Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Kumbe kila mtu ana litmus yake? Basi si sahihi kutumia litmus binafsi kuwahukumu wengine.

Kwamba kumbe nani gayuko njiani au nani ambaye yeye kafika?

Hivi Trump ukimsikia leo pro gun kama alivyokuwa angali hana maono mapya?

Litmus paper yangu inanipa matokeo ambayo nasimama nayo....Na wewe inakupa kitu tofauti na mimi, kwangu nitaitumia kuwaita watu magaidi nk! Kwako itakupa majibu kuwa wanapigania haki! Amabayo kwangu siioni kabisa!
 
Mkuu unajua wazi binadamu wanatofautiana kwenye perspectives za kuangalia mambo! Wewe unavyoangalia issue ya Israel na Palestina ni tofauti kabisa na yangu! Huo ndio ukweli! Kwa hiyo Mkuu tukubaliane kutokubaliana tu!

Zaidi sana zingatia pia:



Wengine tunapinga udhwalimu bila kujali dhwalimu ni nani.

Tunamwunga mkono Marekani Ukraine si Russia. Ila hatumwungi mkono Marekani middle east.

Na hiyo ndiyo habari yenyewe!
 
Wanakujua mkuu hao wayahudi!!?

?
 
Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?

Iran hamvuti yeyote kwenye hili.

Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu.

Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume ni upumbafu!

Au wewe huoni hivyo ndugu?
unachoongea ni sawa na wewe una watoto wako wa kiume wanaishi mkoani, kuna mtu akaanza kuwashambulia kule mkoani akitegemea wewe hapa dsm hautawasaidia kwasababu ni mtu tofauti, sio wao. hajui kama wale jamaa ni watoto wako. israel ni sawa tu na mtoto wa marekani na wamagaribi, kwanza, kwasababu ya dini, ukristo hautakuja kuitupa israel hata siku moja, kwa mkristo kuisapoti israel ni kufanya mapenzi ya Mungu. kwahiyo hata hao wanaoandamana marekani na magharibi ni wahuni wavuta bange na mashoga, ila wale wanaoijua imani, wanaomba kwa ajili ya amani ya Israel. na hawafurahii gaidi yeyote akiishambulia israel. marekani ni taifa la kidini, na zaidi ya hayo, ina raia wa kiyahudi wengi kuliko wale waliopo israel, na raia hao ndio walioshika maeneo muhimu kiuchumi, kisiasa, kijamii. hawana namna ila kuisaidia kwasababu ni mtoto wao.

ninachojiulizaga, utakuta magaidi wanasema wamagaribi ni makafiri, ila wana account facebook, twitter/x na wanatumia simu, silaha, magari n.k vilivyotengenezwa huko. computer hizo za DELL na HP ni wamarekani, na kama sikosei mmoja au wote wawili ni wayahudi (wa kimarekani), google ambayo inaingiza pesa nyingi, elon must wa twitter/x ni myahudi, whatsapp, CNN, hotmail, makapuni yoote ukiona yana jina la warner bros hadi vile vikatuni vya tom and jerry watoto wako wanafurahia, magazeti ya TIME, n.k, ni wayahudi. kama hujui, hakuna myahudi maskini hata mmoja dunia nzima, wote aidha ni middle class au first class, kwasababu wana umoja sana wa kusaidiana, kwenye masinagogi wakienda sio tu kwamba wanaabudu, huwa wanapeana madili ya biashara na kuinuana. hata wakienda shule huwa wanaambizana, utakuta amechagua IT, UDAKTARI, ENGINEERING, SHERIA na course zenye maana tu, akienda kusoma hizo course zenu ninyi hizo jua wazazi wake walishatengeneza mpunga hataki kuumiza kichwa.
 
Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.

Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
Ndio wajue Hasara wanazowapaIsrael bila sababu yeyote na wao wataendelea kupata adhabu na aibu..Anachotafuta Iran ni completely satanic's work..yeye yupo mbali hana maslai yeyotena Israel Kutwa kutengeneza vikundi viisumbue Israel sasa time zimeshafikia ukingoni aachame kidogo adedishwe.. am sure Raisi wao aliuliwa pia na Israel kwenye ile Helicopta possibly anatakiwa ajijue kuwa yeye ndie head of Snake.. Netanyahu keshasema we will win and they will loose.
So let it be written, so let it be done.


