Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

"What Is Comparative Advantage?" What Is Comparative Advantage?

Najua shule hukwenda,ukielewa niambie nikuoneshe viwanda vya iran
 
Acha kuwa mnafiki. Unawaza uhuru wa wawapalestina wakati hapo Sudan. Waarabu waislamu (Rapid Support Force) wanawauwa waislamu waafrika. Lakini hayupo muislamu anayekemea kwa vile muarabu mwenye dini yake anaua mtachafua uislamu na mtafukuzwa kwenye dini.
Huyo Mandela, nchi yake ina matatizo makubwa mpaka sasa ninavyoandika wale waathirika wa Apartheid policy mpaka sasa hawajapata haki zao, wananchi wake walikuwa wanauwa wafrika ambao wapo South Africa kwa minajiri walikuwa wanachukua fursa za wazawa. Ufisadi kama wote wa Jacob Zuma.
 
"What Is Comparative Advantage?" What Is Comparative Advantage?

Najua shule hukwenda,ukielewa niambie nikuoneshe viwanda vya iran
1. Sikwenda shule ya madrasa au ni zile shule zenye mfumo wa elimu za makafiri?
2. Ni bidhaa gani unayotumia kutoka Iran?
3. Ni mashine gani za viwandani zilizotengenezwa na Iran? Hata hapa tz tuna viwanda ambazo zinatumia mashine kutoka China, USA na Uingereza?
 
Iran hana jeuri ya kijeshi - watu wanamlia timing ajae kwemye 18 zao.
 

1. Kumbe wewe usiyekuwa mnafiki umefanya nini wapi?

2. Mwenye akili kuliko Mandela mwenye Nobeli kibindoni utakuwa wewe mwenye CV isiyojulikana?

3. Watu kama wewe tuliwahi waandikia uzi:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

4. Kuweni na heshima na waliowazidi katika kila hali.

5. Kwamba umzodoe wewe wapi Mandela ndugu? Hamjihurumii?!

6. Makasiriko hayatawasaidia kuondoa ujinga na upumbafu ulioitwa ulofa na BM (rip)

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Juzi netanyahu alikua USA kuomba msaada kuikabili Iran.
 
Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.

Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
When you plan for revenge dig your own grave first
 
Up next on the list of jihadists to be liquidated will be Ayatollah Khamenei, the Supreme Leader of Iran for his role of sponsoring and abating the global terror.
Yeah! Most probably that grey haired feller.
 
Soma nilichokupa, comparative and absolute advantage,muwe mnaenda shule,Kuna kitu gani Cha Norway unachotumia!? Canada? Denmark?
 
Wanaume wa iran wenyew wanavaa magauni hawana umoja hawapendi kazi ' israel' kadogo mnakashindwa si ndio taifa jinga kabisa TUCHUKULIE JWTZ tupambane na israel ana kwa ana miezi 6 tushawakambiza mbali NYINYI SASA IRAN, PALESTINA,JORDAN, MISRI, SAUDIA, TALIBAN SIJUI MAJINGA TU ka inchi kadogo kanawasumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…