ya malipizi sasa hivi! Wengesubiri wake kufanya la kushtukiza!
Intelligence inataka subira....Israel imevuta subira ikampata Hanniey, Ushauri wa bure kwa Iran, Chutama kwa sasa kuficha aibu....Vaa nguo kimya kimya ndio ifanye counter attack ya kushtukiza baadaye! Shambulio lolote la sasa hivi halitaleta impact yoyote ile!
Ritz wape ushauri wa bure jamaa zako! Huwa wanafanya mambo kwa mhemuko tu! Mambo wengi wanayofanya Waarabu katika mapambano yao huwa ni ya jazba tu! Wengelikuwa na nchi yao leo, toka 1948 unaona Jazba ndio inawasukuma.......Waambie Wachutame kwa sasa....halafu wafanye kitu cha kustukiza baadaye! Israel ilipopanga Kumuua huyo jamaa inajua Iran itafanya nini, na wanajiandaa kwa hilo! Sio wajinga, na moles zao ndani ya Iran wanawapa information nini kinafanyika! Plosa jamaa yangu.
Kwani mtoa kisasi hajui kuna kupiga na kupigwaMsirudi kuanza kulia lia hapa mkianza pigwa
Umesahau na waislam.Wayahudi na wakristo wote wanaf#rwa tu kummk...wanuka mavi hao... Allah atalipiza
Wewe upo Misugwi unaandika gazeti refuuu! Angalia raia wa Israel wamejazana uwanja wa ndege wanakimbia baada kusikia Iran analipiza kisasi muda wowote.Mzee mwinyi alisema "Mwendawazimu akikuvua nguo hadharani, chutama! Ukimkimbiza wewe ndio unaoneka huna akili! Iran inaonyesha uchi wake mbele ya hadhira ya ulimwengu! Trends kwenye news inaonyesha bomu liliwekwa ndani ya Guest ya Revolution Guards miezi miwili kabla! Just imagine, Guest wings ya Revolution Guards...Ni embarrassment kubwa! Yaani Israel in moles ndani IRGC..... Walikuwa wanajua Hannayeh atakuja na atalala wapi! Yaani ndani ya Revolution Guards kuna watu walikuwa wanajua kila kitu!
Sasa hiyo bendera nyekundu itasaidia nini! Inawezekana kabisa hao wanaopanga mashambulizi ndani kuna watu wa Mosad! Mwendawazimu akikuvua nguo hadharani usimkimbize! Chutama Iran.....huo ndio ushauri wa bure! Na hata wengekuwa wanapokea ushauri wasingefanya mashambulizi ya malipizi sasa hivi! Wengesubiri wake kufanya la kushtukiza!
Intelligence inataka subira....Israel imevuta subira ikampata Hanniey, Ushauri wa bure kwa Iran, Chutama kwa sasa kuficha aibu....Vaa nguo kimya kimya ndio ifanye counter attack ya kushtukiza baadaye! Shambulio lolote la sasa hivi halitaleta impact yoyote ile!
Ritz wape ushauri wa bure jamaa zako! Huwa wanafanya mambo kwa mhemuko tu! Mambo wengi wanayofanya Waarabu katika mapambano yao huwa ni ya jazba tu! Wengelikuwa na nchi yao leo, toka 1948 unaona Jazba ndio inawasukuma.......Waambie Wachutame kwa sasa....halafu wafanye kitu cha kustukiza baadaye! Israel ilipopanga Kumuua huyo jamaa inajua Iran itafanya nini, na wanajiandaa kwa hilo! Sio wajinga, na moles zao ndani ya Iran wanawapa information nini kinafanyika! Plosa jamaa yangu.
Wayahudi na wakristo wote wanaf#rwa tu kummk...wanuka mavi hao... Allah atalipiza
Wao wapandishe bendera ,wapige makelele wafanye lolote wawezalo ila nakuhakikishia chochote watakachofanya ndio litakuwq anguko la Ayatollah na Jamhuri ya Kiislam mazima.Iran hayuko salama na siasa za ndani kipindi hiki zaidi ya kipindi chochote kile.Muisrael akipiga mara mbili tuu raia wanaandamana kumng'oa Ayatollah na dola yake ya kigaidi.Wewe mlokole wa Makete hauna unachojua zaidi ya ushabiki mandazi.
⚡️ BREAKING:
Iran’s supreme leader has issued an order for Iran to strike Israel directly following the assassination of Ismael Haniyeh in Tehran
Khamenei gave the order at an emergency meeting of Iran’s Supreme National Security Council on Wednesday morning, according to three Iranian officials briefed on the order.
—New York Times
Iran has informed the UN of its plan to launch a retaliatory strike against Israel under Article 51 of the UN Charter.Wao wapandishe bendera ,wapige makelele wafanye lolote wawezalo ila nakuhakikishia chochote watakachofanya ndio litakuwq anguko la Ayatollah na Jamhuri ya Kiislam mazima.Iran hayuko salama na siasa za ndani kipindi hiki zaidi ya kipindi chochote kile.Muisrael akipiga mara mbili tuu raia wanaandamana kumng'oa Ayatollah na dola yake ya kigaidi.
Watu wanataka modernization siyo kuongozwa na kitabu cha karne ya sita.
😅 😅 😅Haaah.....sasa huyo mwenye kilemba ataondoka......Picha ilipigwa mchana kabla jamaa hajauawa.....Kwangu mimi aliyemuuza ni huyo Jamaa wa Islamic Jihad.....
View attachment 3058008
😅 😅 Unamuomba Allah kwa hasira sanaWayahudi na wakristo wote wanaf#rwa tu kummk...wanuka mavi hao... Allah atalipiza
Muisral mweusi akiripoti kutoka Makete.Wao wapandishe bendera ,wapige makelele wafanye lolote wawezalo ila nakuhakikishia chochote watakachofanya ndio litakuwq anguko la Ayatollah na Jamhuri ya Kiislam mazima.Iran hayuko salama na siasa za ndani kipindi hiki zaidi ya kipindi chochote kile.Muisrael akipiga mara mbili tuu raia wanaandamana kumng'oa Ayatollah na dola yake ya kigaidi.
Watu wanataka modernization siyo kuongozwa na kitabu cha karne ya sita.
Kama mandonga tu.Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
La hasha. Huko wameshamaliza maandalizi imebaki tu kumsubiri mshenzi ajichanganye aoneshwe kilichomnyoa kanga manyoya.Kumbe huko Israel wanajiandaa kwa sherehe?