View: https://www.youtube.com/watch?v=cQrXrSg0uQ4

 
Litmus paper yangu inanipa matokeo ambayo nasimama nayo....Na wewe inakupa kitu tofauti na mimi, kwangu nitaitumia kuwaita watu magaidi nk! Kwako itakupa majibu kuwa wanapigania haki! Amabayo kwangu siioni kabisa!

Litmus yako inawaita je kina Mandela, Gaddafi, Kinjekitile, Mkwawa, wale wa maji maji au mau mau?

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

Angalizo:

Yako isije kuwa toilet paper badala ya litmus. Mbili hizo ziko tofauti kwa rangi hata matumizi!
 
Kuna vitu viwili kwenye uchumi kuhusu uzalishaji/production,comparative advantage na absolute advantage,jifunze hivyo
Kama umeweza kutengeneza mabomu, makombora, drone na bunduki (silaha za kivita) ambazo ni za kisasa utashindwa kutengeneza TV, Satelite, computer, simu na bidhaa zingine za kutumia majumbani?
Nchi zinazoamini ⭐🌙 ni za kijinga na kipuuzi, zinawaza vita (kuuana) na kuwaita watu makafiri Ila ukija kwenye maendeleo wanawategemea makafiri.
Watu wa ⭐🌙 kutengeneza makombora na kurusha toka Iran mpaka Israel kwenda kuua kwao ndiyo maendeleo ila ukija kwenye maendeleo ya kiuchumi 98% wanategemea makafiri. Mfumo wa elimu, usafiri, umeme, simu, afya n.k
Hapa Tanzania waislamu hawana hospitali hata moja, chuo kikuu kipo kimoja tena walipewa. Hawana hata mpango wa maendeleo ila sasa wakisema mambo ya kuua, watakuwa na umoja. Watashirikiana hata na mabomu na makombora ya kuwaua makafiri watatengeneza
 

Udini unatokea wapi kwenye kadhia hii?

Ulichoandika hapa kinafanana na sala iliyofanyika kwenye kanisa moja Arusha jana kuiombea Israel ambako pia sadaka zilikusanywa kwa niaba ya taifa hilo.

Kwenye sala hiyo ilisemekana tunawajibika kukesha kuilinda Israel.

Kwa hakika ni heri ya kiboko ya wachawi!

Zingatia:

 
Kumbukumbu zangu zinaniambia hii sio mara ya kwanza Iran kupandisha bendera hii. Na ninajua kuwa Iran inaogopa kusema kuwa Rais wao aliuliwa na ma Mwamba kutoka Israeli! Ahahahahaha!!!
 
Ona huyu anaongea nini.
Israel miaka yote anajua Russia ipo Syria ila hajawahi kuthubutu hata siku moja kushambulia kambi ya Russia.
Na 2021 aliwasaidia Syria kudungua f-35 tatu za Israel na Israel haki respond chochote.
Russia achana naye.
HAHAHA Nnimecheka kizembe kweli leo hii nayo ni Taqiyya au upumbavu.. eti F-35 tatu zimedondoshwa na Syria kwa msaada wa Russia.... ficha upumbavu wako... Nikushauri wachana na Tv msikiti
 
udini unatokea kwenye Biblia, tumeelekezwa hivyo, marekani ni taifa la kikristo na wakisema wafuate Biblia ndio wanajikuta hivyo.
 
Mkuu Trump ilimpata ya sikio. Nani alikuwa kamuuza?

Dunia ya leo nani yuko salama wapi?

Ukweli mchungu:

“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”

Amesikika mwuungwana mmoja akijisemea.
Issue sio why, issue ni How😂😂😂
 
hako kazee nako kakijifanya kajuaji wanakawashisha chap tuu
 
udini unatokea kwenye Biblia, tumeelekezwa hivyo, marekani ni taifa la kikristo na wakisema wafuate Biblia ndio wanajikuta hivyo.

Hii hii anayoitumia kiboko ya wachawi?

Long live kiboko ya wachawi!

Kwa hakika unawakilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…