Iran imetangaza kulipiza tena Kisasi kwa Israel baada ya shambulizi huko Syria

Iran nao wanabwabwaja sana kuliko vitendo
 
Netanyahu alisema kifo cha rais wa Iran ni sawa na kisasi kidogo saana. Jibu limo humo ndani ya fumbo, kuna ndio na hapana
Netanyahu alitanguliza kusema ISRAEL HAIHUSIKI NA KIFO CHA EBRAHIM RAISI.
Na Israel haiwezi lipiza kisasi kidogo hivyo.
Tunajielewa humu sio watoto.
 
Iran nao wanabwabwaja sana kuliko vitendo
Iran ina vita ya kiuchumi kabla ya hizo vita za silaha.
Mshukuruni sana rais mpya aliyesema Iran inatakiwa ijihusishe na uchumi sio kuendekeza mapigano.
Laa sivyo Israel wangeipata fresh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…