Kwann Marekani haingie si Israel anajiweza Marekani wa nini tena?Maneno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....
Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....
Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Hivi ww jamaa unadhani vita ni rahisi kama unavyo mtikisiaga matako basha wako sio?Sio kesi mwambieni huyo Ayatollah na midevu yake ashambulie Israel si anajifanya ana military capability ila msije kulia lia humu kuwa Israel inaua wanawake na watoto na raia wasio na hatia wa Irani kama mnavyolia Gaza wakati vita ilianzishwa na Hamas
Waambieni Irani Israel haiwaogopi na inawakaribisha kupigana nao hao Ma Ayatollah wafuga Midevu muda wowote ruksa waanzishe vita
Israel inawakaribisha mikono miwili kuwa Irani karibu Vitani tupigane mwambieni huyo Ayatollah wenu kuwa anakaribishwa vitani kwa mikono.miwili na Israel
Kwann aukimbie kwani yeye ndo katoa taarifa hiyo au imetolewa na shirika lenu pendwa CIA?BAADA YA SAA 48 MSIUKIMBIE HUU UZI.....WAZEE WA KUTWA MARA TANO
Kww kauli hii tu Tiari soko la hisa litakuwa limeangukaRipoti za kiuchunguzi za CIA zinaeleza kuwa Iran inaendelea kujiandaa na mashambulizi ya drones ndani ya Israel hasa kwenye maeneo yake ya viwanja vya ndege na kambi za jeshi...
Wakati haya yakijiri Huko Iran na Israel nao kupitia waziri wa ulinzi bwana GALLANT amesema kuwa "vikosi vyetu vipo tayari na vimejipanga kitambo sana na vita Kwa kujilinda na kupiga"
Naona vita hii inayoendelea inapelekea vita ya 3 ya dunia...tuombe MUNGU Iran asijibu mapigo
Netanyahu hajakimbilia kwenye nuclear Bunker ya rafiki yake na busha lake walompasua juzi!?..maana rocket za Hamas tu zilimkimbizia hukoNchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.
Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Ya mungu mengi inaweza kuwa sikio la kufa ili maandiko yatimie akajichanganya na kuipiga IsraelAcha bange wewe! Ayatola anawajua vizuri wayahudi, hawezi kuthubutu.
Muhimu ajibu shambulio la juzi aone, October 7 Hamas waliua waisrael 1200+, kisasi washauwa 32.000+ na bado, sema ndio sikio la kufaHahaaa malofa kweli nyie hivi unaweza kumpangia mtu apigane vipi vita?
Tena hiyo ni rahisi kuliko kupigana na vikundi vya kigaidi ndani, angalia mifano Nigeria na Bila Haram, Somalia na Alshabab, Congo na M23Sasa ndugu yangu hebu kuna mambo tuyaweke sawa.
Israel inapambana na kikundi cha wanamgambo wa Hamas. Kikundi ambacho kipo Gaza chenye idadi ya wapiganaji takribani elfu ishirini (20,000). Gaza ambayo ukubwa wake kama wilaya ya Kigamboni.
Mpaka sasa Israel bado anapambana nacho hicho kikundi na Israel ametumia 82% ya uwezo wake wa kijeshi. Kikundi ambacho kinatumia silaha duni.
Tangu mwaka jana mpaka sasa bado hajamaliza vita.
Unafikiri kupigana vita ni rahisi?
Umejaribu kuwaza akipigana na nchi kamili yenye majeshi kamili na yenye silaha za hali ya juu itakuwa salama kwa Israel?
Unafikiri kwa nini Marekani imejaribu na imeweza kupunguza mvutano wa Hizbullah kuingia vitani na Israel kipindi hiki?
Wenzio wanapiga hesabu za mbali, mtu pekee walishamchelewa ni Kim Jong Un wa Korea na hawataki nchi yoyote ya kiarabu kumiliki Nyuklia kwa sababu wanawajua Waarabu akili zao zinabadilika any time. Ndio maana walimuwahi Sadam na Ghadafi. Shida ya wazungu ni maslahi sio dini kwa sababu hata anayofanya Israel hakuna dini inasupport. Ndio maana Saudi Arabia chimbuko la Islam ni washikaji waoSawa sawa!
Lakini unafahamu pia USA ilikuwa inamlipa Iran kiwango kikubwa cha pesa ili asitengeneze hayo mabomu?
Na unakumbuka pia kipindi cha kati Iran alitishia kuwa atafanya urutubishaji na kutengeneza hayo mabomu ya nuclear?
Katangaza wapi?!Kajificha wapi? Iran katangazia wazi dunia kuwa Hezbollah anawapa silaha, Hamas , Houth , Islamic resistance wote hawa anawasupport financially and Technically .hata hao mabwana zenu wa marekani na Israel wanajua wazi hilo.
Mbona Allah haingili palestina?Kwann Marekani haingie si Israel anajiweza Marekani wa nini tena?
Hiyo taarifa imetoka kwenye chanzo kipi cha habari?! Kama ni cha mchongo bhas ni FEKI.Kwann aukimbie kwani yeye ndo katoa taarifa hiyo au imetolewa na shirika lenu pendwa CIA?
Isipo tokea ndo tujaua kuwa CIA ni shirika la kimbea na sio la kijadusi.
Hakuna asiye na chakupoteza kwenye vitaMimi sina cha kupoteza maana hata nisipokutupia bado utaniangamiza. Bora nitupe maana hapa tunaongelea kujiokoa au kuangamia.
Ndio maana nikasema nchi yenye nuclear power haivamiwi kizembe. Maana yake pamoja na sheria za matumizi ya nuclear, bado wamiliki wengine wa nuclear wataingulia kati isifike kuwa vita.
Ayatollah ana kukera sana kwa nini ?Sio kesi mwambieni huyo Ayatollah na midevu yake ashambulie Israel si anajifanya ana military capability ila msije kulia lia humu kuwa Israel inaua wanawake na watoto na raia wasio na hatia wa Irani kama mnavyolia Gaza wakati vita ilianzishwa na Hamas
Waambieni Irani Israel haiwaogopi na inawakaribisha kupigana nao hao Ma Ayatollah wafuga Midevu muda wowote ruksa waanzishe vita
Israel inawakaribisha mikono miwili kuwa Irani karibu Vitani tupigane mwambieni huyo Ayatollah wenu kuwa anakaribishwa vitani kwa mikono.miwili na Israel
Kwa hiyo Ayatollah ndie aliyeshambulia ubalozi wa Iran Syria sio Israel ?Hakuna vita ya 111 ya dunia. Usiogope. Huyo Ayatola anaweza kupotezwa hata kabla ya vita kuanza. Hii ni kwa sababu chokochoko yate hiyo imeletwa na huyo Ayatola na genge lake na wala sio wananchi. Wananchi hawampendi kabisa ila anatumia dola (Majeshi ya kidini) kuwakandamiza. Rejea walipoandamana akina mama kwa kuuawa msichana aliyeacha kuvaa hijabu. Mbona Ayatola hapo aliufyata? Sasa anataka aijaribu Israel????
Hawezi kabisa. Lakini huwa hapendi kuonekana mnyonge, atajaribu kwa namna yeyote kulipiza kisasi.Ya mungu mengi inaweza kuwa sikio la kufa ili maandiko yatimie akajichanganya na kuipiga Israel
Sasa ndugu yangu.Tena hiyo ni rahisi kuliko kupigana na vikundi vya kigaidi ndani, angalia mifano Nigeria na Bila Haram, Somalia na Alshabab, Congo na M23