Iran kapiga kwenye mshono bila hata ya vita

Iran kapiga kwenye mshono bila hata ya vita

Kwa huu uharo ulioandika hapa inaonekana wazi kabisa hauna akili timamu taka taka kabisa
We si ndio unaye tupa GPA za uharo kutokana na experience zako za uharo ulio nao 😄

Nyie tulieni leo au kesho mvua zitashuka mimi nilisha sema mpaa tarehe 14/8 Israel asipo pigwa itakuwa ajabu kubwa sana.
 
Umeandiaka kikuda kuda sana, umeandika kama dada zetu wanagombania bwana, umeandika kama kama unakimbia mvua, ufikiri wako umejaa maji kabisa au hisia zinakuendesha kijana
 
Huko wanapowainamia majini?
Bibilia zenu mbona zinasema mko wengi tu majini kwenye ukristo haha Marko 5. 7-9
Kisha akalia kwa sauti kubwa na kusema, “Unataka nini kwangu, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Mkuu zaidi? Nakuomba uape mbele za Mungu kwamba hutanitesa.” 8 Yule pepo alisema haya kwa sababu Yesu alikuwa anamwambia, “Mtoke huyo mtu, ewe pepo mchafu!”

9 Ndipo Yesu akamwuliza yule mtu, “Jina lako nani?”

Naye akamjibu, “Jina langu ni Jeshi,[a] kwa sababu tuko wengi.”
 
Mkuu uzuri wako huwa unawapa source ya uhakika sio kama hawa wagalatia wanapenda ushabiki wa blah blah na kudandia mambo.

Yaani wewe hubishani na mtu bali unampiga tofa la utosi anakaa mwenyewe.😆
Usolii usolii.. kha sheila ha.. yaani Source



Mario Nawfal

ya mjinga wako ndio hiyo from Msikiti Tv hahahahaha rudi shule ukasome somo la akili..

Netanyahu akija Allah anampiga,Akija Mudy anamaliza mapengo yote yaliyobakia.. Wakija waislam walioungana anapiga, wakija waongo Aljazeera na mdhamini wao Qatar viboko tu wanakula.. even Biden akiongea hovyo anaambiwa vizuri akili zikae sawa... Even ningekuwa mimi ndugu zako waje kuiba kwangu na kuua baadhi ya ndugu zangu... nikawakamata na kuwafunga, alafu nduguzo wengine wanakuja kuua ndugu zangu wengine na wengine kuwateka... Nipate hasiri kuja kuwakoa ndugu zangu alafu unajificha nyuma ya mama zako na ndugu wengine... napiga wote and akija mpumbavu jirani anasema eti nikae chini na wewe eti iwaachilie wahuni wako and niache kukupiga bila kurejesha mateka wengu haki nitakupigeni kuliko Netanyahu aavyowaonea huruma kuwapa maji umeme na kuruhusu misaada eti ya kibinadamu wakati umeteka hadi watoto wangu..

atakaeyeamua namuambia shut f..ck up stay away i have unfinished business come back later
 
Iran ni bonge la joka la kibisa. Iran anajua fika kwamba akiishambulia tu Israel gharama ya kulipa ni kubwa na ndio maana anajikanyaga ila hayo ya kusema eti ameombwa ni porojo tu za kawaida za jihadists wa masjid ubwabwa.
 
Mpaka leo iran haja jibu shambuliz lolote ana ishia kubweka bweka ww muajemi wa kisiju una kenua kenua tu kende zako ukiwa ndani ya msuli ume shibaba ubwaba maharage
 
Punguza Imani mkuu,madrasa hiyo.

Iran huyu sio yule wa miaka kumi iliyopita.Yeye mwenyewe ashaelewa akikosea hata hatua Moja,kaisha.

Leo hii Israel anauwa viongozi na makamanda wa Iran kadri anavotaka🤔.
Shtuka mkuu,amka kumekucha acha kisinzia asubuhi.
Punguza iman.
 
Iran ni bonge la joka la kibisa. Iran anajua fika kwamba akiishambulia tu Israel gharama ya kulipa ni kubwa na ndio maana anajikanyaga ila hayo ya kusema eti ameombwa ni porojo tu za kawaida za jihadists wa masjid ubwabwa.
Mimi ninafuatilia habari za kimataifa, ni kwamba mtoa mada kaingiza na ya kwake nadhani ya ushabiki wa kiitikadi.

Nchi zote kubwa west/east(Russia) zimemshauri Irani kuachana na mambo ya visasi ili kuzuia kuleta vita kubwa katika eneo la Mashariki ya kati.

Irani naye kawajibu west kuwa wao wanajikanganya kumshauri yeye wakati sheria za kimataifa za kivita zinavunjwa na Israel wazi bila ya wao kuchukua hatua za maana na kwa majibu hayo hauwezi kusema 'kawaaibisha'.

