the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Endeleeni kuoanaKama Allah hapendi mbona anatujaalia kwa Teknolojia wacha tufirane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kuoanaKama Allah hapendi mbona anatujaalia kwa Teknolojia wacha tufirane.
Shukrani Kwa nasahau nzuri kakaMkuu huko toka na usibishane nae kuhusu hayo,uislam haujatufundisha kuikashifu dini pinzani.
Usifanye kitu ukafanana na dini yao ya kinaswara.
Turudi tu katika mada husika ila ukweli unajulikana.
Nanyi endeleeni kufirana nyuma ya pazia na kulipuana.Endeleeni kuoana
Hizi ni sarakasi tuu, Mtu ambaye haamini katika "Lailaha Ilalaah Mohamad RasuluAllah" ni "Kafiri" unbeliever acha kuquote Kiarabu na kutafsiri Kiingereza ili kupoteza Maboya Watu.Tuje Qur'an 9:5
Waliozungumziwa ni polytheists je Mkristu ni polytheist???
Na pia hii ayah inaelezea wale Waabudu masanam wa Makkah waliokua wametangaza vita na uongozi wa uislam Madinah.
View attachment 2947284
Hakuna contradiction yoyote ila Qur'an
No research no right to speak mkuu, umejawa na chuki ambayo ina cloud judgment yako.Ni Pakistan pekee ndio ilisaidiwa na China hizo zingine hazina silaha za Kiatomiki.
Na upande wa Waarabu ndio hatari kabisa.
Miaka ya 80 Iraqi ambayo ni Taifa la Kiarabu liliivamia Iran ambayo sio Taifa la Kiarabu.Mara ya mwisho kuona taifa la kiarabu likivamia taifa jengine ambalo sio la kiarabu
Ukitaka kujiona kaka wewe ndio mtu wa sarakasi.Hizi ni sarakasi tuu, Mtu ambaye haamini katika "Lailaha Ilalaah Mohamad RasuluAllah" ni "Kafiri" unbeliever acha kuquote Kiarabu na kutafsiri Kiingereza ili kupoteza Maboya Watu.
KWahiyo kisa huyo Yahya Zulkifli kasema Qur'an ina contradiction basi watu tuamini??View attachment 2947329
Soma hicho kitabu👆
Acheni kuwadanganya Waumini kwamba Qurani imeshushwa Qurani haijashushwa ina Waandishi wake na ni Binadamu ndio maana wamefanya Makosa.
Ni wakati wa kuamka sasa na kuacha Extremism kukaa na Dini nyingine bila kujiona kuwa ninyi ni Superior.
Heeee!Iraq wamekua waarabu siku hizi!?Miaka ya 80 Iraqi ambayo ni Taifa la Kiarabu liliivamia Iran ambayo sio Taifa la Kiarabu.
Tatizo wewe umekaririshwa tokea udogoni tokea unazaliwa unaadhiniwa masikioni kwahiyo chochote nitakacho kuelezea utapinga tu.Ukitaka kujiona kaka wewe ndio mtu wa sarakasi.
Mkuu utapoteza energy sana.No research no right to speak mkuu, umejawa na chuki ambayo ina cloud judgment yako.
Mara ya mwisho kuona taifa la kiarabu likivamia taifa jengine ambalo sio la kiarabu ni lini? What about wazungu ambao wanaua watu in millions?
Ufaransa alikua ana test makombora yake ya Nyuklia jiji la Algeria, Dunia umeufyata ila waarabu ndio hatari sana sio, ambao hawana time na taifa lolote lile duniani.
Huna fact nimekuletea mpaka maelezo ila wewe unaongea mihemko isiyo na ushahidi.Tatizo wewe umekaririshwa tokea udogoni tokea unazaliwa unaadhiniwa masikioni kwahiyo chochote nitakacho kuelezea utapinga tu.
Na sio wewe peke yako nimeona Waumini wengi wa Allah kuwa ni Wabishi sana lakini ukweli uko bayana fanya uutafute tu.
Mimi kwenye Mada zote wewe nisome huwa nakaa kwenye UKWELI FACTS iwe kwenye Dini iwe kwenye mambo mengine ya Kijamii.Narudia tena huna la maana unalolijua wewe kaa shadadia Hutu and tutsi na Banyamulenge ndiyo mambo unayoyaweza,Qur'an sio banyamulenge unayoshabikia.
Nimekuwekea Facts ukabadilisha ID ukaja na Mjadala mwingine na kujisapoti lakini mimi nawaachia Wasomaji wao ndio watakaoamua.Huna fact nimekuletea mpaka maelezo ila wewe unaongea mihemko
Shida unajiona uko sahihi katika kila kitu.Mimi kwenye Mada zote wewe nisome huwa nakaa kwenye UKWELI FACTS iwe kwenye Dini iwe kwenye mambo mengine ya Kijamii.
Mimi sina Dini ila nakubali uwepo wa Mungu/Miungu.
Nichukie/Nipende niloge au Nisimange ila mimi ni yule yule Imhotep Msema ukweli ambae ni kipenzi cha Mungu/Miungu.
Astaghafirullah!!!!Nimekuwekea Facts ukabadilisha ID ukaja na Mjadala mwingine na kujisapoti lakini mimi nawaachia Wasomaji wao ndio watakaoamua.
Wabilahi Tawfiq
Hapa JF sio Madrasa ya Hadith na Quruani hapa tutajadili chochote kitachopostiwa hapa.Baki na imani zako na sisi tuache na imani zetu.
YaisheHapa JF sio Madrasa ya Hadith na Quruani hapa tutajadili chochote kitachopostiwa hapa.
Hapa tutakuwa tunapeana Facts tu kwa faida ya Wasomaji.Yaishe