Iran imedhamiria, waziri wake atua Beirut kibabe

Iran imedhamiria, waziri wake atua Beirut kibabe

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii ni pamoja na makombora anayo vurumisha Israel:

IMG_20241004_130849.jpg


IMG_20241004_123142.jpg


Murua kabisa kuwa, haogopwi mtu!
 
Hata Ukraine anatembelewa sana, ila bado anaendelea kupokea kichapo
 
Sawa ngoja wachambuzi na wataalamu wenzako wa maswala ya vita ya mashariki ya mbali kutoka Buza, Kwa Azizi Ally, Bunju B, Zhakiem na Gongo la Mboto waje kukupa uchambuzi wa kinachoendelea huko.
Mbona umetusahau wa Kimara?
 
Back
Top Bottom