Iran imepiga hatua kubwa kwa zana za kivita

Iran imepiga hatua kubwa kwa zana za kivita

Sisi hatuwezi kulipuana Mabomu kwasababu ya matumizi ya Mkundu wa mtu, huo ni ujinga.

Allah nae anazidi kuzibariki Nchi zenye kufirana kazipa uongozi wa Dunia.
Unaweza ukaleta uthibitisho wa uislam kulewa na dini yao??
Vita zinazotokea kote Mashariki ya kati hivi unajua kama mfadhili ni USA??
Unajua kama USA waliifadhili Taliban na Mujaheddin kuivunja USSR??
USA ilitumia atomic bomb vita ya pili ya dunia sio hivyo tu KAFUATILIE VISIWA VYA MARSHALL ISLANDS KUNAKOPATIKANIKA BIKINI ISLANDS USA amefanyia watu majaribio ya biological weapons na kule ndiko alikokua akijaribia atomic weapons mpaka sasa watu wanazaliwa ngozi hazieleweki hiko kisiwa.
Hii dunia kama sio maslahi ya wazungu ambao ndio hao wakristo wenzako basi dunia ingelikua salama sana.
Waarabu wanaishi maisha ya kuridhika sana ila USA amewatibulia aina hiyo ya maisha na kuwalazimisha wawe hivi walivyo ili wafanye retaliation.
-Crusade war.
-World war 1.
-World war 2.
-Berlin conference for African partition.
-The great slave trade/Triangular/Trans Atlantic slave trade.
-Massive genocides during colonial eras e.g Germany performing genocide in her African territories.
-Regime change in Egypt,Libya,Iraq,Yemen(failed),Syria(failed),Cuba(failed),Venezuela(failed),Haiti.
Haya yote kuna muislam anahusika?
Nadhani unaelewa madhara ya regime change alizotaka kufanya USA katika mataifa mbali mbali na athari alizoleta yeye na Allies wake Western Imperialists.
JE KUNA MUISLAM KAHUSIKA??
Usisahau bokoharam pia wanafadhiliwa na Westerners hasa France.
Pia machafuko Mali na Burkinafaso France ndiye aliyekua mfadhili wamemtimua amani imeanza kurudi.
Usisahau Madagascar France ndiye aliyefanya Regime change ya kumuondoa Ravalo Manana na kumuweka Andy Rajoelina.
Pia misaada ya Westerners na USA ndio inaongoza kubana severeignty ya mataifa ya watu huku yakiwa na masharti magumu kandamizi.
Nadhani hata wewe ni shuhuda pale kipindi cha David Cameron tulivyolazimishwa turasimishe ushoga na uasherati.
NIAMBIE WAISLAM WANAHUSIKA WAPI KATIKA HAYA MAJANGA??
 
Unaweza ukaleta uthibitisho wa uislam kulewa na dini yao??
Vita zinazotokea kote Mashariki ya kati hivi unajua kama mfadhili ni USA??
Unajua kama USA waliifadhili Taliban na Mujaheddin kuivunja USSR??
USA ilitumia atomic bomb vita ya pili ya dunia sio hivyo tu KAFUATILIE VISIWA VYA MARSHALL ISLANDS KUNAKOPATIKANIKA BIKINI ISLANDS USA amefanyia watu majaribio ya biological weapons na kule ndiko alikokua akijaribia atomic weapons mpaka sasa watu wanazaliwa ngozi hazieleweki hiko kisiwa.
Hii dunia kama sio maslahi ya wazungu ambao ndio hao wakristo wenzako basi dunia ingelikua salama sana.
Waarabu wanaishi maisha ya kuridhika sana ila USA amewatibulia aina hiyo ya maisha na kuwalazimisha wawe hivi walivyo ili wafanye retaliation.
-Crusade war.
-World war 1.
-World war 2.
-Berlin conference for African partition.
-The great slave trade/Triangular/Trans Atlantic slave trade.
-Massive genocides during colonial eras e.g Germany performing genocide in her African territories.
-Regime change in Egypt,Libya,Iraq,Yemen(failed),Syria(failed),Cuba(failed),Venezuela(failed),Haiti.
Haya yote kuna muislam anahusika?
Nadhani unaelewa madhara ya regime change alizotaka kufanya USA katika mataifa mbali mbali na athari alizoleta yeye na Allies wake Western Imperialists.
JE KUNA MUISLAM KAHUSIKA??
Usisahau bokoharam pia wanafadhiliwa na Westerners hasa France.
Pia machafuko Mali na Burkinafaso France ndiye aliyekua mfadhili wamemtimua amani imeanza kurudi.
Usisahau Madagascar France ndiye aliyefanya Regime change ya kumuondoa Ravalo Manana na kumuweka Andy Rajoelina.
Pia misaada ya Westerners na USA ndio inaongoza kubana severeignty ya mataifa ya watu huku yakiwa na masharti magumu kandamizi.
Nadhani hata wewe ni shuhuda pale kipindi cha David Cameron tulivyolazimishwa turasimishe ushoga na uasherati.
NIAMBIE WAISLAM WANAHUSIKA WAPI KATIKA HAYA MAJANGA??
Angalia nilichosema hapo uliponiquote halafu ndio tujadiliane.
 
