Alirushiwa mapipa yenye diesel,myahudi akakazana kutungua, halafu vile vyuma vyenyewe vikapenyaSafari hii arushe machuma chakavu na mafataki alfu🙄😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alirushiwa mapipa yenye diesel,myahudi akakazana kutungua, halafu vile vyuma vyenyewe vikapenyaSafari hii arushe machuma chakavu na mafataki alfu🙄😜
Focus kupiga mayowe Kama wagonjwa akili!?Kanisani unadhani ni kama vijiweni kwenu miskitini? We don't have time for bullshit, tupo focused na mambo yetu.
Hapa umeonesha kwa nini mwabeka,bichwa tupuKama yale maspika ya saa 11
Netanyahu alisema kifo cha rais wa Iran ni sawa na kisasi kidogo saana. Jibu limo humo ndani ya fumbo, kuna ndio na hapanaImekiri kwa kuongea indirect speech.
Mara nyingi huwa ikisema "hakuna adui wa Israel ataebaki salama".
Hata walivyomuua kiongozi wa Hizbullah walisema"adui yeyote wa Israel ni maiti".
Ila kwanini ilipoletwa taarifa ya kufa Ebrahim Raisi Netanyahu ameikana!?
Nijibu,KWANINI NETANYAHU ALIIKANA SHUTUMA YA KUMUUA EBRAHIM RAISI!?
Tupa maelezo.
Maana katika matokeo ya kuua majenerali na wanasayansi huwa hakanushi wala hakatai ila ataongea kauli za mafumbo.
Mbona hii kakanusha one way tena kwa msisitizo!?
Amesema hahusiki na kifo cha Raesi.Netanyahu alisema kifo cha rais wa Iran ni sawa na kisasi kidogo saana. Jibu limo humo ndani ya fumbo, kuna ndio na hapana
Nani kamuu yule jamaa ?Rais hajauawa na Israel.
Kwa uchunguzi wao wametoa ripoti ukisema ni ajali tuu.Nani kamuu yule jamaa ?
Wale ni waasi. Wakristo ni wakatoliki acha hizo taktaka.Focus kupiga mayowe Kama wagonjwa akili!?
Wakatoliki si ni wapagani wa romaWale ni waasi. Wakristo ni wakatoliki acha hizo taktaka.
Jidanganye. Ndio wakristo wa mwanzo.Wakatoliki si ni wapagani wa roma
Hapana, mkiristo wa mwanzo paulo na wenzake,na hakuwa mkatolikiJidanganye. Ndio wakristo wa mwanzo.
Washajibu tayari!!!Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.
Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.
PIA SOMA:
- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria
Nyie watoto wa madrasa mnaokuja kwa nguvu ya mkongo na kahawa.......mnashida sana kazi yenu kujaza seva za jamii forum bila sababu
Naamini kwenye mgogoro huu Rusia anahusika na anafanya hivyo ili magharibi wapunguze kutoa silaha kwa Ukraine. Na inafanya hivyo ili USA na wengine wageuke kusaidia zaidi Israel.Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.
Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji wanaoiunga mkono Iran ambapo afisa wa jeshi ambae ni mshauri wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar ni miongoni mwa waliofariki kwenye shambulio hilo.
PIA SOMA:
- Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria