Iran kucheza dance hadharani ni jela miaka 10

Iran kucheza dance hadharani ni jela miaka 10

Hivi unajuwa kuwa kuna waarab wengi sana wapigaji bangi na wabwia unga....unayo hiyo tarifa? Pombe hawanywi ila wanapiga sana bangi kama hawana akili.
Hasa tehran kuna waraibu wengi wa opium na heroin hasa kwenye slums!!!Mitaa ya watu masikini
 
Sasa bila watengenezaji hawa waangaliaji watu angalia nini? bila bidhaa kuwepo hakuna atakae angaika, ila ikiwepo watu watakula, kwahiyo mzizi wa tatizo ni wale wanao leta bidhaa sokoni
Kaka kisaikolojia kuna upande unautetea kaka!!!Either kwa mtazamo wa kisiasa au kishabiki au kidini!!!Kama ndugu yangu@Zonda anaekataa kua Deniss Rodman sio gay!!!!Au nakosea kaka???
 
Ebu twende taratibu kaka Haji manara kafanyaje?????
Bingwa wa kuangalia sinema za ngono na kuiga kila kitu akionacho humo kama vile kunywa mkojo wa mwanamke, kulamba k@@ma, kutaka kul tigo kwa kulazimisha mpaka wanawake wanamkimbia kumuona ana matatizo ya kiakili. Stimu yake yeye ni sinema za ngono tu na sigara kali.
 
I know ila pia kuna umalaya sana wa chini chini.....nilikaa kule wiki 2 hivi (nilikuwa napita tu kwenda Ugiriki).
Kaka zile underground clubs za pale tehran ni balaa!!;Kwa bata zile mimi nashangaa iran kua nchi ya kidini?????Na kuna underground brotherl kule karibia na ubalozi wa uswisi!!!Daah umenikumbusha mbali bro😎😎😎😎Enzi za ubaharia wabongo wengi wapo beirut bandarini kama wapagazi!!!!Ilikua rahisi sana kwenda tehran!!!!Kipindi hicho beirut ni beirut kweli kaka!!
 
Hivi unajuwa kuwa kuna waarab wengi sana wapigaji bangi na wabwia unga....unayo hiyo tarifa? Pombe hawanywi ila wanapiga sana bangi kama hawana akili.
Mkuu wewe shida yako ipo kwa waarabu tu., katika uislamu haijaandikwa mahali popote kwamba waarabu watakuwa ni watu na waislamu wasafi 100% kwa sababu Mitume ilitokea middle east, hiyo ni theory yako tu unayolishwa, Nabii Ibrahim alimkuta baba yake anaabudu sanamu kama huko kwenu walivyo wakiristo na nchi nyengine. Maasi popote watu wanafanya, dini ya kiislamu si ya waarabu ni ya watu wote ulimwenguni.

Tunasema bangi imetapakaa ulimwengu mzima watu mbali mbali wanapiga, Lakini tunaipongeza Iran kwa kuweka sheria kali zaidi kwa watu wenye viashiria vya kupelekea kupiga bangi na mambo mengine
 
Bingwa wa kuangalia sinema za ngono na kuiga kila kitu akionacho humo kama vile kunywa mkojo wa mwanamke, kulamba k@@ma, kutaka kul tigo kwa kulazimisha mpaka wanawake wanamkimbia kumuona ana matatizo ya kiakili. Stimu yake yeye ni sinema za ngono tu na sigara kali.
Kaka yupo humu JF anakuona na anaweza kukushitaki!!!!Ungetumia tafsida kaka sababu tuhuma hizo ni nzito sana kaka!!!!
 
Hasa tehran kuna waraibu wengi wa opium na heroin hasa kwenye slums!!!Mitaa ya watu masikini
Tatizo la wabongo vilaza wao wanafikiri mtu akiwa mwarab tu ni malaika, hawajuwi lolote kuhusu hawa watu. Waarab wengi sana haswa vijana na watu wa makamu ni waraibu wa mihadarat na ndiyo maana wanawake zao wengi wako na stress za ndoa.
 
Tatizo la wabongo vilaza wao wanafikiri mtu akiwa mwarab tu ni malaika, hawajuwi lolote kuhusu hawa watu. Waarab wengi sana haswa vijana na watu wa makamu ni waraibu wa mihadarat na ndiyo maana wanawake zao wengi wako na stress za ndoa.
Bro kuna wairan waliniambia kua kipindi cha Sha and generation,s of kings kilikua bora kuliko kipindi cha Ayatollah,s!!!
 