Taifa la Iran limepiga hatua kubwa kwa ugunduzi na utengenezaji zana vita.

Katika maonyesho ya zana vita, yanayoendelea Qatar,Iran imeonyesha Drone yake,inayoweza kubeba mabomu 13,na kutembea umbali wa km 2000,na kuruka futi 35000 toka usawa wa bahari.

Jambo hili limemuuzi sana USA na kuilaumu Qatary kwa kurusu Iran kuonyesha zana vita.

Mataifa mengi yame vutiwa na drone, GAZA, kwa uwezo wake.

View attachment 2944506
aisee sisi huku tunahangaika na tahasusi ya islamic language and history, badala ya watoto kufundishwa electronics
 
Toka Dunia ianze Zimepigwa Nuclear ngapi? Zipi za waisilamu na zipi nchi za wakristo majority?
Kwasababu Waisilamu hawajagundua kitu tokea kipindi cha Harun Rashid Abbasid Khalifu.

Unatesti kitu ulichogundua huwezi kutesti kitu ambacho hujagundua.

Waislamu wameachwa mbali sana katika hizi Zama za ugunduzi.
 
Nimezungumza kijumuishi kwa kulenga comment no#40 uliyosema "wakristo hawajapofushwa na dini yao".
Lakini ukaquote comment yangu nyingine ambayo ambayo ilikuwa haihusuani.

Ni Wakristo wachache sana ambao ni Extremists sijawahi kusikia Magaidi wa Kikristo tokea Mgogoro wa Ireland uishe.
 
Nchi ya Lebanon ni Sovereign State na ina kiti chake kwenye United Nations yeye Iran kaenda kutengeneza Grupu la Kishia ndani ya Sovereign State.

Yemen ni Sovereign State ina kiti kwenye United Nations yeye Iran kaenda kutengeneza Grupu la Kishia ndani ya Nchi ya Yemen

Nasasa hivi ametengeneza Magrupu ya Kishia kwenye Jamhuri ya Iraq ambayo ni Nchi huru yenye kiti kwenye Umoja wa Mataifa.

Syria anatengeza Magrupu ya Kishia kwenye za Watu huru.
Acha tu ccm iendelee kututawala
 
Kwasababu Waisilamu hawajagundua kitu tokea kipindi cha Harun Rashid Abbasid Khalifu.

Unatesti kitu ulichogundua huwezi kutesti kitu ambacho hujagundua.

Waislamu wameachwa mbali sana katika hizi Zama za ugunduzi.
Kwamba Pakistan, Kazakhstan na Uturuki hawajawahi kuwa na Nuclear? wamepiga mabomu mangapi hadi leo? Vipi Usa, Ufaransa na wengineo wamepiga mangapi?
 
Kwamba Pakistan, Kazakhstan na Uturuki hawajawahi kuwa na Nuclear? wamepiga mabomu mangapi hadi leo? Vipi Usa, Ufaransa na wengineo wamepiga mangapi?
Ni Pakistan pekee ndio ilisaidiwa na China hizo zingine hazina silaha za Kiatomiki.

