George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Netaš¾ anahisi middle east ni chumbani kwake!Nimecheka saana kama mazuri yaani kuna watu wanataka sauti zao ziogopewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netaš¾ anahisi middle east ni chumbani kwake!Nimecheka saana kama mazuri yaani kuna watu wanataka sauti zao ziogopewe
Sio kwa Iran wale ni complete packageKimya king kina mshindo soon zitaanza kelele za pray for .....
Bila msaada wa usa ujanja never happenKimya king kina mshindo soon zitaanza kelele za pray for .....
Kabla hajatua si katoka kupaa? Mwaka huu kiumane tu pale mashariki ya kati watu tuheshimianeKuna kutua na kupaa. Tusubiri wakati wa kupaa
Kwani mpaka unabalehe haujasimuliwa kwamba USA ndiyo Israeli na Israeli ndiyo USA?Ajabu sana.Bila msaada wa usa ujanja never happen
āāāāKuna kutua na kupaa. Tusubiri wakati wa kupaa
Tangazo lao halikusema hivyo!Israeli huwa hana tatizo na diplomats. Mtu ambaye hayupo kwenye combat wala hatoi amri ya wao kushambuliwa Sio tishio kwao hawana shida naye. Huyo waziri akishambuliwa, hana impact yeyote. Majenerali wa Iran na wanajeshi wa Quds hawapo salama š¤
āāāāMtoa mada enyewe ni mpumbavu, onyo linahusisha ndege za kijeshi na si za kiraia
Ndege iliyombeba waziri wa mambo ya nje wa Iran imetua Beirut, Lebanon.
https://www.timesofisrael.com/liveblog_entry/iranian-foreign-minister-arrives-in-beirut/
Hivi karibuni Israel ilipiga mkwara kuwa ndege yoyote kutoka Iran hairuhusiwi kutua uwanja wa ndege Beirut, naona wanaume wamesema mtu mzima hatishiwi nyau!
View: https://x.com/warfareanalysis/status/1842105208043712665
Mtoa mada enyewe ni mpumbavu, onyo linahusisha ndege za kijeshi na si za kiraia
āāāā
Tulia wewe chizi fresh, na kijora chako cha bendera ya Israel ulichovaa!
Weka hapa hilo tangazo tulione, tangu lini Mzayuni akajua kutofautisha jeshi na raia?
Israel wako busy na kuondoa magaidi wa Hezbollah ambao ni tishio, kama huyo gaidi aliyeuwawa jana, Sio wana siasa š¤Tangazo lao halikusema hivyo!
Labda wewe leo ndo umetoa tangazo jipya kwa niaba ya Netaš¾
Onyo lilitolewa kwa ndege zote, za kivita ba kiraia akidai kwamba ndege za kiraia zimekuwa zikitumika kubeba silaha za kivita kwa ajili ya Hezbollah na jeshi la lebanonMtoa mada enyewe ni mpumbavu, onyo linahusisha ndege za kijeshi na si za kiraia