100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Mavi yanagonga chupi huko TelAviv,katoka raisi so akiuawa ayatollah atawekwa mwingine,Ila vinu lazima viitike mji ambao hiyo ndege imetokeaSafari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Eti president kaondolewa,ndo mlivoambiana kanisani huko!?Iran inabweka bweka tu, Israel inawa eliminate one by one, President kaondolewa, hata huyu Mkuu wa Majeshi ataondolewa utashangaa tena huko huko Iran
Ni ngumuSafari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Amka usijikojelee we mlokole want maji matituSafari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Ingekua rahisi nadhani hata Nasrallah wa Hezbollah tayari wangemla kichwa.Safari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Nasrallah atauwawa tu.Ingekua rahisi nadhani hata Nasrallah wa Hezbollah tayari wangemla kichwa.
Netanyahu anatoa Dozi tu.Iran inabweka bweka tu, Israel inawa eliminate one by one, President kaondolewa, hata huyu Mkuu wa Majeshi ataondolewa utashangaa tena huko huko Iran
Ndio kwenye maombi ya JuziEti president kaondolewa,ndo mlivoambiana kanisani huko!?
Iran amenunua ugomvi wa Israel, kwa mazingira ya Israel na uadui uliopo kwa sasa hana option , vita vitalipuka na Iran hatakuwa na namna ya kumshinda Israel kwa njia yoyote.Israel ipo kwenye hofu, ni muda sasa ku activate air defenses tayari kwa lolote.
Iran inachofanya ni kuifanya Israel iwe na heshima kwa watu wake waliopo middle east.
Eeeh .. muone huyu atafanyaje kwa mfano ..huyu hamas aliyemzibiti miaka nenda rudi je amemshindaIran amenunua ugomvi wa Israel, kwa mazingira ya Israel na uadui uliopo kwa sasa hana option , vita vitalipuka na Iran hatakuwa na namna ya kumshinda Israel kwa njia yoyote.
How? Wakati Israel inaenda inawagonga jamaa ndani mule mule. Hadi Rais kagongwa na Mtarajiwa Hayatollah? Makamanda wa Iran kwa sasa wanaishi kama dikdik. Wakiona tu ukungu wanajifichaIsrael ipo kwenye hofu, ni muda sasa ku activate air defenses tayari kwa lolote.
Iran inachofanya ni kuifanya Israel iwe na heshima kwa watu wake waliopo middle east.
Eti president kaondolewa,ndo mlivoambiana kanisani huko!?