Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Anaongea akiwa Tehran baada ya mstari mwekundu kuvukwa
 
Hayo ni kweli 100%

Huwezi mtisha Muislam kifo ukiwa wewe ni kafiri.

Ukimuuwa kashinda, akikuuwa kashinda.
Kuna gaidi yeyote alishawahi kuuawa akafufuka akawathibitishia kuwa huo uongo mlioaminishwa na mtu asiyejua kusoma wala kuandika, kuwa ni wa kweli? kuna uthibitisho wowote kwamba mkifa mnaenda sehemu nzuri? amewatumbukiza wote kwenye shimo la moto wa milele hadi mnatia huruma.
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Maralia umeleta uzi wa tano leo duuh🤣🤣🤣
 
Kuna gaidi yeyote alishawahi kuuawa akafufuka akawathibitishia kuwa huo uongo mlioaminishwa na mtu asiyejua kusoma wala kuandika, kuwa ni wa kweli? kuna uthibitisho wowote kwamba mkifa mnaenda sehemu nzuri? amewatumbukiza wote kwenye shimo la moto wa milele hadi mnatia huruma.
Mandela.
 
yap, walifanya maajabu sana aisee, na walifanikiwa pakubwa mno. though upande wa pili viwanda vinazidi kutengeneza mifuko ya nailoni kiukusanyia mabaki ya ndugu zao wanaofumuliwa usiku na mchana. kuna mmoja jana niliona amesambaratishwa na bom wamemuweka kwenye rambo, kuna uwezekano nusu ya Gaza watu wakawa walemavu kwa namna moja ama nyingine. utasema huo ni ushindi?

kwa watu wenye akili wasingeshangilia kilichotokea aidha kwa israel au palestina, kifo ni kibaya Faiza, hasa kwenu ninyi msiomjua Mungu wa kweli kwasababu mkifa mnaenda moja kwa moja motoni, hamjamwamini Yesu Kristo kama mwokozi wa maisha yenu, mnaamini mashetani na majini yasiyookoa.
Hayo mbona ni kawaida sana kwa Wapalestina? Unaelewa maana ya "shaheed", Wapalestina wote ni shaheed.

Unamtishia kifo mtu anae utamani umauti? Ni kama kumpoigia mbuzi gita tu.
 
Hayo ni kweli 100%

Huwezi mtisha Muislam kifo ukiwa wewe ni kafiri.

Ukimuuwa kashinda, akikuuwa kashinda.
Wazee wa kobasi bana.
Ipo siku dunian kuwa muslim itakua ni hatia... Ulaya huku imeanza kidogo kidogo
Inabid mkaze sana aisee
 
basi kama hawaogopi kifo na wanafurahia kifo, wasiwe wanalialia, wakubaliane tu pale israel anapowasaidia kuwapeleka ahera.
Walikulilia wewe?

Unaielewa muqawamma? jifunze kutumia google kidogo uielewe.

Watu wanasherehekea ushindi kwa vifijo, wewe unasema wanalia? Unanchekesha.
 
Wazee wa kobasi bana.
Ipo siku dunian kuwa muslim itakua ni hatia... Ulaya huku imeanza kidogo kidogo
Inabid mkaze sana aisee
Ulaya ipi unayoishi wewe, wakati Ulaya sasa hivi watu wanaingia kwenye Uislam makundi kwa makundi.

Makanisa yanakuwa misikiti.
 
Hayo mbona ni kawaida sana kwa Wapalestina? Unaewa maana ya "shaheed", Wapalestina wote ni shaheed.

Unamtishia kifo mtu anae utamani umauti? Ni kama kumpoigia mbuzi gita tu.
Asa mbona wanalalamika kwenye media kuwa wanauliwa na majeshi ya IDF mi nadhani wangeshangilia Sasa mashaheed hao [emoji848][emoji848][emoji848]
Anyway nadhani mtizamo wa watanzania kuhusu vita ya Gaza ni WA peke yake dunia nzima
 
mimi nimeuliza, ni gaidi gani wa dini yeyote aliywahi kufa akafufuka akawathibitishia kwamba mkifa uwa mnapata thawabu kama alizowadanganyeni mood.
Kasema "Mandela"dah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
wakati Iran wanaendelea kutoa maneno Israel anaendelea kuisagasaga Gaza hivyo Ustaadh Malaria 2 we endelea tu kutuletea maneno ya wairan maana yanakupa faraja wewe na wenzio kuwa labda ipo siku lakini ni ndoto tu.
 
Asa mbona wanalalamika kwenye media kuwa wanauliwa na majeshi ya IDF mi nadhani wangeshangilia Sasa mashaheed hao [emoji848][emoji848][emoji848]
Anyway nadhani mtizamo wa watanzania kuhusu vita ya Gaza ni WA peke yake dunia nzima
Media unazotazama wewe sizo. Jionee:


View: https://youtu.be/HIpjAaJLMJU?si=rPKjFQ1sRU4-0Rrr

Natamani ungesikia anachokiongea huyo kijana.

kwa ufupi, kimoja alichosema ni,bd Y kuqTndik Hq MDUI 7/10 tulitegemea ndani ya saa 24 iwe hili kambi la mateso linaloitwa Gaza limemalizwa lote. Tunatamani wao na washirika wao wa kutupeleka peponi wafanye haraka waje tuonane uso kwa uso, wako wapi?

Tunawaambia wote mnaotuombea dua, muendelee na dua zenu, hawa maadui wanakumbana na ulinzi hata sisi tunashangaa unatokea wapi. Hiyo ndiyo nguvu ya Mwenyezi Mungu.

Ushindi kwa vyovyote viule wa kifo au wa uhai. Wote ni ushindi. Msiwe na shaka wala msiwe na wasiwasi furahini kwa kinachoemdelea, majeshi makubwa duniani leo yansimamoishwa na watoto wadohgo na wanawake. Huo pelke yake ni ushindi mkubwa sana.
 
Media unazotazama wewe sizo. Jionee:


View: https://youtu.be/HIpjAaJLMJU?si=rPKjFQ1sRU4-0Rrr

Natamani ungesikia anachokiongea huyo kijana.

kwa ufupi, kimoja alichosema ni,bd Y kuqTndik Hq MDUI 7/10 tulitegemea ndani ya saa 24 iwe hili kambi la mateso linaloitwa Gaza limemalizwa lote. Tunatamani wao na washirika wao wa kutupeleka peponi wafanye haraka waje tuonane uso kwa uso, wako wapi?

Tunawaambia wote mnaotuombea dua, muendelee na dua zenu, hawa maadui wanakumbana na ulinzi hata sisi tunashangaa unatokea wapi. Hiyo ndiyo nguvu ya Mwenyezi Mungu.

Ushindi kwa vyovyote viule wa kifo au wa uhai. Wote ni ushindi. Msiwe na shaka wala msiwe na wasiwasi furahini kwa kinachoemdelea, majeshi makubwa duniani leo yansimamoishwa na watoto wadohgo na wanawake. Huo pelke yake ni ushindi mkubwa sana.

mungu wenu hajawahi kuwasaidia hata siku moja na mungu wenu hajawahi kumshinda Mungu wa Israel hata siku moja, its just a matter of time.
 
Israel wameshasema, askari wake waliokufa wamefikia 500 na hiyo sio ajabu, ndio matokeo ya vita, but at the end of the day, watashinda vita na hamas itafutwa na Gaza kaskazini haitakaliwa na wapalestina tena kwasababu wakiwa huru wanaruhusu hayo kufanyika, itakaliwa kimabavu na israel kama ilivyokuwa kabla ya 2005.
Wanaota hao
 
Back
Top Bottom