Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

kuna muislam yeyote alishawahi kufa akarudi akawasimulia alichokikuta huko? natamani ingekuwa hivyo ili pengine awafumbue macho. tunasema mungu wenu ni wa uongo, kwasababu kwanza anashirikiana na ushawi, uganga na ushirikina, pia anayakubali majini, mnaswali pamoja. hicho tu ndio ungestuka kwamba hii imani sio sahihi kwasababu majini ni mashetani inakuwaje mungu mnayemsema ni mtakatifu akashirikiana au kuyakubali majini?
Kakwambia nani jini shetani!?..uwe unauliza unaelimishwa,hakuna kiumbe rasmi linaitwa shetani,wewe ulipomlaghai Dem mkaenda kuzini,wewe ulikua shetani,kwa nini huwa mnasema pepo mchafu!?..ni kwa sababu Kuna pepo msafi,jinni ni kiumbe Kama wewe,kimeumbwa na Mungu,hao wachungaji wenu wakianza kuwahubiria kuhusu majinni muwe mnawauliza wamewajuaje,maana kwenye biblia hayapo hayo wayasemayo kuhusu majinni
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Huu ndio uislamu niñao ujua mimi.
Heri wewe uliyeongea ukweli.
Uislamu na uuaji ni chupi na tako.
Aliyeileta hii dini alikuwa muuwaji.
Alla ndio shetani mwenyewe. Anapenda damu za watu balaa
 
kuna muislam yeyote alishawahi kufa akarudi akawasimulia alichokikuta huko? natamani ingekuwa hivyo ili pengine awafumbue macho. tunasema mungu wenu ni wa uongo, kwasababu kwanza anashirikiana na ushawi, uganga na ushirikina, pia anayakubali majini, mnaswali pamoja. hicho tu ndio ungestuka kwamba hii imani sio sahihi kwasababu majini ni mashetani inakuwaje mungu mnayemsema ni mtakatifu akashirikiana au kuyakubali majini?
Hakuna mapatano kati ya giza na nuru na wala havijawahi kuchangamana. Moto na baridi havijawahi kukaa sehemu moja.
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Mara kamandi sijui kamanda upuuzi mtupu.Andika hivi..."vibaka wanatandikwa viboko huko Gaza"...!
 
Kakwambia nani jini shetani!?..uwe unauliza unaelimishwa,hakuna kiumbe rasmi linaitwa shetani,wewe ulipomlaghai Dem mkaenda kuzini,wewe ulikua shetani,kwa nini huwa mnasema pepo mchafu!?..ni kwa sababu Kuna pepo msafi,jinni ni kiumbe Kama wewe,kimeumbwa na Mungu,hao wachungaji wenu wakianza kuwahubiria kuhusu majinni muwe mnawauliza wamewajuaje,maana kwenye biblia hayapo hayo wayasemayo kuhusu majinni
kwahiyo jini sio shetani? hayupo kwenye kundi la mashetani kwa mujibu wa imani yako, au ndio maana mnashirikiana nayo hata kwenye ibada.
 
huko peponi ndio kuzimu na jehanum, mungu aliyewadanganya uongo kama huo ni shetani na ibilisi, na mtaenda kuota naye moto wa jehanum. pole sana.
Huyu malaria ni watu wenye misimamo mikali,hapo kaacha mandevu yaliyopakwa rangi ya udongo mpk mdomo hauonekani,kavaa kisuruali kilochokatwa na jambia kiunoni.ana msimamo mkali wa kiimani.bure kbs
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Wewe mwenyewe kafiri ulizaliwa bila ndoa ........na mimba yako ilitoka guest kwa chips za buku......nani kafiri sasa
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Kimbari tena..? Aisee utaandika nyuzi mpaka basi kila saa una uzi mpyaa aisee tena wakuhusu israel. Mwisho hii ni oparetion ya kuwafuta magaidi wote gaza. Hatuachi kitu. Here we go
 
kuna muislam yeyote alishawahi kufa akarudi akawasimulia alichokikuta huko? natamani ingekuwa hivyo ili pengine awafumbue macho. tunasema mungu wenu ni wa uongo, kwasababu kwanza anashirikiana na ushawi, uganga na ushirikina, pia anayakubali majini, mnaswali pamoja. hicho tu ndio ungestuka kwamba hii imani sio sahihi kwasababu majini ni mashetani inakuwaje mungu mnayemsema ni mtakatifu akashirikiana au kuyakubali majini?
Umemuuliza vzr saana ila naamini hata kujibu maana umempa ukweli wote
 
yap, walifanya maajabu sana aisee, na walifanikiwa pakubwa mno. though upande wa pili viwanda vinazidi kutengeneza mifuko ya nailoni kiukusanyia mabaki ya ndugu zao wanaofumuliwa usiku na mchana. kuna mmoja jana niliona amesambaratishwa na bom wamemuweka kwenye rambo, kuna uwezekano nusu ya Gaza watu wakawa walemavu kwa namna moja ama nyingine. utasema huo ni ushindi?

kwa watu wenye akili wasingeshangilia kilichotokea aidha kwa israel au palestina, kifo ni kibaya Faiza, hasa kwenu ninyi msiomjua Mungu wa kweli kwasababu mkifa mnaenda moja kwa moja motoni, hamjamwamini Yesu Kristo kama mwokozi wa maisha yenu, mnaamini mashetani na majini yasiyookoa.
Alikujibu hii comment
 
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Iran dumejike hata kimsboy anatambua hilo, kubweka kingi no action🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kwahiyo jini sio shetani? hayupo kwenye kundi la mashetani kwa mujibu wa imani yako, au ndio maana mnashirikiana nayo hata kwenye ibada.
Uelewa mdogo siyo,au mpaka mtu aongee kwa kufoka Kama wachungaji wenu ndiyo masikio yazibuke uelewe!?..jinni ni kiumbe Kama wewe,mbuzi,kuku nk,wewe unapomrubuni mtu kufanya uovu huo ni ushetani na wewe hapo unakua shetani,Kuna jinni muovu Kama wewe na jinni mwema Kama sheikh ponda,siyo kila jinni ni muovu,ndiyo maana hata nyingi mnasema pepo mchafu toka maana yake Kuna msafi
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Unaweza kuthibitisha hiyo pepo unayosema,
Brain washed.
 
Unajidanganya. Kafiri lini kamshinda muislam?
wazee wa kulia lia wazee wa kuta kuonewa huruma wazee wa matukio
wazee kupenda kitonger
😂😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20231101_144717.jpg
    IMG_20231101_144717.jpg
    54.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom