Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza

Majitu mengine sijui yalifaa tu yawe punda yabebe mizigo na nyama yao isiliwe bali ituowe.
Unapingana vita mitandaoni, vita siyo imani.
Vita ni vile unavyoweza kupata taarifa za adui, mipango mizuri ya kiutawala,
Mbinu sahihi angalau kupunguza vifo na majeruhi, makamanda bora ,wapiganaji wenye mafunzo ya hali ya juu, kulingana na hali ya uwanja wa vita. Aina gani ya adui unayekabiliana nae, uwezo wake ,moral yake ,aina ya silaha za adui, maficho yake. Mwisho mbinu zake za medani.
Mfano: vita inayopiganwa Gaza tunaita FIBUA. fighting in building area.
Hii vita ni ngumu sana ,inahitaji umakini, mbinu za adui ni kushambulia kwa kushitukiza, ambush.
Adui maficho yake ni katika makazi ya watu, chini taasisi na vituo vya huduma za kijamii yeye ameweka ngome zake chini ya majumba ,na wakati mwingine operation room zake ziko katika maofisi ya kama hosp, masokoni,na vituo vya afya.
Kwa namna ilivyo Israel atapoteza askari wengi zaidi ya hao, lakin mwisho wa siku hii vita atashinda tu.
Kama hamas wameruhusu sasa adf ipo ndani ya Gaza ,basi ni swala la.muda tu.
Ama watorokea kupitia hayo mashimo hadi Misri au wapigane wakiwa nje ya mashimo ili wauawe.
Awezi kukuelewa umeongea vitu vilivyomzidi ufahamu Sana. Na ndiyo maana hajui kwanini IDF. Ilitoa amri ya watu kuhama gaza. Ili kufukua mitaro yote.
 
Allah anampa mabikra 72 ajipozee.
Hii dini ni ya ovyo sana
Hahahahaaaaa. Mkuu Sasa na hawa wake zao wa duniani ambao washakatwa bikira za Sasa kule si watawatelekeza kukimbilia bikira 72. Yani vituko tupu. Hako kamungu karikoandaa bikira 72 katakua kazinzi tu
 
Unajidanganya. Kafiri lini kamshinda muislam?
Mkuu unaoNgea vitu gani hivi ? Hata huangalii content na mazingira

Unafanya waislamu tuonekane hazimo ingekuwa bora ukanyamaza
 
Mkuu unaoNgea vitu gani hivi ? Hata huangalii content na mazingira

Unafanya waislamu tuonekane hazimo ingekuwa bora ukanyamaza
Muislam anampenda kuuliwa waislam wenziwe?
 
Hayo ni kweli 100%

Huwezi mtisha Muislam kifo ukiwa wewe ni kafiri.

Ukimuuwa kashinda, akikuuwa kashinda.
Sasa hizi kelele za kutaka Israel iwaonee huruma na isitishe kipigo zinatoka wapi tena?

Si mtulie muuliwe ili mshinde?
 
Sasa hizi kelele za kutaka Israel iwaonee huruma na isitishe kipigo zinatoka wapi tena?

Si mtulie muuliwe ili mshinde?
1698864929993.png
 
kwan hapo alipo muislam lini ameshawahi kumshinda myahudi? , kama mwamedi mwenyewe aligonga mwambwa kwa myahudi je vipi vibaraka wake?
Wewe kwani mayahudi mbona unawapenda?
 
Sasa hizi kelele za kutaka Israel iwaonee huruma na isitishe kipigo zinatoka wapi tena?

Si mtulie muuliwe ili mshinde?
Hizo kelele umepigiwa na nani?
Wacha kubwabwaja na kuhororoja kama walee.

Onesha nani anaekupigia kelele.
 
Hayo mbona ni kawaida sana kwa Wapalestina? Unaewa maana ya "shaheed", Wapalestina wote ni shaheed.

Unamtishia kifo mtu anae utamani umauti? Ni kama kumpoigia mbuzi gita tu.
Mahandaki ya nn tena [emoji3578]
 
"The Zionist regime will be crippled within days without the help of the US." Teheran said
 
Muislam akimua kafiri ktk vita anaingia peponi na akiuliwa yeye anaingia peponi. Wakati kafiri akifa au akiua moto kwa moto
Tofauti na wewe kafiri
Ukute na huyu ni baba wafamilia, uwezo wako wa kufikiria hauna tofauti nawa mende!
Hata zezeta ananafuu
 
T
Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid, Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya alisema hayo jana Jumanne hapa Tehran na kuongeza kuwa: Majeshi ya Iran yana taarifa kwamba makamanda wa CENTCOM na vile vile jeshi la Marekani na jeshi lake la baharini wanashirikiana na makamanda wa Israel katika kambi ya kijeshi iliyoko Tel Aviv kusimamia na kuongoza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina.

Kamanda huyo amesema kushindwa Wazayuni katika Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ni moja ya vipigo vikubwa vya aina yake ambavyo havijawahi kushuhudiwa.

Meja Jenerali Gholam Ali Rashid ameongeza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel, si tu kwamba umepata pigo kubwa bali pia umeshindwa kwa fedheha na wanamuqawama wa Palestina.
Tulieni hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom