Iran imetangaza kulipiza tena Kisasi kwa Israel baada ya shambulizi huko Syria

Iran imetangaza kulipiza tena Kisasi kwa Israel baada ya shambulizi huko Syria

mbwaa tu haooo kisasi unafanya sio kelele
 
Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.

Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.

PIA SOMA:

- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria
Iran ni sawa na mbwa anaebweka
 
Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.

Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.

PIA SOMA:
- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria
mishoga ipigwe na ipigwe tena
 
unadhani kanisani kuna kuropoka ovyo kama huko kwa mtoro?
Sasa msikitini na kanisani wapi wanabweka kwenye ibada zao!?..huko kanisani Mungu wao kiziwi hasikii,inabidi wabweke Hadi mate yatoke
 
Umenikumbusha, alivyouwawa yule Jenerali Soleman Qassim.... Jamaa walipiga kelele as if kesho yake wangejibu mapigo... Lakini waliishia kupiga kelele tuu...
Shut up wewe!
Kifo cha Qassem Soleiman kililipwa kisasi kwa kupigwa kambi ya jeshi iliyopo Iraq ambako ndiko shambulio lilitokea la kumuua Soleiman.
Askari wa US army wengi walipata ulemavu hasa wa kisaikolojia kwa lile shambulio,Trump kutaka kulipiza kisasi aliandaa Navy seal ila meli ziliishia tu ufukweni kama za kitalii.
Unadhani dunia hii unaweza ukaficha jambo!?
 
Iran ikilipa kisasi israel sasa inaondoka na ayatollah mwenyewe
Israel ilikana kuhusika na kifo cha Raisi Ebrahim,wewe kama nani kuwalisha maneno kuwa wamehusika!?
Hujioni kama unaropoka kijana?
 
Ameuliwa raisi mkuu wa nchi wamefanya nini?
Una ushahidi upi kama Israel ndio wamehusika na kifo cha rais!?
Mbona Netanyahu alikataa kwa msisitizo kuwa anahusika!?
Au wewe unajua kulikoni Netanyahu aliyekataa!?
 
Kitalipwa tu,kama waliweza kurusha drone+ missiles 300 kuelekea Israel hawashindwi kulipiza kisasi kuhusu huyo jenerali wao.
Japo nadhani Hizbullah itahusika katika hiko kisasi.
Maana jana wameshalipua mahema ya kambi ya IDF huko kaskazini mwa Israel na makumi ya IDF wamefariki wengine kujeruhiwa.
 
Israel ilikana kuhusika na kifo cha Raisi Ebrahim,wewe kama nani kuwalisha maneno kuwa wamehusika!?
Hujioni kama unaropoka kijana?
Israel imeua magenerali, wanasayansi wa iran wapi israel ilikiri kuhusika
 
Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.

Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.

PIA SOMA:
- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria
The Circle of violence continues...
 
Israel imeua magenerali, wanasayansi wa iran wapi israel ilikiri kuhusika
Imekiri kwa kuongea indirect speech.
Mara nyingi huwa ikisema "hakuna adui wa Israel ataebaki salama".
Hata walivyomuua kiongozi wa Hizbullah walisema"adui yeyote wa Israel ni maiti".
Ila kwanini ilipoletwa taarifa ya kufa Ebrahim Raisi Netanyahu ameikana!?
Nijibu,KWANINI NETANYAHU ALIIKANA SHUTUMA YA KUMUUA EBRAHIM RAISI!?
Tupa maelezo.
Maana katika matokeo ya kuua majenerali na wanasayansi huwa hakanushi wala hakatai ila ataongea kauli za mafumbo.
Mbona hii kakanusha one way tena kwa msisitizo!?
 
Mamaako ndo marinda yanamuwasha,mpelekee gunzi
Nyie watoto wa madrasa mnaokuja kwa nguvu ya mkongo na kahawa.......mnashida sana kazi yenu kujaza seva za jamii forum bila sababu
 
FB_IMG_17176788294355274.jpg
 
Nyie watoto wa madrasa mnaokuja kwa nguvu ya mkongo na kahawa.......mnashida sana kazi yenu kujaza seva za jamii forum bila sababu
Mliopita kwenye magovi ndiyo mna shida
 
Back
Top Bottom