Iran kapiga kwenye mshono bila hata ya vita

Iran kapiga kwenye mshono bila hata ya vita

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
7,681
Reaction score
9,892
Israel ambaye alikuwa anajisifu yeye ni super power hakuna hata risasi inaweza kupenya, leo hi analia na kupiga kelele Iran anataka kunipiga namba mnisaidie😄

Iran kafanikiwa kushinda vita kabla hajanza, kwa kuyafedhehesha mataifa kama US, UK, France, Germany na Nato kiujumla. Kayafedhesha kuwa haya mataifa ndio yanayo fanya genocide Gaza, na Israel ndio tools wanaitumia tu.

Iran kaweza kuyafedhehesha mataifa kama Jordan. Saud Arabia, UAE na badhi ya nchi za kiarabu, kwa kudai watangusha missiles na drones za Iran. Iran kaweza kuyafedhehesha mataifa ya kiarabu kama Qatar, na Egypt kukimbilia kumaliza deal ya vita kusimamisha haraka haraka, ili Iran aspige Israel. Iran pia kalifedhehesha taifa la Jordan kwenda mbio mbio kuomba Iran asipige Israel. Qatar mpaa kafikia kuwatisha viongozi wa Hamas atawafukuza Qatar, wasipo kubali deal. Hapa ni wazi viongozi wa nchi za kiarabu hawataki Israel ingo'lewe pale Middle East.

Swali hapa lini Jordan, US, France. UK, na Germany walienda kwa Shetanyahu kumuambia atumie akili, vita havina faida kama alivyo enda Jordan kwa Iran, na hao wengine kwa simu na kutumia mediation kumuambia Iran afanye subra n.k 😄
 
Kwaiyoo ukipigwa dole la kinyeo alafu tuwatume watu wamuimbee msamaha aliyekupiga dole utakubali.....?

Ukibali kutoa msamaha sisi wa malegend tutajua ndo michezo yako.....!!!

Ukikaza tutajua jamaa kaingi choo cha mazombie................!!!!!
 
yemen walikua wanalalamika eti mzayuni analenga miundombinu za kiraia na dunia nzima ikalia naye na walikua wakimpongeza akifanya uhayawani
 
Iran yule kamanda wao aliuwawa mwaka juzi, Rais kauwawa, Hamas leader kauwawa kwao wao ni kutoa matamko tu.

Iran dhaifu sana haiwezekani kila siku inashambuliwa kwake wenyewe wanaishia kutoa matamko tu.
 
yemen walikua wanalalamika eti mzayuni analenga miundombinu za kiraia na dunia nzima ikalia naye na walikua wakimpongeza akifanya uhayawani
Nani kakuambia Yemen halipi? Kipigo kina kuja aliye wazuia ni Iran anataka mvua zishuke Tela Aviv. Iran amepewa ofa nyingi sana ili asipige Israel je atakubali? Leo usiku au kesho ndio tutapata jibu.
 
Back
Top Bottom