Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi hata swala Tano anafanyia nyumbani haendi msikitini anaogopa kuliwa kichwaSafari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Unaweza kushangaa Ayatollah anauliwa kwenye mgogoro wa Shia na Suni.Safari hii Ayatolah mwenyewe ataliwa Kichwa.
Nilitegemea Hamas watakaa pale mpakani kuilinda Gaza na Rafah pamoja na raia wao wasiivamiwe. Matokeo yake Hamas wamejificha kwenye mashimo na kwa wananchi.Eeeh .. muone huyu atafanyaje kwa mfano ..huyu hamas aliyemzibiti miaka nenda rudi je amemshinda
Amededishwa nani ?Tofauti ya Iran na Israel ni kuwa Iran inao uwezo wa kudedisha watu muhimu kwa utawala wa Israel lakini haifuati njia hiyo maana ni njia isiyo na tija.
Kama yale maspika ya saa 11Sasa msikitini na kanisani wapi wanabweka kwenye ibada zao!?..huko kanisani Mungu wao kiziwi hasikii,inabidi wabweke Hadi mate yatoke
😀😀😀Shut up wewe!
Kifo cha Qassem Soleiman kililipwa kisasi kwa kupigwa kambi ya jeshi iliyopo Iraq ambako ndiko shambulio lilitokea la kumuua Soleiman.
Askari wa US army wengi walipata ulemavu hasa wa kisaikolojia kwa lile shambulio,Trump kutaka kulipiza kisasi aliandaa Navy seal ila meli ziliishia tu ufukweni kama za kitalii.
Unadhani dunia hii unaweza ukaficha jambo!?
😀😀😀
Rais hajauawa na Israel.Iran kwanini haiwatafti viongozi wa Israel iwaue mana wao wa kwao wanaisha...Rais Kauwawa
Waziri mambo ya Nje kauwawa
Majenerali ndio usiseme anzia Kassim Suleiman..Mtu wa maana kama Yule akauwawa kienyeji tu...
Dah
Kanisani unadhani ni kama vijiweni kwenu miskitini? We don't have time for bullshit, tupo focused na mambo yetu.Eti president kaondolewa,ndo mlivoambiana kanisani huko!?
Palm Beach🤭Waboreshe ule ubalozi wao pale Palm...
Ubalozi haunatofauti na waburundi au S. Sudan!?
Vipi mkuuPalm Beach🤭
Nyie watu wa milima ya upako mnamatatizo ,,asa kundi la Hamas lawatoa jasho alaf Iran ishindwe ? Mbona ilishapiga mabomu ya kutosha ndan ya Israel na jamaa wakaufytaaIran amenunua ugomvi wa Israel, kwa mazingira ya Israel na uadui uliopo kwa sasa hana option , vita vitalipuka na Iran hatakuwa na namna ya kumshinda Israel kwa njia yoyote.
Wanajeshi sio malaika kuuliwa kupo? Au kuna nchi wanajeshi wake hua hawafi?subiria tuone hicho kisasi kitakuajeHivi hawa iran wajinga namna hii, inakuwaje wanajeshi wao wanauwawa na hawachukui hatua ya kiulinzi wakiwa huko!!
Mkuu vyote hivo wanavijua ila akili za kupakwa mafuta ya upako ndio zimeishia hapoShut up wewe!
Kifo cha Qassem Soleiman kililipwa kisasi kwa kupigwa kambi ya jeshi iliyopo Iraq ambako ndiko shambulio lilitokea la kumuua Soleiman.
Askari wa US army wengi walipata ulemavu hasa wa kisaikolojia kwa lile shambulio,Trump kutaka kulipiza kisasi aliandaa Navy seal ila meli ziliishia tu ufukweni kama za kitalii.
Unadhani dunia hii unaweza ukaficha jambo!?
Hizbullah tu ya Lebanon inamtandika Netanyahu sembuse nchi!?mimi sion kama kuna nchi yoyote ya kiarabu inamuweza netenyau.. wanataka wapigwe waanze kutia huruma tu ap
Safari hii arushe machuma chakavu na mafataki alfu🙄😜Mavi yanagonga chupi huko TelAviv,katoka raisi so akiuawa ayatollah atawekwa mwingine,Ila vinu lazima viitike mji ambao hiyo ndege imetokea