Mkuu wewe shida yako ipo kwa waarabu tu., katika uislamu haijaandikwa mahali popote kwamba waarabu watakuwa ni watu na waislamu wasafi 100% kwa sababu Mitume ilitokea middle east, hiyo ni theory yako tu unayolishwa, Nabii Ibrahim alimkuta baba yake anaabudu sanamu kama huko kwenu walivyo wakiristo na nchi nyengine. Maasi popote watu wanafanya, dini ya kiislamu si ya waarabu ni ya watu wote ulimwenguni.

Tunasema bangi imetapakaa ulimwengu mzima watu mbali mbali wanapiga, Lakini tunaipongeza Iran kwa kuweka sheria kali zaidi kwa watu wenye viashiria vya kupelekea kupiga bangi na mambo mengine
Unaona sasa Mpemba huyu, nani aliyekuambia nina matatizo na waarab? Mpemba rudi shule tafadhali na ujifunze kuelewa nini kinazungumzwa kabla ya kujibu hoja.
 
Mkuu wewe shida yako ipo kwa waarabu tu., katika uislamu haijaandikwa mahali popote kwamba waarabu watakuwa ni watu na waislamu wasafi 100% kwa sababu Mitume ilitokea middle east, hiyo ni theory yako tu unayolishwa, Nabii Ibrahim alimkuta baba yake anaabudu sanamu kama huko kwenu walivyo wakiristo na nchi nyengine. Maasi popote watu wanafanya, dini ya kiislamu si ya waarabu ni ya watu wote ulimwenguni.

Tunasema bangi imetapakaa ulimwengu mzima watu mbali mbali wanapiga, Lakini tunaipongeza Iran kwa kuweka sheria kali zaidi kwa watu wenye viashiria vya kupelekea kupiga bangi na mambo mengine
Nakunukuu""Kama huko kwenu walivyo wakrsto"""Usisahau na sanamu za mwezi na nyota kwenye nyumba za ibada (Masjid)!!!!!Kifupi dini zote zinaabudu sanamu!!!Wengine sanamu za watu na wanyama na wengine sanamu za nyota na sanamu za mwezi!!!!!Upo sahii kaka nilikua nanukuu tu@Win8
 
Mkuu wewe shida yako ipo kwa waarabu tu., katika uislamu haijaandikwa mahali popote kwamba waarabu watakuwa ni watu na waislamu wasafi 100% kwa sababu Mitume ilitokea middle east, hiyo ni theory yako tu unayolishwa, Nabii Ibrahim alimkuta baba yake anaabudu sanamu kama huko kwenu walivyo wakiristo na nchi nyengine. Maasi popote watu wanafanya, dini ya kiislamu si ya waarabu ni ya watu wote ulimwenguni.

Tunasema bangi imetapakaa ulimwengu mzima watu mbali mbali wanapiga, Lakini tunaipongeza Iran kwa kuweka sheria kali zaidi kwa watu wenye viashiria vya kupelekea kupiga bangi na mambo mengine
Kaka unasema tehran hakuna bangi na mapusha?????You are not serious kaka sababu ukiwa Yeveran bangi zote zinatokea Tehran!!!!Zinapitia Nagoro-Karabah na zilikua zinatufikia Yeveran!!!
 
Huwezi kufanya chochote unachotaka, lazima kuwe na taratibu za kufata , ukitaka kumuua jirani yako watu wakuache kisa uhuru ni kufanya chochote unacho taka?
Sijazungumzia uhuru wa kufanya uhalifu kaka!!!!Nazungumzia parties and fun plus music
 
Bingwa wa kuangalia sinema za ngono na kuiga kila kitu akionacho humo kama vile kunywa mkojo wa mwanamke, kulamba k@@ma, kutaka kul tigo kwa kulazimisha mpaka wanawake wanamkimbia kumuona ana matatizo ya kiakili. Stimu yake yeye ni sinema za ngono tu na sigara kali.
This is character assassination....acha hizo aisee.
 
Hiyo safi sana,hakuna kitu kinaniboa kama wale vijana wanacheza na mataulo meupe kwenye pundamilia(vivuko vya waenda kwa miguu) ndiyo mana nimesema sirudi tena dasalamu mpaka wale vijana waondolewe
Ndio maana wanacheza kwenye pundamilia na magari yanapokuwa yamesimama. Endelea kukereka wenzako walishajiajili. Endelea KUKAA ndani tu
 
Back
Top Bottom