Mlishindwa kuidungua Ndege iliyo leta KILIO!;Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Iran iliziaminisha baadhi ya nchi za kiarabu kuwa iko imara na haiwezi kuchezewa na adui kirahisi. Kitendo cha Israel kuvamia ndani ya Tehrani kimeivua nguo Iran, hivyo inahitajika kufanya jambo ili kurudisha imani kwa wale washirika wake.Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
Mkuu Trump ilimpata ya sikio. Nani alikuwa kamuuza?
Dunia ya leo nani yuko salama wapi?
Ukweli mchungu:
“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”
Amesikika mwuungwana mmoja akijisemea.
Iran iliziaminisha baadhi ya nchi za kiarabu kuwa iko imara na haiwezi kuchezewa na adui kirahisi. Kitendo cha Israel kuvamia ndani ya Tehrani kimeivua nguo Iran, hivyo inahitajika kufanya jambo ili kurudisha imani kwa wale washirika wake.
Myahudi si basha wakoUnadhani myahudi kabla hajawatandika hakujua kama mtakuja na hizi ngonjera?
Myahudi yeye haongei zaidi, alishasema mara moja atawatafuta popote mlipo, leo anawadondosha mmoja mmoja popote mlipo, huyu hana utani anamaanisha anachokisema.
Na ujue tu; hicho cheo cha kiongozi mkuu wa Hamas sasa kinaenda kuwa sawa na "death certificate" kwa mtu yeyote atakayekubali kubeba hilo jukumu, ukiwemo wewe Ritz
Hao wa Iran wenyewe warembo tu, juzi tu Rais wao kadondoshwa huko wakasingizia ukungu, kwani ule ukungu ulikuja ghafla?!
Myahudi amewazidi akili na uwezo wa kijeshi, hili sina shaka nalo, ataendelea kuwacharaza kwa style zote atakazotaka, nyie chezeni na hizo bendera nyekundu tu.
Na kwa taarifa yako myahudi akiamua kuudondosha huo msikiti mlioweka hiyo bendera nyekundu hapo, anaweza kufanya hivyo dakika yoyote, kwa sasa anawatazama tu kama watoto wadogo.
Hii theory sio kweli... Sio kombora ila ni some form of projectileTheory ziko nyingi Mkuu, wengine wanasema ni missiles ilirushwa na IDF kutoka ndege za kivita, wengine wanasema ni kombora toka Submarine, lakini nayoshika kasi ni kuwa Kombora lilirusha toka nyumba ya jirani, na aiona ya Kombora linaitwa "Spike" ni anti tak guided misile, maana ilipiga floor aliyekuwa amelala Hanniyeh....wala haikupiga floor ya juu yake!
Trump angalau alikuwa uwanjani....Huyu jamaa kwenye Guest House ya viongozi wakubwa! Kama hakuuzwa basi Mosad wanatumia majini!
Mlishindwa kuidungua Ndege iliyo leta KILIO!;
Hiyo bendera nyekundu ni mkwala mbuzi!
Muda Utasema!🥵 🔥🔥
shida yenu ninyi huwa mnaamini Israel ni ile tu iliyopo middle east. Israel ipo marekani, UK na ulaya karibia yote. ndio maana netanyahu ana ujasiri kwenda marekani na kutukana watu mbele ya congress, unafikiri anapata ujasiri wapi?L netanyahu mwenyewe hata shule kasoma marekani si unasikia kiingereza chake ni cha kimarekani.Usijidanganye.
Hapo kama Israel ataingia vitani basi USA na UK ndio watakaopigana.
Jeshi la Israel liko crippled.
Ripoti ya mwezi wa 6 imetoka na kuonesha Israel ina wanajeshi takriban 70,000 wenye ulemavu wa viungo na akili kulingana na athari ya vita ya Gaza.
Na vifo ni vingi visivyokuwa na idadi vingi kwasasa vikitokea mipakani na Lebanon.
Kama Israel ataingia vitani basi USA ndiye atakayepigana.
Mkuu inahitaji nini kujua nani atalala wapi leo au nani yuko wapi sasa?
Shambulizi la mtu mmoja mmoja popote mbona ni shambulizi la kijoga joga fulani tu?
Ninakazia:
“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”
Ngoja tuone kama hili litawalipa lolote lenye tija hao mabazazi.
wewe jiulize, mtu anakuja kupiga nchini kwako na wewe upo, rada zako hazioni ndege zake, si anaweza kukupiga ukilala na mkeo kabisa.
of course hata kumpiga ayatola wanaogopa tu wasije kuamsha hasira za moto wa petroli ila wanaweza. vita ikianza, watakuwa huru kufanya chochote. tuombe Mungu tu isianze manake wasio na hatia ndio watakufa wengi.Hiyo Guest House ni vingunge....Haikuwa Mbali na nyumba ya Rais wao!
Marekani haitawaliwi na wayahudi hizi fikra dumavu wacheni.shida yenu ninyi huwa mnaamini Israel ni ile tu iliyopo middle east. Israel ipo marekani, UK na ulaya karibia yote. ndio maana netanyahu ana ujasiri kwenda marekani na kutukana watu mbele ya congress, unafikiri anapata ujasiri wapi?L netanyahu mwenyewe hata shule kasoma marekani si unasikia kiingereza chake ni cha kimarekani.
marekani kuna wayahudi wasiopungua milioni 7.5, Israel kuna wayahudi kama milioni 7.3. meaning, kuna wayahudi wengi zaidi Marekani ambao ni raia wa marekani kuliko wayaudi waliopo pale Israel. kule marekani ndio walioshikilia serikali, uchumi na media. hiyo CNN ni ya kina warner brothers ambao ni wayahudi, just to mention a few, makampuni kibao makubwa ni wao. uingereza, canada, na maeneo mengine wapo wengi sana pia. kwahiyo ukiona wanapigana alongside Israel sio kwamba wanaisaidia, kama marekani metawaliwa na wayahudi basi wakipigana ni wajibu wao na wala sio kusaidia.
Mkuu inahitaji nini kujua nani atalala wapi leo au nani yuko wapi sasa?
Shambulizi la mtu mmoja mmoja popote mbona ni shambulizi la kijoga joga fulani tu?
Ninakazia:
“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”
Ngoja tuone kama hili litawalipa lolote lenye tija hao mabazazi.
Huyo kubwa la magaidi unaweza kumliganisha na Mandela ama Lissu?!Ninakazia:
"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
Kauli thabiti kabisa kutoka kwa aina ya akina Mandela, Lissu na wa namna hiyo.
Mkuu ni shambulio lakijoga....ama kweli ukipenda chongo utasema kengeza! Kubali Mkuu kuna weakness kubwa ndani ya Iran.....Hebu angalia Wana sayansi wao Mradi wa Nuklia wanavyouawa....Kubali Mkuu kuna wana ndani ya Iran wanawauza kwa Mosad!