Iran imedhamiria, waziri wake atua Beirut kibabe

Iran imedhamiria, waziri wake atua Beirut kibabe

Awawezi piga ndege ya waziri w Iran sababu nyingi mana itakuwa kosa kubwa wataipa uwalali Iran kutungua ndege za Israel na si mnajua Israel nyumbani ni USA kutwa wao na ndege kusafiri awafanyi kosa ilikuwa mkwara tu
 
Ndege yake imetuaje huko wakati IAF imeifunga anga ya Lebanon?
 
Back
Top Bottom