Iran kucheza dance hadharani ni jela miaka 10

Iran kucheza dance hadharani ni jela miaka 10

Kaka bata muhimu hasa kwa sisi watu wa kada za chini!!!Sikatai kufanya kazi ila enjoyment muhimu pia!!!North korea hawana uhuru kule hata wa kuangalia ligi za mpira na NBA!!!!Anaangalia muheshimiwa Kim peke yake na mshikaji wake anaejiusisha na mapenzi ya jinsia moja Deniss Rodman
Rodman siyo cholo wewe
 
inabidi nchi iwe bize kwenye tech kama North Korea ku-deter ujinga ujinga wa Marekani

siyo kupoteza kukata viuno kama wale upinde wa Ulaya
North korea mwizi kama mwizi mwingne nilisoma mahali miaka 1970 aliagiza gari 1000 kutoka kampuni ya volvo sweden gari zilifika pyong yang zikapokelewa mpaka leo sweden(volvo) hajalipwa manunuzi ya yale magari na deni lipo
 
Rodman siyo cholo wewe
Mimi nilimuona kavaa shela na akajifungisha ndoa!!!!!Afu ya vile vidani puani na kwenye ulimi na anvyopaka wanja na make up!!!!Kweli kaka Zonda ndugu yetu Rodman sio gay????
 
Mimi nilimuona kavaa shela na akajifungisha ndoa!!!!!Afu ya vile vidani puani na kwenye ulimi na anvyopaka wanja na make up!!!!Kweli kaka Zonda ndugu yetu Rodman sio gay????
Siyo,swaga tu...alishasema alijaribu kugongwa,akadai inauma tusije jaribu..lakini ni mzinguaji tu,yule mhuni haswa
 
Siyo,swaga tu...alishasema alijaribu kugongwa,akadai inauma tusije jaribu..lakini ni mzinguaji tu,yule mhuni haswa
Unamtetea sababu ni rafiki wa Kim au una ushahidii kuwa bro sio gay!!!Maana wanaume hatutoboi ulimi na pua na masikio!!!Umesahau yaliyomkuta 2pac alipotoboa pua???
 
Wana tamaduni zao, ukiona hivyo dance sio utamaduni wao, wameona haina tija wameukataa, shida ni kufikiri kila kitu ni muhimu kwa kila mtu
Waajemi tamaduni zao walishaziacha kitambo!!!!Angalia lugha tu wanayotumia
 
Wanaume wa wapi hatutoboi pua!!?..wanaume wa kinyamwezi na kisukuma ni utamaduni wao kusuka
Kusuka kwa waafrika nakutoboa masikio kwa waafrika ni tofauti na gays!!!!Kaka muangalie vizuri Rodman na pia uangalie vizuri ukaribu wake na dogo Kim!!!
 
Sasa sio kila tamaduni ya kigeni unaweza ipokea, kama haina faida una achana nayo
Sasa uhuru muhimu watu waenjoy life!!!!!Maendeleo bila uhuru ni sawa na kuwanyima watu pumzi!!!Na huo ni uamuzi wa wangapi katika majorty????
 
Back
Top Bottom