Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Iran ikilipa kisasi israel sasa inaondoka na ayatollah mwenyeweAmiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.
Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.
PIA SOMA:
- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria