cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Kumbe kila mtu ana litmus yake? Basi si sahihi kutumia litmus binafsi kuwahukumu wengine.
Kwamba kumbe nani gayuko njiani au nani ambaye yeye kafika?
Hivi Trump ukimsikia leo pro gun kama alivyokuwa angali hana maono mapya?
Mkuu unajua wazi binadamu wanatofautiana kwenye perspectives za kuangalia mambo! Wewe unavyoangalia issue ya Israel na Palestina ni tofauti kabisa na yangu! Huo ndio ukweli! Kwa hiyo Mkuu tukubaliane kutokubaliana tu!
Wanakujua mkuu hao wayahudi!!?Hao waarabu wame panic, naona sasa wanamtisha mpaka Biden, kama hawawezi kujilinda wenyewe, hawawezi kuwalinda wageni wao, hao kwangu nawaona wako uchi, vyema watulie wafiche nyeti zao zisiendelee kuchakazwa.
The fact is, Netanyahu ahitaji ruhusa ya yeyote kuwatandika, anawatandika siku yoyote akiamua, muamerika atake au asitake, apende au asipende, this is how it is.
Hivyo wasipoteze muda wao, na vinguvu kidogo walivyonavyo kuongeza maadui, hawatawaweza, haya mambo ni zaidi ya propaganda ili kuwafurahisha raia wao.
Na wana bahati myahudi ni mstaarabu, anawadondosha specifically wale maadui zake, hana muda wa kupiga misitu au raia wasio na hatia unless maadui zake wakajifiche kwao, myahudi is so brave.
unachoongea ni sawa na wewe una watoto wako wa kiume wanaishi mkoani, kuna mtu akaanza kuwashambulia kule mkoani akitegemea wewe hapa dsm hautawasaidia kwasababu ni mtu tofauti, sio wao. hajui kama wale jamaa ni watoto wako. israel ni sawa tu na mtoto wa marekani na wamagaribi, kwanza, kwasababu ya dini, ukristo hautakuja kuitupa israel hata siku moja, kwa mkristo kuisapoti israel ni kufanya mapenzi ya Mungu. kwahiyo hata hao wanaoandamana marekani na magharibi ni wahuni wavuta bange na mashoga, ila wale wanaoijua imani, wanaomba kwa ajili ya amani ya Israel. na hawafurahii gaidi yeyote akiishambulia israel. marekani ni taifa la kidini, na zaidi ya hayo, ina raia wa kiyahudi wengi kuliko wale waliopo israel, na raia hao ndio walioshika maeneo muhimu kiuchumi, kisiasa, kijamii. hawana namna ila kuisaidia kwasababu ni mtoto wao.Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?
Iran hamvuti yeyote kwenye hili.
Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu.
Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume ni upumbafu!
Au wewe huoni hivyo ndugu?
Ndio wajue Hasara wanazowapaIsrael bila sababu yeyote na wao wataendelea kupata adhabu na aibu..Anachotafuta Iran ni completely satanic's work..yeye yupo mbali hana maslai yeyotena Israel Kutwa kutengeneza vikundi viisumbue Israel sasa time zimeshafikia ukingoni aachame kidogo adedishwe.. am sure Raisi wao aliuliwa pia na Israel kwenye ile Helicopta possibly anatakiwa ajijue kuwa yeye ndie head of Snake.. Netanyahu keshasema we will win and they will loose.Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
Litmus paper yangu inanipa matokeo ambayo nasimama nayo....Na wewe inakupa kitu tofauti na mimi, kwangu nitaitumia kuwaita watu magaidi nk! Kwako itakupa majibu kuwa wanapigania haki! Amabayo kwangu siioni kabisa!