Hayo sasa yamebakia ni maneno ya kisiasa kusindikiza siku.

Iran kashafahamu wazi ni nini kitatokea iwapo ataishambulia Israel, kwa sababu US tayari kaonesha kuingilia kumsupport Israel, wamekwisha kusogeza manuari za kivita kukabiliana na lolote kutokana na vitisho vya Iran.

kwa hiyo hawezi kufanya lolote kwa sababu keshapima matokeo.
 
Mnap

Mnapoandika, kwanza muwe mnajiuliza kama mna uelewa wa kutosha kuhusiana na jambo mnaloenda kuliandika.

Hivi hayo mataifa yote, hasa hayo ya Kiarabu, kama Iran akiipiga Israel, yanaumizwa na nini?

Hayo mataifa yote yanayoitaka Iran isijaribu kuishambulia Israel, yana watu wenye hekima, wanaojua madhara makubwa yatakayowapata wananchi, zaidi kwa upande wa Iran, na kiasi kwa Waisrael, na kwa kiasi kudogo sana kwa wananchi wa mataifa yao, kuanzia usalama, na zaidi kwenye uchumi. Ufahamu kuwa Israel haipakani na Iran, ili Iran ipigane na Israel, ni lazima viwe vita vya anga, na kwenye vita vya anga, Iran ni dhaifu sana ukilinganisha na Israel. Karibuni tu hapo Iran iliporusha msululu wa maroketi na drones kwa Israel, hayakuwa na madhara yoyote makubwa. Israel ilishambulia mara moja tu Iran, na ikawa kwenye target, ikateketeza mtambo uliotumika kurusha makombora, na Iran ikawa kimya.

Iran ikianza kurusha makombora dhidi ya Israel, mengi yatadunguliwa na kuangukia ndani ya mataifa mengine, na mabaki hayo yanaweza kuleta madhara kwa mataifa hayo. Na pia tafiti za kitaalam kwenye mambo ya kivita, zinasema kuwa Iran ina silaha nyingi lakini ni outdated, za tekinolojia duni, zisizo na precisjon. Mfano mmojawapo umeona hata chopa iliyomwua Rais wao. Kutokana na kasoro hizo, inaweza kutokea ikalenga makombira yakatue Israel, halafu mengine yakaishia kudondokea katika mataifa mengine kwa kukosa precision. Ndiyo maana mataifa hayo, hayataki hilo litokee.

Lakini pia, Iran inachukiwa na mataifa karibia yote ya Mashariki ya kati kwa sababu ni nchi inayoanzisha na kuyafadhili makundi ya kigaidi dhidi ya Serikali zote zisizo za kishia. Ndiyo maana usishangae, siku Iran ikirusha makombora kwenda Israel, mengi yatadunguliwa na mataifa ya kiarabu kabla hayajaingia kwenye anga la Israel, kama ilivyotokea safari iliyopita.

Mataifa karibia yote ya kiarabu yana mahusiano mazuri na Israel, japo siyo kwa uwazi sana, kwa sababu Israel ndiye mbabe wa kukabiliana na Taifa la kigaidi la Iran. Mataifa ya kiarabu wala hayana huruma na magaidi ya Hamas, Hezbollah n.k., yanaumizwa na mauaji ya wapalestina wasio na hatia, kama ambavyo imekuwa kwa nchi nyingi za Ulaya.

Sasa ukiwa na akili ndogo na uelewa mdogo, utachukulia mambo kama ulivyoyachukulia.
Wacha kuimba ngojera wewe Iran ana Hypersonic missile hata ndege hazioni kitu hapo. Afu kwa infomation yako katika Hypersonic missiles alizo rusha Iran kwenda Israel April 2024 hakuna hata missiles ilio angushwa zote zilipiga target. We sikiliza ngojera za Israel eti 99% ziliangushwa 😄

Eti Israel ana nguvu za anga we ufananishe Hypersonic missiles na ndege F35 mpaa iwe refuel, tena itatumia hizo hizo anga za warabu kwenda kupiga Iran na Hypersonic inapita hata hakuna radar inaweza kuidetected na hakuna missile inayo weza kuiangusha.

Wewe unajua Hypersonic missile ya Iran ni 5 to 8 minute inafika kwenye target hapo Israel. This makes it far more difficult to be detected by radar systems and to be destroyed by defence shields.

We kumbe akili zako bado ndogo sana kama unadhani Israel bado ana uwezo wa anga kale matango. Kule Israel drones za Hezbullah zinapenya kila kukicha, Iron Dome kila kukicha zinakosa target zinaenda kuyadhuru majumba na barabara za hao hao wa Israel.

Ingekuwa Israel ana uwezo kama unao dai kwanini analilia lia Iran anataka kunipiga mpa Nato yote inamtisha Iran 😄
 
Back
Top Bottom