kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
😂😂😂Unatumia akil8 nyepesi Mno kujadili jambo as if IRAN adminostration nzima haijaliona then wewe ndo ukaliona🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Unatumia akil8 nyepesi Mno kujadili jambo as if IRAN adminostration nzima haijaliona then wewe ndo ukaliona🤣
Embu usitudanganye wewe.hapo bila wao"kujua umefeli mjomba" inawezekana unawachukia mno US umesaha huko nyuma wa iran walirusha makombora base la us iraq, us waaliona hakuna madhara makubwa wakadharau hawakujibu sasa kiwewe kikafanya iran watungue ndege ya ukrain ambayo abiria wengi walikuwa wa iran. Mchezo mzima wanaume waliuona wakaa kimya wiki 2, wairan mara kusingizia us mara pilot error mara vile, mwishoni wakakubali wameua raia wao wenyewe na ikabidi walipe hela ndefu.
Kupiga picha hakuna madhara si warushe kombora basi maana ile ghuba upana wake ni km30 tu ina maana meli ikipita kati inakuwa km 10 au 15 toka iran sasa mdude ile moja kama USS FORD ni m337 yaani viwanja vitatu na nusu vya mpira linapita mchana kweupe na yako matatu halafu kupiga picha iwe kitu cha ajabu na akilikuuubwa kwa iran DU taf jaman kama mmefikia hapo poleni sana