physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Hawa wa Israel walimuua Yesu,na kumsulubu,na wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Yesu aliyekuja kuwakomboa,wafikiri wengine,si watauliwa tu.Hawa wanasubiriwa na Yesu,na watakiona kilichomtoa Kanga manyoa.Ameyafedhehesha vipi? Ye ye ndio katiwa aibu, kuongozi unayemlinda, anauliwa ndani ya ardhi yako, tena akiwa kwenye makazi yanayolindswa na wanajeshi,
Iran ni paper tiger,
Kamanda wake mkuu wa IRGC aliuliwa kwa missile, akaishia kulia Lia,