Kama umeweza kutengeneza mabomu, makombora, drone na bunduki (silaha za kivita) ambazo ni za kisasa utashindwa kutengeneza TV, Satelite, computer, simu na bidhaa zingine za kutumia majumbani?Kuna vitu viwili kwenye uchumi kuhusu uzalishaji/production,comparative advantage na absolute advantage,jifunze hivyo
unachoongea ni sawa na wewe una watoto wako wa kiume wanaishi mkoani, kuna mtu akaanza kuwashambulia kule mkoani akitegemea wewe hapa dsm hautawasaidia kwasababu ni mtu tofauti, sio wao. hajui kama wale jamaa ni watoto wako. israel ni sawa tu na mtoto wa marekani na wamagaribi, kwanza, kwasababu ya dini, ukristo hautakuja kuitupa israel hata siku moja, kwa mkristo kuisapoti israel ni kufanya mapenzi ya Mungu. kwahiyo hata hao wanaoandamana marekani na magharibi ni wahuni wavuta bange na mashoga, ila wale wanaoijua imani, wanaomba kwa ajili ya amani ya Israel. na hawafurahii gaidi yeyote akiishambulia israel. marekani ni taifa la kidini, na zaidi ya hayo, ina raia wa kiyahudi wengi kuliko wale waliopo israel, na raia hao ndio walioshika maeneo muhimu kiuchumi, kisiasa, kijamii. hawana namna ila kuisaidia kwasababu ni mtoto wao.
ninachojiulizaga, utakuta magaidi wanasema wamagaribi ni makafiri, ila wana account facebook, twitter/x na wanatumia simu, silaha, magari n.k vilivyotengenezwa huko. computer hizo za DELL na HP ni wamarekani, na kama sikosei mmoja au wote wawili ni wayahudi (wa kimarekani), google ambayo inaingiza pesa nyingi, elon must wa twitter/x ni myahudi, whatsapp, CNN, hotmail, makapuni yoote ukiona yana jina la warner bros hadi vile vikatuni vya tom and jerry watoto wako wanafurahia, magazeti ya TIME, n.k, ni wayahudi. kama hujui, hakuna myahudi maskini hata mmoja dunia nzima, wote aidha ni middle class au first class, kwasababu wana umoja sana wa kusaidiana, kwenye masinagogi wakienda sio tu kwamba wanaabudu, huwa wanapeana madili ya biashara na kuinuana. hata wakienda shule huwa wanaambizana, utakuta amechagua IT, UDAKTARI, ENGINEERING, SHERIA na course zenye maana tu, akienda kusoma hizo course zenu ninyi hizo jua wazazi wake walishatengeneza mpunga hataki kuumiza kichwa.
Kumbukumbu zangu zinaniambia hii sio mara ya kwanza Iran kupandisha bendera hii. Na ninajua kuwa Iran inaogopa kusema kuwa Rais wao aliuliwa na ma Mwamba kutoka Israeli! Ahahahahaha!!!Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
HAHAHA Nnimecheka kizembe kweli leo hii nayo ni Taqiyya au upumbavu.. eti F-35 tatu zimedondoshwa na Syria kwa msaada wa Russia.... ficha upumbavu wako... Nikushauri wachana na Tv msikitiOna huyu anaongea nini.
Israel miaka yote anajua Russia ipo Syria ila hajawahi kuthubutu hata siku moja kushambulia kambi ya Russia.
Na 2021 aliwasaidia Syria kudungua f-35 tatu za Israel na Israel haki respond chochote.
Russia achana naye.
udini unatokea kwenye Biblia, tumeelekezwa hivyo, marekani ni taifa la kikristo na wakisema wafuate Biblia ndio wanajikuta hivyo.Udini unatokea wapi kwenye kadhia hii?
Ulichoandika hapa kinafanana na sala iliyofanyika kwenye kanisa moja Arusha jana kuiombea Israel ambako pia sadaka zilikusanywa kwa niaba ya taifa hilo.
Kwenye sala hiyo ilisemekana tunawajibika kukesha kuilinda Israel.
Kwa hakika ni heri ya kiboko ya wachawi!
Zingatia:
View attachment 3057845
Issue sio why, issue ni How😂😂😂Mkuu Trump ilimpata ya sikio. Nani alikuwa kamuuza?
Dunia ya leo nani yuko salama wapi?
Ukweli mchungu:
“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”
Amesikika mwuungwana mmoja akijisemea.
Issue sio why, issue ni How😂😂😂
udini unatokea kwenye Biblia, tumeelekezwa hivyo, marekani ni taifa la kikristo na wakisema wafuate Biblia ndio wanajikuta hivyo.
houthi wamepigwa kombora moja tuu wamefunga mdomo walifikiri israel ni US?Wahouth wamefunga red sea huko Marekani na Ulaya pamoja na israel wamekimbia.
houthi wamepigwa kombora moja tuu wamefunga mdomo walifikiri israel ni US?
hako katoto kwanza kazuri wayahudi watakakula jicho kabla hawajakakula kichwa