Iran imepiga hatua kubwa kwa zana za kivita

Iran imepiga hatua kubwa kwa zana za kivita

Miaka ya 80 Iraqi ambayo ni Taifa la Kiarabu liliivamia Iran ambayo sio Taifa la Kiarabu.
Sawa tuchukue data zako 1980 ndio mara ya mwisho sio? Haya toka 1980 kuna mataifa mangapi yamevamia mengine? Je hayo sio hatari?
 
Sawa tuchukue data zako 1980 ndio mara ya mwisho sio? Haya toka 1980 kuna mataifa mangapi yamevamia mengine? Je hayo sio hatari?
2001 Afghanistan iliivamia USA kwa kutuma Makomandoo wake kwenda kuzilipua World Trade Centre kule New York.
 
2001 Afghanistan iliivamia USA kwa kutuma Makomandoo wake kwenda kuzilipua World Trade Centre kule New York.
Kwanini wasivamie tena kama wana makomandoo wanaoweza kuvamia kirahisi vile? Hivi hata hao wa Afghanistan wenyewe unawajua?
 
Kwanini wasivamie tena kama wana makomandoo wanaoweza kuvamia kirahisi vile? Hivi hata hao wa Afghanistan wenyewe unawajua?
Unaniuliza kwanini wasivamie tena? sijui, labda wanajiandaa tena who knows.
 
Unaniuliza kwanini wasivamie tena? sijui, labda wanajiandaa tena who knows.
Mkuu unajiaibisha tu humu na kujivua nguo, rudi tu mambo yako ya siasa, humu una jivunjia heshima. Hakuna mchunga kondoo wa Afghanistan mwenye uwezo wa kulipua Ghorofa Usa na hata Usa wenyewe hawajawahi kusema Afghanistan ndio Kalipua, wala Osama sio Mu Afghanistan. According to Usa wamevamia Afghanistan sababu wanawahifadhi hao watu.
 
Nchi ya Lebanon ni Sovereign State na ina kiti chake kwenye United Nations yeye Iran kaenda kutengeneza Grupu la Kishia ndani ya Sovereign State.

Yemen ni Sovereign State ina kiti kwenye United Nations yeye Iran kaenda kutengeneza Grupu la Kishia ndani ya Nchi ya Yemen

Nasasa hivi ametengeneza Magrupu ya Kishia kwenye Jamhuri ya Iraq ambayo ni Nchi huru yenye kiti kwenye Umoja wa Mataifa.

Syria anatengeza Magrupu ya Kishia kwenye za Watu huru.
Hapo Middle East Iran atatawala kama mbabe, akipata Nukes tu ndo hasumbuliwi.

Yeye na Israel kinachowatenganisha ni umbali tu, bila ya hivyo wangeshachapana mapema mno
 
Mkuu unajiaibisha tu humu na kujivua nguo, rudi tu mambo yako ya siasa, humu una jivunjia heshima. Hakuna mchunga kondoo wa Afghanistan mwenye uwezo wa kulipua Ghorofa Usa na hata Usa wenyewe hawajawahi kusema Afghanistan ndio Kalipua, wala Osama sio Mu Afghanistan. According to Usa wamevamia Afghanistan sababu wanawahifadhi hao watu.
Umeniuliza nimekujibu hayo mengine ni Conspiracy Theory unayajua wewe.
 
Hapo Middle East Iran atatawala kama mbabe, akipata Nukes tu ndo hasumbuliwi
Makundi ya Kigaidi yatagawiwa hizo Silaha za Kiatomiki halafu Jihadi itatufikia tu huku Afrika ya Mashariki.
 
Umenijibu uongo, umenijibu kitu ambacho hata Usa mwenyewe haja sema umemsingizia
Umeniuliza ni Nchi gani ya Kiarabu imevamia Nchi nyingine ambayo sio ya Kiarabu nikakuambia IRAQ Nchi ya Kiarabu iliivamia IRAN Nchi ambayo sio ya Kiarabu.

Mimi sijazoea kubishana nakupa Facts halafu unakuja kuhamisha Goal Post.
 
Umeniuliza ni Nchi gani ya Kiarabu imevamia Nchi nyingine ambayo sio ya Kiarabu nikakuambia IRAQ Nchi ya Kiarabu iliivamia IRAN Nchi ambayo sio ya Kiarabu.

Mimi sijazoea kubishana nakupa Facts halafu unakuja kuhamisha Goal Post.
Sijahamisha goal post, the fact that umepata tu nchi moja ya kiarabu ndani ya miaka 44 iliovamia nchi ambayo sio ya kiarabu ni proof kwamba Nchi za Kiarabu sio wagomvi na hawatumii nguvu.

Kwa Kila vita moja ambayo waarabu wameanzisha wazungu wanaanzisha vita 100 ama elfu moja huoni ni uzezeta kutetea ambao wanaanzisha vita kila siku kwamba ni salama wao kuwa na silaha kali?

Hao unaona ni sawa kuwa na Nyuklia ndio wameleta vita vya kwanza vya dunia, walileta vita vya pili vya Dunia, wakapiga Nyuklia Japan, wakachakaza North Korea hadi leo hailimiki, wakaenda Vietnam kuharibi, wakaenda Libya, Iraq, Afghanistan, Ukraine, Yugoslavia, Somalia na maeneo kibao.

Hebu niambie hao wachafuzi wa Dunia na watu wenye Damu za Mamia ya Mamilioni ya watu ni wema na wanafaa kuwa na Nyuklia na Waarabu wa watu wasio na time na yoyote wao ni wabaya.

Sasa hivi tupo kwenye Tension ya Nyuklia baina ya Urusi na Usa hakuna Mwarabu anaehusika, IL ni hao hao waume zako ndio wanataka kutuchafulia dunia, ila huwezi liona hili sababu mioyo imeshakuwa nyeusi mbaya yote ni ya Waarabu na waisilamu.
 
Iran idhibitiwe kabla haijatengeneza sihala za kiatomiki Serikali yoyote ya Kidini ni hatari kuwa na Silaha hizo kwasababu inaweza kushikwa na Extremists ikawa ni Balaa..
Uko sahihi ikumbukwe Iran ndo kubwa la magaidi
 
Mahaba tu yame kujaa hizo S series zime jaa syria na israel alikua anaingia na kupiga target bila kizuiz chochote uku machuma chuma ya mrusi yakiwa yame lala
Tatizo moyo wako umejaa chuki na machungu yasiyo na sababu,wakati hizi ni hoja za kawaida tu.
Kwenye kambi ya russia huko syria ziliwekwa S400,na hakuwahi kuruka hata kunguru juu ya kikosi hicho.
S300 walipewa syria na hazikuwahi ku be activated,hata siku moja,na funguo walikaa nazo warusi wenyewe,syria hawakupewa,na israel akitaka kupiga syria ilikuwa lazima atoe taarifa kwanza kwa russia,ili apewe go ahead,ndo anapiga,hivyo ndivyo nijuavyo mimi,na bila msaada wa russia ASAD,angeshang'oka madarakani,na nijuavyo,S400 ndio battery bora kwa sasa duniani.
 
Mbona ilichomwa na Bayraktar tb 2 Drone za Kituruki ya bei khafifu?
mkuu labda hujaelewa,hakuna timu isiyofungwa,au golikipa asiyefungika,lakini kuna mwenye uafadhali kuwazidi wengine,kumbuka hayo yote yametengenezwa na wanadamu,madhaifu ni lazima yawepo.hakuna jambo lililo 100%.
 
Back
Top Bottom