5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Ni jambo jema sana ili kuepusha umalaya na majanga haya ya maradhi lakini ni kujenga taifa la watu madhubuti zaidi sio watu miili yao inalegea legea kwa kutipuka tipuka., uilsam ni dini nzuri sana.mashi yao ni magumu lakini nchi yao aombi chumvi kwa mzungu kila kitu wanafanya wao barabala shule madawa hosptal silaha madege vifaru nk wewe unachza dansi adharani unawazidi nn? mabo mengine twe na haya kuyaweka waz