Na upande wa Waarabu ndio hatari kabisa.
 
Lakini ukaquote comment yangu nyingine ambayo ambayo ilikuwa haihusuani.

Ni Wakristo wachache sana ambao ni Extremists sijawahi kusikia Magaidi wa Kikristo tokea Mgogoro wa Ireland uishe.
Kaka tatizo ukweli umegeuzwa na strong media zimejaza espionage kibao kuhusu uislam.
Ulaya ubaguzi wa kidini upo mpaka leo ila ni kimya kimya.
Mpaka leo hii upo,Anti baraka wa Central African Republic mpaka leo wapo.
Unamkumbuka mpinzani wa Macron aliyeshindwa uchaguzi wa urais yule mwanamama??
Hadi leo ni extrimist mkubwa pale France.
Ila Taleban,Alqaeda,Houthi,Hizbollah na wengineo ndio wamechukuliwa reference ya waislam kuwa extrimists ila hamjatizama what's behind the story.
 
Mkuu embu uachage ubishi wa kipumbavu.
Kasome Suratul Nisaa ayah ya 56 utamjua kafiri ni nani.
Kuna Contradiction nyingi kwenye Kurani ndio maana utakuta sura moja inasema hivi na nyingine inasema vile.
 
Kuna Contradiction nyingi kwenye Kurani ndio maana utakuta sura moja inasema hivi na nyingine inasema vile.
Hakuna contradiction yoyote ila Qur'an inahitaji usomi wa hali ya juu.
Nimeisoma na kutizama angle zote sijaona mkanganyiko wowote mnaodai.
Shida mnainukuu Qur'an juu juu na Qur'an hainukuliwi hivyo.
 
Hakuna contradiction yoyote ila Qur'an inahitaji usomi wa hali ya juu.
Nimeisoma na kutizama angle zote sijaona mkanganyiko wowote mnaodai.
Shida mnainukuu Qur'an juu juu na Qur'an hainukuliwi hivyo.
The Quran has 123 verses that call for fighting and killing anyone who does not agree with the statement, “There is no God but Allah and Mohammed is his prophet.” Jews and Christians are specifically included among such “infidels.”

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
 
The Quran has 123 verses that call for fighting and killing anyone who does not agree with the statement, “There is no God but Allah and Mohammed is his prophet.” Jews and Christians are specifically included among such “infidels.”

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
Ayah zinazosema hakuna Mungu ispokua Allah zipo wala haina ubishi.
Ila Qur'an 2:256 inasema "there is no compulsion on religion" hakuna kulazimishana katika dini.

Tuanze na Qur'an 5:33
Ni yale yale hakika wale wanaotangaza vita na Mwenyezi na wakafanya uaribifu duniani basi adhabu zitawakumba.
UNAJUA kiingereza soma tafsiri.

Screenshot_2024-03-28-16-32-06-61_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
The Quran has 123 verses that call for fighting and killing anyone who does not agree with the statement, “There is no God but Allah and Mohammed is his prophet.” Jews and Christians are specifically included among such “infidels.”

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
Tuje Qur'an 9:5
Waliozungumziwa ni polytheists je Mkristu ni polytheist???
Na pia hii ayah inaelezea wale Waabudu masanam wa Makkah waliokua wametangaza vita na uongozi wa uislam Madinah.

Screenshot_2024-03-28-16-32-37-69_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
The Quran has 123 verses that call for fighting and killing anyone who does not agree with the statement, “There is no God but Allah and Mohammed is his prophet.” Jews and Christians are specifically included among such “infidels.”

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
Tuje Qur'an 47:4-9.
Hapa Mungu anasema tukikutana na makafiri katika uwanja wa vita tuwaue na kuwaangamiza na tuchukue ngawira.
kwenye uwanja wa vita.
Hizo ayah zingine nakuwekea usome mwenyewe.
Screenshot_2024-03-28-16-42-14-45_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
Screenshot_2024-03-28-16-42-31-15_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
Screenshot_2024-03-28-16-42-37-51_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
Back
Top Bottom